Manyoni mpo? Naomba mnijuze hoteli au lodge nzuri ya kufikia

Manyoni mpo? Naomba mnijuze hoteli au lodge nzuri ya kufikia

😃😃😃😃😃
Kibaya zaidi magonjwa wanayoniandikia nikapime sijawahi kufikiria kwenye maisha yangu kama yapo zaidi ya kujibu maswal ya biology darasani🤣!!! Mungu mkubwa sikukutwa nayo
 
images (2).jpeg
 
Karibu manyoni.hapa wapo wanyaturu wagogo na makabila tofauti kama wasukuma,wachaga na wakurya.Kwasasa manyoni haina lodge au hotel ila wachaga wamejenga lodge kali ila wao wameziita hotel.Kwasasa kuna lodge moja tu ambayo ipo barabara mkono wa kulia kama unatokea Dodoma na mkono wa kushoto kama unatokea singida lodge hii inaitwa Narumu ni maaruf sana kwasasa bei zak ni kati ya elfu 30 mpaka elf 40.

Offcourse ni nzuri kimanyoni manyoni hata viongoz wakubwa baadh yao hupendelea kulala hapo wawapo na ziara za kikazi hapa manyoni.

Kama ni mpenzi wa nyuchi za kununua basi kuna sehem panaitwa shinyanga pub hapo ngozi nyeupe za kinyaturu zimezidi angalizo bei zao n kat ya elf 10 na 20 kwa usiku mmoja ikizidi hapo wamejua mgeni wewe.Angalzo ufikapo manyon usipendelee kuzurura hovyo askari ni weng sana wapo doria sabab kumekuwa na mfululizo wa matukio ya mauaji ya watu ingawa kwasasa hali n shwari jeshi letu la polisi limethbiti hali hii.KARIBU SANA MANYONI
 
Karibu manyoni.hapa wapo wanyaturu wagogo na makabila tofauti kama wasukuma,wachaga na wakurya.Kwasasa manyoni haina lodge au hotel ila wachaga wamejenga lodge kali ila wao wameziita hotel.Kwasasa kuna lodge moja tu ambayo ipo barabara...
Hii taarifa ni precise kabisa,
 
Dah umefanya nimkumbuke ELIZA WANGU ,,Miss Twigaa,,one day Our pass shall close again,,,I Miss u Miss G,,,
 
Back
Top Bottom