frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,339
Nipo eneo la tukio hali ni mbaya sanaaa....
~Kuna msongamano mkubwa sanaa barabara ya tandale magari yote yanakimbilia huko na kigogo...
~barabara imefungwa kabisa ya manzese (morogoro road)
~kisa ni wafanyabiashara kurudi sehemu waliofukuzwa wakat wa obama.
~nguvu ni kubwa mno ya police wakat issue ni ndogo sanaaaa
KOVA PLS WAMBIE VIJANA WAKO WATUMIE KICHWA NA SIO MASUBULI KWENYE MAMBO KAMA HAYA
Fikiri kuna zaidi ya wafanyabiashara 3000 pale unawambia watoke lakin wapi wanaenda hakuna.
CCM HOYEE.
~Kuna msongamano mkubwa sanaa barabara ya tandale magari yote yanakimbilia huko na kigogo...
~barabara imefungwa kabisa ya manzese (morogoro road)
~kisa ni wafanyabiashara kurudi sehemu waliofukuzwa wakat wa obama.
~nguvu ni kubwa mno ya police wakat issue ni ndogo sanaaaa
KOVA PLS WAMBIE VIJANA WAKO WATUMIE KICHWA NA SIO MASUBULI KWENYE MAMBO KAMA HAYA
Fikiri kuna zaidi ya wafanyabiashara 3000 pale unawambia watoke lakin wapi wanaenda hakuna.
CCM HOYEE.