Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Balaa walianzisha wao kumkanyaga Sibomana. Wanajiona wanajeshi sana kumbe mgambo tu.JKT wamerithi ubabe wa rafu kutoka kwa Mgambo,Lamine alichofanya ni sahihi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balaa walianzisha wao kumkanyaga Sibomana. Wanajiona wanajeshi sana kumbe mgambo tu.JKT wamerithi ubabe wa rafu kutoka kwa Mgambo,Lamine alichofanya ni sahihi kabisa.
cheza rafu kwenye movement za kimpiraaUjue watu wanaangalia alichokifanya Moro tu hawaoni undava waliokuwa wanaufanya hao jamaa zao wa jkt hz timu za majeshi zinakuwaga na ubabe wa kishamba sana kiuanamichezo Moro kafanya kosa kubwa professional hapaswi kufanya vile ila nisiwe mbafki kwa upande wangu kanifurahisha maana mzozo ulianzia Sibomana alipofanyiwa foul na kuanza kukanyagwa ple chini mbona hii hamsemi?
Fey na Niyonzima wakawafata vp mtu mmeshamchezea foul na bado mnamkanyaga kanyaga ple chini? Eeee wanaleta undava kisa wajeda Lamine Moro akawaonesha kazi mpira mchezo wa kihuni sometimes tunahitaji vitu km hv ili tusichukuliane poa sana tuheshimiane uwanjani usimchukulie mwenzio mnyonge kwamba unamuweza sana!
Paschal Wawa hakucheza kabisa mechi ya jana, aliachwa Dar es SalaamWangeanza na pascal wawa aliyekwenda kumkanyaga kwamaksudi Ditram Nchimbi nje ya uwanja tena bila mpira.
Ni sahihi sawa, ila gharama zake ataziona. Atafungiwa mashindano yote yanayoandaliwa na TFF, ikiwamo kombe la shirikishoJKT wamerithi ubabe wa rafu kutoka kwa Mgambo,Lamine alichofanya ni sahihi kabisa.
Thubutu!Ni sahihi sawa, ila gharama zake ataziona. Atafungiwa mashindano yote yanayoandaliwa na TFF, ikiwamo kombe la shirikisho
Basi mchezesheni mjue Karia na Kidau ni nani pale 😁😁😁Thubutu!
Ni wanachama wa 5imba. Hilo tunajua.Basi mchezesheni mjue Karia na Kidau ni nani pale 😁😁😁
Kama Wawa na Chama waliachwa basi itakuwa insane kumfungia huyuNi sahihi sawa, ila gharama zake ataziona. Atafungiwa mashindano yote yanayoandaliwa na TFF, ikiwamo kombe la shirikisho
Unajua huyu ameruka teke mchezo ukiwa umesimama?Kama Wawa na Chama waliachwa basi itakuwa insane kumfungia huyu
Wewe simba hebu , nawa mikono na sanitizer ukalale habari za yang a waachie wana yanga hujaona club imemuonya na adhabu
Mbumbumbu hujifanya hawana kumbukumbuKama Wawa na Chama waliachwa basi itakuwa insane kumfungia huyu