fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Manyoni ni sehemu iliyostaarabika ila upepo na vumbi na sehemu za kula ni mtihaninitakuwa hapo kuanzia kesho kwa wiki mbili,wenyeji naomba mnijuze hoteli au lodge nzuri ya kufikia,bei usizidi elfu sabini,pub nzuri ambayo ina utulivu,maeneo ya kutembelea yenye utulivu na usalama
Yani Manyoni iwe na hotel ya sh 70,000/=? huu ni utani sasa.nitakuwa hapo kuanzia kesho kwa wiki mbili,wenyeji naomba mnijuze hoteli au lodge nzuri ya kufikia,bei usizidi elfu sabini,pub nzuri ambayo ina utulivu,maeneo ya kutembelea yenye utulivu na usalama
Yote utapata hapo Town ila kuhusu sehemu yenye usalama nenda kituo kikuu cha Polisi hapo Manyoni !nitakuwa hapo kuanzia kesho kwa wiki mbili,wenyeji naomba mnijuze hoteli au lodge nzuri ya kufikia,bei usizidi elfu sabini,pub nzuri ambayo ina utulivu,maeneo ya kutembelea yenye utulivu na usalama
Manyoni iwe na hotel ya elfu 70 ili alale nani?Weee elfu 70 huna
okManyoni ni sehemu iliyostaarabika ila upepo na vumbi na sehemu za kula ni mtihani
ninayo ila nimesema isizidi elfu 70Weee elfu 70 huna
why?Yani Manyoni iwe na hotel ya sh 70,000/=? huu ni utani sasa.
acha masharaYote utapata hapo Town ila kuhusu sehemu yenye usalama nenda kituo kikuu cha Polisi hapo Manyoni !
Pimbi wewe hujui hata kuandika "mashara" ndio nini Fala wewe eti gest ya elfu 70 pimbi wewe labda elfu saba kilaza mkubwa weweacha mashara
🤣🤣dah...binadamu sisi🙌Weee elfu 70 huna
Bora atoke na demu wake huko anakotoka..maana mademu wengi wanapenda kusafiri hawezi kosa wa kumpa company. Ila asipige madem pale wiki mbili nyingi sana kwa mtu kushawishika kufanya mechi ya za ugenini🤣🤣🤣! Pale ni njianiUende na shehena ya ndomu
Singida nawaheshimu sana saiv manzi akinambia ni wa Singida sigusi tena! Nilikaaa sana bench za hospital ya sinza Palestine kusubir majibuBora atoke na demu wake huko anakotoka..maana mademu wengi wanapenda kusafiri hawezi kosa wa kumpa company. Ila asipige madem pale wiki mbili nyingi sana kwa mtu kushawishika kufanya mechi ya za ugenini🤣🤣🤣! Pale ni njiani
😃😃😃😃😃Singida nawaheshimu sana saiv manzi akinambia ni wa Singida sigusi tena! Nilikaaa sana bench za hospital ya sinza Palestine kusubir majibu