Maombi kwa TFF: Mechi ya Yanga vs Simba isogezwe mbele kwa maslahi ya Taifa

Maombi kwa TFF: Mechi ya Yanga vs Simba isogezwe mbele kwa maslahi ya Taifa

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Tff fikiri, timu zetu zinaenda kimataifa, ambapo zikishinda Tanzania imeshinda na pia rank za vilabu kimataifa zinapanda.

Hivyo ili kuepusha majeruhi na uchovu tunaomba TFF mlifikirie hili, Yaani mmekaa mnanenepeana hamwangalii ratiba inavyovibana vilabu vyenu ila vikishinda mnakuwa wa kwanza kutoa pongezi!

Yanga wanahisi hiyo mechi Derby ni ya kumkomoa Simba kimataifa, wakihisi mechi na Rivers United itakuwa nyepesi, hakya nani [emoji196][emoji196] anaenda kuzamishwa na kufa kifo cha mende!

Hivyo Yanga mnatakiwa mjiandae vizuri, msiwe na uchovu wala majeruhi mana mechi na [emoji881] hamtashinda na Rivers watachukulia advantage hiyohiyo kwa kuwasoma mnavyocheza!
 
Hofu imetanda vilio vinazidi. Tar 16 ni derby hakuna kuahirisha liwalo na liwe. Kwanza toka lini mkaanza kuionea huruma Yanga eti akimaliza anasafiri kwa hiyo haitakua nzuri italeta uchovu na blah blah nyingine. Hakuna kitu kama hicho tunaouwezo wa kukodi ndege ya ATCL itupeleke na iturudishe.

Muhimu derby ichezwe hatutawaweka nyingi
 
Hakuna, mechi zipigwe, tunataka match fitness, wacheze.
 
Sioni ratiba inayobana.
Hawa mashabiki wa simba wanaogopa tu kuangushiwa jumba bovu tarehe 16. Maana hata kwenye mechi yao tu ya leo na Ihefu kule Mbarali, imekaa kimtego mtego! Wasipokuwa makini, watadodosha pointi. Baada ya hapo wanatakiwa kukutana na Yanga wa moto! Halafu na wale Waarabu wakatili wa Morocco, ndani ya muda mfupi!!

Wakimaliza hapo, Azam wamekaa pembeni wanawasubiria kwenye nusu fainali!

Kinachowatesa zaidi, hawana kikosi kipana! Yaani kila mechi wanayocheza, wachezaji ni wale wale! Ni tofauti kabisa na Yanga, ambayo inaweza kubadilisha kikosi chote cha kwanza.
 
Simba inapaswa ipuuze mechi ya Yanga na iweke mkazo kwnye mchezo wake wa CAF .

Ipumzishe wachezaji wake muhimu ,,

Jamaa wanaweza wakasababisha majeruhi kwa wachezaji muhimu wa Simba.
,
Kwani hata Simba akishinda au akifungwa hiyo mechi na utopolo haibadilishi chochote.

Mjinga mpe cheo

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Kinachonifurahisha ni kua uoga umewaingia wanawaza kuweka moira kwapani.

Tff wakijiroga wakalikoroga watalinywa. Mechi ipigwe mbivu na mbichi zijulikane.
 
Tff fikiri, timu zetu zinaenda kimataifa, ambapo zikishinda Tanzania imeshinda na pia rank za vilabu kimataifa zinapanda.

Hivyo ili kuepusha majeruhi na uchovu tunaomba TFF mlifikirie hili, Yaani mmekaa mnanenepeana hamwangalii ratiba inavyovibana vilabu vyenu ila vikishinda mnakuwa wa kwanza kutoa pongezi!

Yanga wanahisi hiyo mechi Derby ni ya kumkomoa Simba kimataifa, wakihisi mechi na Rivers United itakuwa nyepesi, hakya nani [emoji196][emoji196] anaenda kuzamishwa na kufa kifo cha mende!

Hivyo Yanga mnatakiwa mjiandae vizuri, msiwe na uchovu wala majeruhi mana mechi na [emoji881] hamtashinda na Rivers watachukulia advantage hiyohiyo kwa kuwasoma mnavyocheza!
tulia wewe unyooshwe mapema tunataka tumalizane na NBC sisi ili tudili vizuri na akina pyramid ikibidi TULETE NA KOMBE LA KIMATAIFA
 
Simba inapaswa ipuuze mechi ya Yanga na iweke mkazo kwnye mchezo wake wa CAF .

Ipumzishe wachezaji wake muhimu ,,

Jamaa wanaweza wakasababisha majeruhi kwa wachezaji muhimu wa Simba.
,
Kwani hata Simba akishinda au akifungwa hiyo mechi na utopolo haibadilishi chochote.

Mjinga mpe cheo

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Nanukuu "mjinga mpe cheo"...
 
Tff fikiri, timu zetu zinaenda kimataifa, ambapo zikishinda Tanzania imeshinda na pia rank za vilabu kimataifa zinapanda.

Hivyo ili kuepusha majeruhi na uchovu tunaomba TFF mlifikirie hili, Yaani mmekaa mnanenepeana hamwangalii ratiba inavyovibana vilabu vyenu ila vikishinda mnakuwa wa kwanza kutoa pongezi!

Yanga wanahisi hiyo mechi Derby ni ya kumkomoa Simba kimataifa, wakihisi mechi na Rivers United itakuwa nyepesi, hakya nani [emoji196][emoji196] anaenda kuzamishwa na kufa kifo cha mende!

Hivyo Yanga mnatakiwa mjiandae vizuri, msiwe na uchovu wala majeruhi mana mechi na [emoji881] hamtashinda na Rivers watachukulia advantage hiyohiyo kwa kuwasoma mnavyocheza!

Kwani inashindikana mechi hyo kutumika kama mazoezi kwa timu zote mbili kujijua uwezo wao kwa ajili ya mechi za kimataifa???

Uoga mwingine ni mzuri ila hausaidii…!!!
 
Back
Top Bottom