Maombi na dua yangu kwa taifa la Tanzania kwa yale yanayoendelea

Maombi na dua yangu kwa taifa la Tanzania kwa yale yanayoendelea

Kiby

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2009
Posts
6,921
Reaction score
4,683
Basi sasa, Ee Mungu wetu, yasikilize maombi ya mtumishi wako, na dua zake, ukaangazishe uso wako juu ya patakatifu pako palipo ukiwa, kwa ajili ya Bwana. Ee Mungu wangu, tega sikio lako, ukasikie; fumbua macho yako ukautazame ukiwa wetu, na nchi ile ulioitwa kwa jina lako; maana hatukutolei maombi yetu kwa sababu ya haki yetu, lakini kwa sababu ya rehema zako nyingi.
Ee Bwana, usikie; Ee Bwana, usamehe; Ee Bwana, usikilize, ukatende, usikawie; kwa ajili yako wewe, Ee Mungu wangu; kwa sababu nchi yako na watu wako wanaitwa kwa jina lako.
Mbona taifa linafanya ghasia,
Na makabila wanatafakari ubatili?
Mfalme na watesi wa nchi wanajipanga,
Na wakuu wanafanya shauri pamoja,
Juu ya BWANA,
Na juu ya haki ya watu
wake,
Na tuvipasue vifungo vyao,
Na kuzitupia mbali nasi kamba zao.
eeh Mungu wa mbingu na nchi tizama ukiwa wa watu wako Tanzania na uchungu wa mateso ya watawala wanayowalisha.
ukakumbuke Mungu kwamba mataso wanayoyapokea kutoka kwa watawa ni kwa sababu ya ukaidi wao.
Hata hivyo hawa watawala wawalao masikini wa nchi kama mtu aulavyo mkate hawana haki hiyo ya kufanya hivyo.
Basi Bwana nakusihi ukaukumbuke uovu huu wa watawala ukajilipize kisasi.
Maana imeandikwa kisasi ni juu ya yangu mimi Mungu.
Yeye aketiye mbinguni anacheka,
Bwana anawafanyia dhihaka.
Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake,
Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake.
Imenenwa
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi;
Bali mwovu atawalapo, watu huugua na ni Heri kijana maskini mwenye hekima
Kuliko mfalme mzee mpumbavu.
ambaye hajui tena kupokea maonyo.
Mtu yule uliyemwokoa kwa ishara na mkono wenye nguvu walipo mmiminia risasi 32 na 16 zikamwingia asife ndio leo hii kwa ushirika ule wa waovu wa nchi hii uliojipanga kuiba kila kitu cha nchi kuanzia uchaguzi wamemkamata ili asiendeleze kazi ya mlinzi.
Eeh Mungu wa mbingu na nchi chungulia kutoka mbingu zako ukaone nafsi za hawa watawala kama sii za hatia ya wizi.
Mapato yao na anasa zao na biashara zao haziendani wala kufanana na mishahara yao. Zimetoka wapi sasa? Ni wezi wa hazina ya nchi. Wameiba uchaguzi na kujimilikisha uongozi kwa nguvu, ni ufalme wa kiimla na kwa hivyo hauna taji ya washiriki.
Wameiba pesa ya matibabu ya masikini wa nchi wanaotozwa kodi ya hadi mchicha na chumvi wanayokula.
Wameiba elimu ya hawa masikini hata wengi wao wamebaki kwenye lindi la ujinga wa kutoweza kupambanua. Wameingia ushirika wa kidhalimu na wageni kwa kuuza rasilimali za nchi kifisadi kupata pesa ya kununua haki ya masikini wa nchi hii.
Muumba wa mbingu na nchi chungulia kutoka katika mbingu zako ukaone mashauri yao maovu. Maana wamejiwekea haki na kujiapiza kwamba mtu yule uliyemwokoa kwa risasi 32 walizo mrushia umemrudisha mikononi mwao wamwangamize yeye pamoja wa wana wa nchi wanaolilia haki.
Basi twaomba sasa eeh Mungu na iwe kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake pale bahari ya shamu walipo fikiri muujiza ule uliowafungukia wana wa Israeli ni kwa ajili yao pia kuwapata ili wawaangamize.
Ndipo walipo ufikilia mwisho wao.
Na hawa wadhalimu wa nchi eeh Muumba uwafikishe panapo maji ya bahari kwa ajili ya hukumu yako ya haki.
Shakula cha hawa watawala walapo ugenini na majumbani mwao na watoto wao ni udhalimu na wizi mtupu, ni damu na nyama ya masikini wa nchi wanaokufa kwa kukosa matibabu na dawa ilihali wanagharimia kwa kodi na tozo zote.
Eeh Mungu kwa watawala hawa dhalimu na iwe hivi kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake,
Kwamba hukuufanya moyo wake mgumu ila ujilipize kisasi na kuonyesha kuwa unatawala Mbingu na nchi.
Nasi wana wa nchi tutauimba wimbo wa Musa mtumishi wako na wa mwana kondoo wako kama Israel walipo uimba wimbo wa Musa hapo kando ya bahari walipo tizama na kuona jinsi maangamizi ya Farao na jeshi lake lilivyochinjwa na yale maji ya bahari.
Naomba hivi katika jina la Bwana Mungu wa mbingu na nchi. Amen.
Screenshot_20240714-155320.jpg
 
