Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vip yule Bigirimana kutoka EPL mliyeletewa na Hersi ili mmmpe kura za Urais mmeshalipa pesa zake kule FIFA kwenye shitaka lake? Utopolo Manara hakukosea kusema wote akili zenu zimejaa Fangasi baada ya kushambuliwa na UTI.Vipi dirisha hili hasajiliwi? Atasajiliwa lini jaman mgeni rasmi huyu na mwenye hotuba nzuri?
Gael alicheza na makombe alibeba, ile mechi tunawakanda mbili za Mayele alishiriki kutembeza kichapo kitakatitfuVip yule Bigirimana kutoka EPL mliyeletewa na Hersi ili mmmpe kura za Urais mmeshalipa pesa zake kule FIFA kwenye shitaka lake? Utopolo Manara hakukosea kusema wote akili zenu zimejaa Fangasi baada ya kushambuliwa na UTI.
Sio wanachama na washabiki ndio wa hovyo? Mangungu aliona weakness ya wanachama akaitumiaIla ni basi tu Mangungu ni wa hovyo sana.