Manyonyo kuwasha sana usiku

Manyonyo kuwasha sana usiku

nunua mabendazole dawa za minyoo kunywa kwanza kesho alfajir kabla hujala kitu kaa masaaa mawili bila kula wala kunywa usiku wake utatupa maendeleo tujue nini
Ahsante sana nanawoo, ila naomba nikuulize hivi nikimeza hizo dawa za minyoo naweza kunywa pombe?
 
unatakiwa ujue jinsi ya kutunza mwili wako mwanamke .usiwe bahili wa mafuta .mimi kwa mwezi natumia makopo matatu ya mafuta ..bado vicream cream vya kunitakatisha sio mikorogo lakini .
nina mafuta ya nywele
ya uso
ya mdomo
ya shingo
ya nyonyo na tumbo na mapaja
ya taako
ya papuchi
ya bikini line
ya miguu
ya nyayo
ya kucha
Duuuh unatumia muda gan kumaliza kupaka yote hayo
 
Dawa yako ndogo sana..njoo ulale kwangu...ili tufanye troubleshooting ya tatizo
 
Utakuwa unasumbuliwa na ugonjwa, njoo PM tuongee vizuri
 
Back
Top Bottom