Yaani watu wanapiga hela wewe unaleta hadithi za musa na farao! Kweli waliotuletea dini walituchakaza kabisa yaani tumekwisha, hivi mnadhani Bangladeshi wakati wanaingia barabarani hawana dini? Kenyan Gen-Z wamepelekea rais kuvunja baraza la mawaziri kwa kuingia barabarani na siyo kwa kutaja hadithi za waisraeli za kusadikika
 
Basi sasa, Ee Mungu wetu, yasikilize maombi ya mtumishi wako, na dua zake, ukaangazishe uso wako juu ya patakatifu pako palipo ukiwa, kwa ajili ya Bwana. Ee Mungu wangu, tega sikio lako, ukasikie; fumbua macho yako ukautazame ukiwa wetu, na nchi ile ulioitwa kwa jina lako; maana hatukutolei maombi yetu kwa sababu ya haki yetu, lakini kwa sababu ya rehema zako nyingi.
Ee Bwana, usikie; Ee Bwana, usamehe; Ee Bwana, usikilize, ukatende, usikawie; kwa ajili yako wewe, Ee Mungu wangu; kwa sababu nchi yako na watu wako wanaitwa kwa jina lako.
Mbona taifa linafanya ghasia,
Na makabila wanatafakari ubatili?
Wafalme na watesi wa nchi wanajipanga,
Na wakuu wanafanya shauri pamoja,
Juu ya BWANA,
Na juu ya haki ya watu
wake,
Na tuvipasue vifungo vyao,
Na kuzitupia mbali nasi kamba zao.
eeh Mungu wa mbingu na nchi tizama ukiwa wa watu wako Tanzania na uchungu wa mateso ya watawala wanayowalisha.
ukakumbuke Mungu kwamba mataso wanayoyapokea kutoka kwa watawa ni kwa sababu ya ukaidi wao.
Hata hivyo hawa watawala wawalao masikini wa nchi kama mtu aulavyo mkate hawana haki hiyo ya kufanya hivyo.
Basi Bwana nakusihi ukaukumbuke uovu huu wa watawala ukijilipize kisasi.
Maana imeandikwa kisasi ni juu ya yangu mimi Mungu.
Yeye aketiye mbinguni anacheka,
Bwana anawafanyia dhihaka.
Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake,
Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake.
Imenenwa
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi;
Bali mwovu atawalapo, watu huugua na ni Heri kijana maskini mwenye hekima
Kuliko mfalme mzee mpumbavu.
ambaye hajui tena kupokea maonyo.
Mtu yule uliyemwokoa kwa ishara na mkono wenye nguvu walipo mmiminia risasi 32 na 16 zikamwingia asife ndio leo hii kwa ushirika ule mwovu uliojipanga kuiba kila kitu cha nchi na hata uchaguzi wamemkamata ili asiendeleze kazi ya mlinzi.
Eeh Mungu wa mbingu na nchi chungulia kutoka mbingu zako ukaone nafsi za hawa watawala kama sii za uizi.
Mapato yao na anasa zao na biashara zao haziendani wala kufanana na mishahara yao. Zimetoka wapi sasa? Ni wezi wa hazina ya nchi. Wameiba uchaguzi na kujimilikisha uongozi kwa nguvu, ni ufalme wa kiimla na kwa hivyo hauna taji yq washiriki.
Wameiba pesa ya matibabu ya masikini wa nchi wanaotozwa kodi ya hadi mchicha na chumvi wanayokula.
Wameiba elimu ya hawa masikini hata wengi wao wamebaki kwenye lindi la ujinga wa kutoweza kupambanua. Wameingia ushirika wa kidhalimu kwa kuuza rasilimali za nchi kifisadi kupata pesa ya kununua haki ya masikini wa nchi hii.
Muumba wa mbingu na nchi chungulia kutoka katika mbingu zako ukaone mashauri yao maovu. Maana wamejiwekea haki kwamba mtu yule uliyemwokoa kwa risasi 32 walizo mrushia umemrudisha mikononi mwao wamwangamize yeye pamoja wa wana wa nchi wanaolilia haki.
Basi twaomba sasa eeh Mungu na iwe kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake pale bahari ya shamu walipo fikiri muujiza ule uliowafungukia wana wa Israeli ni kwa ajili yao pia kuwapata wawa angamize.
Ndipo walipo ufikilia mwisho wao.
Nao hawa eeh Muumba uwafikishe panapo maji ya bahari kwa ajili ya hukumu yako ya haki.
Shakula cha hawa watawala walapo njiani na majumbani mwao ni watoto wao ni udhalimu na wizi mtupu, ni damu na nyama ya masikini wa nchi wanaokufa kwa kukosa matibabu na dawa ilihali wagharimia kodi na tozo zote.
Eeh Mungu kwa watawala hawa dhalimu na iwe hivi kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake,
Kwamba hukuufanya moyo wake mgumu ila ujilipize kisasi na kuonyesha kuwa unatawala Mbingu na nchi.
Nasi wana wa nchi tutauimba wimbo wa Musa mtumishi wako na wa mwana kondoo wako kama Israel walipo uimba wimbo wa Musa hapo kando ya bahari walipo tizama na kuona jinsi maangamizi ya Farao na jeshi lake walivyochinjwa na yale maji ya bahari.
Naomba hivi katika jina la Bwana Mungu wa mbingu na nchi. Amen.View attachment 3067425
Dua wanaomba kwa vitendo. Wana wanabakwa na wanasiasa wanafugwa unafikiri dua pekee ndiyo jawabu wewe umefanya nini kwa vitendo na akili uliyopewa. Tuache uvivu na uoga
 
