Kaliro X
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 749
- 440
Wakuu,
Nimekuta hii post kwenye account ya fb ya Mganga huyu maarufu wa kienyenyi nchini TZ Manyaunyau, baadhi ya picha zinamuonyesha akiwa kwenye mjengo wake wakisasa na nyingine akiwa ameshika tablet etc etc.Actually sio kitu cha kawaida sana kwa hawa jamaa wa hiyo sekta kuwa hivi.
Tumezoea kuwaona wakiishi kwenye vibanda vya nyasi na mavazi yao ndo mmmh!Wadau kadha wakawa wametupia comments wakimpongeza na wengine wakimponda.
Nini maoni yako kama MwanaJF kuhusiana na lifestyle ya huyu jamaa?
Nimekuta hii post kwenye account ya fb ya Mganga huyu maarufu wa kienyenyi nchini TZ Manyaunyau, baadhi ya picha zinamuonyesha akiwa kwenye mjengo wake wakisasa na nyingine akiwa ameshika tablet etc etc.Actually sio kitu cha kawaida sana kwa hawa jamaa wa hiyo sekta kuwa hivi.
Tumezoea kuwaona wakiishi kwenye vibanda vya nyasi na mavazi yao ndo mmmh!Wadau kadha wakawa wametupia comments wakimpongeza na wengine wakimponda.
Nini maoni yako kama MwanaJF kuhusiana na lifestyle ya huyu jamaa?