Waache mapepe yao kabisaaa!
Watulie kama atuliavyo kondoo wa kafara wakati wa kula kisu kwa niaba ya mdhambi.
Wasilete ubabe wa enzi za ujamaa kutisha watu kwa pingu na vibunduki mbwa vya mifukoni.
Watu wenyewe mnatutisha wakati tunakaa wote kule kunduchi Beach na Boko.
Tunajua siri zenu zote mnamaliza fedha zote kwa malaya mkiacha wake zenu na watoto wakihaha kwenye mihekalu ya ufisadi.
Wote tunalizwa kwa foleni kila asubuhi, Ma GX yenu hayana mbawa.
Huu ni mwanzo wa mwisho wenu, mwisho wenyewe ukifika Dar itakuwa Finyu kaa kiganja cha mtoto.