Basi sasa, Ee Mungu wetu, yasikilize maombi ya mtumishi wako, na dua zake, ukaangazishe uso wako juu ya patakatifu pako palipo ukiwa, kwa ajili ya Bwana. Ee Mungu wangu, tega sikio lako, ukasikie; fumbua macho yako ukautazame ukiwa wetu, na nchi ile ulioitwa kwa jina lako; maana hatukutolei maombi yetu kwa sababu ya haki yetu, lakini kwa sababu ya rehema zako nyingi.
Ee Bwana, usikie; Ee Bwana, usamehe; Ee Bwana, usikilize, ukatende, usikawie; kwa ajili yako wewe, Ee Mungu wangu; kwa sababu nchi yako na watu wako wanaitwa kwa jina lako.
Mbona taifa linafanya ghasia,
Na makabila wanatafakari ubatili?
Wafalme na watesi wa nchi wanajipanga,
Na wakuu wanafanya shauri pamoja,
Juu ya BWANA,
Na juu ya haki ya watu
wake,
Na tuvipasue vifungo vyao,
Na kuzitupia mbali nasi kamba zao.
eeh Mungu wa mbingu na nchi tizama ukiwa wa watu wako Tanzania na uchungu wa mateso ya watawala wanayowalisha.
ukakumbuke Mungu kwamba mataso wanayoyapokea kutoka kwa watawa ni kwa sababu ya ukaidi wao.
Hata hivyo hawa watawala wawalao masikini wa nchi kama mtu aulavyo mkate hawana haki hiyo ya kufanya hivyo.
Basi Bwana nakusihi ukaukumbuke uovu huu wa watawala ukijilipize kisasi.
Maana imeandikwa kisasi ni juu ya yangu mimi Mungu.
Yeye aketiye mbinguni anacheka,
Bwana anawafanyia dhihaka.
Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake,
Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake.
Imenenwa
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi;
Bali mwovu atawalapo, watu huugua na ni Heri kijana maskini mwenye hekima
Kuliko mfalme mzee mpumbavu.
ambaye hajui tena kupokea maonyo.
Mtu yule uliyemwokoa kwa ishara na mkono wenye nguvu walipo mmiminia risasi 32 na 16 zikamwingia asife ndio leo hii kwa ushirika ule mwovu uliojipanga kuiba kila kitu cha nchi na hata uchaguzi wamemkamata ili asiendeleze kazi ya mlinzi.
Eeh Mungu wa mbingu na nchi chungulia kutoka mbingu zako ukaone nafsi za hawa watawala kama sii za uizi.
Mapato yao na anasa zao na biashara zao haziendani wala kufanana na mishahara yao. Zimetoka wapi sasa? Ni wezi wa hazina ya nchi. Wameiba uchaguzi na kujimilikisha uongozi kwa nguvu, ni ufalme wa kiimla na kwa hivyo hauna taji yq washiriki.
Wameiba pesa ya matibabu ya masikini wa nchi wanaotozwa kodi ya hadi mchicha na chumvi wanayokula.
Wameiba elimu ya hawa masikini hata wengi wao wamebaki kwenye lindi la ujinga wa kutoweza kupambanua. Wameingia ushirika wa kidhalimu kwa kuuza rasilimali za nchi kifisadi kupata pesa ya kununua haki ya masikini wa nchi hii.
Muumba wa mbingu na nchi chungulia kutoka katika mbingu zako ukaone mashauri yao maovu. Maana wamejiwekea haki kwamba mtu yule uliyemwokoa kwa risasi 32 walizo mrushia umemrudisha mikononi mwao wamwangamize yeye pamoja wa wana wa nchi wanaolilia haki.
Basi twaomba sasa eeh Mungu na iwe kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake pale bahari ya shamu walipo fikiri muujiza ule uliowafungukia wana wa Israeli ni kwa ajili yao pia kuwapata wawa angamize.
Ndipo walipo ufikilia mwisho wao.
Nao hawa eeh Muumba uwafikishe panapo maji ya bahari kwa ajili ya hukumu yako ya haki.
Shakula cha hawa watawala walapo njiani na majumbani mwao ni watoto wao ni udhalimu na wizi mtupu, ni damu na nyama ya masikini wa nchi wanaokufa kwa kukosa matibabu na dawa ilihali wagharimia kodi na tozo zote.
Eeh Mungu kwa watawala hawa dhalimu na iwe hivi kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake,
Kwamba hukuufanya moyo wake mgumu ila ujilipize kisasi na kuonyesha kuwa unatawala Mbingu na nchi.
Nasi wana wa nchi tutauimba wimbo wa Musa mtumishi wako na wa mwana kondoo wako kama Israel walipo uimba wimbo wa Musa hapo kando ya bahari walipo tizama na kuona jinsi maangamizi ya Farao na jeshi lake walivyochinjwa na yale maji ya bahari.
Naomba hivi katika jina la Bwana Mungu wa mbingu na nchi. Amen.View attachment 3067425
Ameen 🙏🙏
 
