Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mbili zote za nini? Kimoja yenye tano ndani.
Mie nikimpata demu kama huyo nahakikisha kila mechi yeye anakua na tano mie moja,5-1.
, hapo kwenye red na blue umejuaje mkuu?Huyo dem ampate rafiki yangu imma, atakojoleshwa hadi mara 200 kwa masaa machache..... Tena yeye kakojoa mara moja tuuuuuuu
Atuambie,hata mi nina mashaka! huyo Imma...isije ikawa..mpk kujua yote hayo!, hapo kwenye red na blue umejuaje mkuu?
Ni zaidi ya miezi mitano inakatika sasa, nipo na dada mmoja kimahusiano.sio siri ananichosha kwenye mambo yetu yale ni noma.nikiwa nae tunaenda tano kwa muda mchache yani nakua hoi hadi kufika mwisho wa mchezo,imefikia sasa nikilala nae usiku mmoja naenda adi nahisi natoa hewa.nikikataa ni ugomvi mpaka anafikia kulia na kudai namnyanyasa kimapenzi.
ile mwanzo nilifikiri kwa sababu tunaanza ndio maana ila sasa inakua 2 much,sifurahii kukaa nae zaidi ya masaa 2,natafuta hata sababu ya kikao na washkaji ili hali tu nimkimbie nae arudi hm kwao,
ila nampenda kwani nae pia anamapenz ya kweli kwa kumuangalia nyendo zake,na vl vl ni miongoni mwa mipango yangu ya baadae,yani nategemea kuishi nae.
Najiuliza tukifunga ndoa itakuaje?hebu nisaidieni mbinu washkaji,wakinadada ili nisimpoteze huyu kimwana.
dah...hebu nifanyie mpango wa namba ya hyo demu nataka nimpe pongez hpa home...nikisha muonja ntaweza kukupa ushaur mzur zaidi..