kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anasema waswahili wengiKwani Kunguru wa Manzese anasemaje?
Watoto wa kishua hao mboga saba wanaishi uzunguni kumetulia nyumba ni mageti ziko mbali hakuna mbananoKwani Kunguru wa Manzese anasemaje?
kuna guest nililala hapo,chumba kina kunguni na taa nyekund kuwaua huwez nikabak kujipapasa usiku kucha bila usingiz,chumba kina hewa nzito mixer yale ma-perfume yale kama dawa ya mbuu huku nikiwaza watu wamekulana humu siku nzima.
Nashangaa jamaa sijui anazungumzia manzese ipi? Kuanzia Argentina, Tiptop hadi kwa mfuga mbwa magorofa yanaporomoshwa balaa labda manzese ya midizini kule ndio bado.Manzese sehemu ya biashara mzee
Huoni sahv magorofa yanaporomoshwa....
Achana na manzese uwanja wa fisi huko
Ova