Naisi Kuna vitu haviko sawa vichwani kwetu siyo siri ni live....
 
Basi sasa, Ee Mungu wetu, yasikilize maombi ya mtumishi wako, na dua zake, ukaangazishe uso wako juu ya patakatifu pako palipo ukiwa, kwa ajili ya Bwana. Ee Mungu wangu, tega sikio lako, ukasikie; fumbua macho yako ukautazame ukiwa wetu, na nchi ile ulioitwa kwa jina lako; maana hatukutolei maombi yetu kwa sababu ya haki yetu, lakini kwa sababu ya rehema zako nyingi.
Ee Bwana, usikie; Ee Bwana, usamehe; Ee Bwana, usikilize, ukatende, usikawie; kwa ajili yako wewe, Ee Mungu wangu; kwa sababu nchi yako na watu wako wanaitwa kwa jina lako.
Mbona taifa linafanya ghasia,
Na makabila wanatafakari ubatili?
Wafalme na watesi wa nchi wanajipanga,
Na wakuu wanafanya shauri pamoja,
Juu ya BWANA,
Na juu ya haki ya watu
wake,
Na tuvipasue vifungo vyao,
Na kuzitupia mbali nasi kamba zao.
eeh Mungu wa mbingu na nchi tizama ukiwa wa watu wako Tanzania na uchungu wa mateso ya watawala wanayowalisha.
ukakumbuke Mungu kwamba mataso wanayoyapokea kutoka kwa watawa ni kwa sababu ya ukaidi wao.
Hata hivyo hawa watawala wawalao masikini wa nchi kama mtu aulavyo mkate hawana haki hiyo ya kufanya hivyo.
Basi Bwana nakusihi ukaukumbuke uovu huu wa watawala ukijilipize kisasi.
Maana imeandikwa kisasi ni juu ya yangu mimi Mungu.
Yeye aketiye mbinguni anacheka,
Bwana anawafanyia dhihaka.
Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake,
Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake.
Imenenwa
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi;
Bali mwovu atawalapo, watu huugua na ni Heri kijana maskini mwenye hekima
Kuliko mfalme mzee mpumbavu.
ambaye hajui tena kupokea maonyo.
Mtu yule uliyemwokoa kwa ishara na mkono wenye nguvu walipo mmiminia risasi 32 na 16 zikamwingia asife ndio leo hii kwa ushirika ule mwovu uliojipanga kuiba kila kitu cha nchi na hata uchaguzi wamemkamata ili asiendeleze kazi ya mlinzi.
Eeh Mungu wa mbingu na nchi chungulia kutoka mbingu zako ukaone nafsi za hawa watawala kama sii za uizi.
Mapato yao na anasa zao na biashara zao haziendani wala kufanana na mishahara yao. Zimetoka wapi sasa? Ni wezi wa hazina ya nchi. Wameiba uchaguzi na kujimilikisha uongozi kwa nguvu, ni ufalme wa kiimla na kwa hivyo hauna taji yq washiriki.
Wameiba pesa ya matibabu ya masikini wa nchi wanaotozwa kodi ya hadi mchicha na chumvi wanayokula.
