Ha ha haaa, usiogope kitu, hawezi na hana uwezo wa kukufanya chochote, hana madhara na pia wala hawezi kukupa manufaa yoyote yale,
Unaogopa kumuudhi huyo nyau lakin aliyemleta nyau dunian unamuudhi tena aina tofauti tofauti ya dhambi na wala hushtuki,
Kwanza Mungu anapenda aogopwe yeye tu, na ana wivu na hasira kuona heshima hiyo anapewa kiumbe aliyemuumba yeye mwenyewe
Hizi hela na uko kutwafutwa. kwake tu ni hatari ndo ivo sasa kama ajira hamna kijana ufanyeje sasa kutafuta frusa nyingine ya kutokea tu.
Huyu ame anzia kunywa damu za paka na saivi ana ishi atakavyo.