Wameiba elimu ya hawa masikini hata wengi wao wamebaki kwenye lindi la ujinga wa kutoweza kupambanua. Wameingia ushirika wa kidhalimu kwa kuuza rasilimali za nchi kifisadi kupata pesa ya kununua haki ya masikini wa nchi hii.
Muumba wa mbingu na nchi chungulia kutoka katika mbingu zako ukaone mashauri yao maovu. Maana wamejiwekea haki kwamba mtu yule uliyemwokoa kwa risasi 32 walizo mrushia umemrudisha mikononi mwao wamwangamize yeye pamoja wa wana wa nchi wanaolilia haki.
Basi twaomba sasa eeh Mungu na iwe kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake pale bahari ya shamu walipo fikiri muujiza ule uliowafungukia wana wa Israeli ni kwa ajili yao pia kuwapata wawa angamize.
Ndipo walipo ufikilia mwisho wao.
Nao hawa eeh Muumba uwafikishe panapo maji ya bahari kwa ajili ya hukumu yako ya haki.
Shakula cha hawa watawala walapo njiani na majumbani mwao ni watoto wao ni udhalimu na wizi mtupu, ni damu na nyama ya masikini wa nchi wanaokufa kwa kukosa matibabu na dawa ilihali wagharimia kodi na tozo zote.
Eeh Mungu kwa watawala hawa dhalimu na iwe hivi kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake,
Kwamba hukuufanya moyo wake mgumu ila ujilipize kisasi na kuonyesha kuwa unatawala Mbingu na nchi.
Nasi wana wa nchi tutauimba wimbo wa Musa mtumishi wako na wa mwana kondoo wako kama Israel walipo uimba wimbo wa Musa hapo kando ya bahari walipo tizama na kuona jinsi maangamizi ya Farao na jeshi lake walivyochinjwa na yale maji ya bahari.
Naomba hivi katika jina la Bwana Mungu wa mbingu na nchi. Amen.View attachment 3067425
Amina mtumishi wa Mungu anayenena kwa kinywa na kutenda kwa mikono yake amesikia
 
Tuombe huku tukitimiza wajibu wetu wa kupambana na haya majizi, haya mauaji, haya matekaji, haya madhulumaji na majizi ya kura. Maana Mungu wetu hakutuumba wanyonge.

Tufuate mfano wa mtumishi wa Mungu Daud, hakusimama kimya akishuhudia Goliati akiwamaliza ndugu zake bali aliinuka na silaha dhaifu kabisa, manati, akamtungua Goliati kwa pigo moja la jiwe, na Mungu akatia nguvu kwenye manati ile, jitu la miraba minne Goliati likaanguka chini, furaha na amani vikawarejelea waliodhaniwa ni wanyonge wa kudhulumiwa uhai na haki zao wakati wote.

Tusimame hima, kila mmoja kwa namna na uweza wake, kila mmoja kwa nafasi yake, tuyakabili majitu haya maovu manyonya damu za watu, na Mungu wetu atatia baraka kwenye jitihada zetu dhidi ya haya mafuasi ya ibilisi.
 
Basi sasa, Ee Mungu wetu, yasikilize maombi ya mtumishi wako, na dua zake, ukaangazishe uso wako juu ya patakatifu pako palipo ukiwa, kwa ajili ya Bwana. Ee Mungu wangu, tega sikio lako, ukasikie; fumbua macho yako ukautazame ukiwa wetu, na nchi ile ulioitwa kwa jina lako; maana hatukutolei maombi yetu kwa sababu ya haki yetu, lakini kwa sababu ya rehema zako nyingi.
Ee Bwana, usikie; Ee Bwana, usamehe; Ee Bwana, usikilize, ukatende, usikawie; kwa ajili yako wewe, Ee Mungu wangu; kwa sababu nchi yako na watu wako wanaitwa kwa jina lako.
Mbona taifa linafanya ghasia,
Na makabila wanatafakari ubatili?
Wafalme na watesi wa nchi wanajipanga,
Na wakuu wanafanya shauri pamoja,
Juu ya BWANA,
Na juu ya haki ya watu
wake,
Na tuvipasue vifungo vyao,
Na kuzitupia mbali nasi kamba zao.
eeh Mungu wa mbingu na nchi tizama ukiwa wa watu wako Tanzania na uchungu wa mateso ya watawala wanayowalisha.
ukakumbuke Mungu kwamba mataso wanayoyapokea kutoka kwa watawa ni kwa sababu ya ukaidi wao.
Hata hivyo hawa watawala wawalao masikini wa nchi kama mtu aulavyo mkate hawana haki hiyo ya kufanya hivyo.
Basi Bwana nakusihi ukaukumbuke uovu huu wa watawala ukijilipize kisasi.
Maana imeandikwa kisasi ni juu ya yangu mimi Mungu.
Yeye aketiye mbinguni anacheka,
Bwana anawafanyia dhihaka.
Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake,
Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake.
Imenenwa
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi;
Bali mwovu atawalapo, watu huugua na ni Heri kijana maskini mwenye hekima
Kuliko mfalme mzee mpumbavu.
ambaye hajui tena kupokea maonyo.
Mtu yule uliyemwokoa kwa ishara na mkono wenye nguvu walipo mmiminia risasi 32 na 16 zikamwingia asife ndio leo hii kwa ushirika ule mwovu uliojipanga kuiba kila kitu cha nchi na hata uchaguzi wamemkamata ili asiendeleze kazi ya mlinzi.
Eeh Mungu wa mbingu na nchi chungulia kutoka mbingu zako ukaone nafsi za hawa watawala kama sii za uizi.
Mapato yao na anasa zao na biashara zao haziendani wala kufanana na mishahara yao. Zimetoka wapi sasa? Ni wezi wa hazina ya nchi. Wameiba uchaguzi na kujimilikisha uongozi kwa nguvu, ni ufalme wa kiimla na kwa hivyo hauna taji yq washiriki.
Wameiba pesa ya matibabu ya masikini wa nchi wanaotozwa kodi ya hadi mchicha na chumvi wanayokula.
Wameiba elimu ya hawa masikini hata wengi wao wamebaki kwenye lindi la ujinga wa kutoweza kupambanua. Wameingia ushirika wa kidhalimu kwa kuuza rasilimali za nchi kifisadi kupata pesa ya kununua haki ya masikini wa nchi hii.
Muumba wa mbingu na nchi chungulia kutoka katika mbingu zako ukaone mashauri yao maovu. Maana wamejiwekea haki kwamba mtu yule uliyemwokoa kwa risasi 32 walizo mrushia umemrudisha mikononi mwao wamwangamize yeye pamoja wa wana wa nchi wanaolilia haki.
Basi twaomba sasa eeh Mungu na iwe kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake pale bahari ya shamu walipo fikiri muujiza ule uliowafungukia wana wa Israeli ni kwa ajili yao pia kuwapata wawa angamize.
Ndipo walipo ufikilia mwisho wao.
Nao hawa eeh Muumba uwafikishe panapo maji ya bahari kwa ajili ya hukumu yako ya haki.
Shakula cha hawa watawala walapo njiani na majumbani mwao ni watoto wao ni udhalimu na wizi mtupu, ni damu na nyama ya masikini wa nchi wanaokufa kwa kukosa matibabu na dawa ilihali wagharimia kodi na tozo zote.
Eeh Mungu kwa watawala hawa dhalimu na iwe hivi kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake,
Kwamba hukuufanya moyo wake mgumu ila ujilipize kisasi na kuonyesha kuwa unatawala Mbingu na nchi.
Nasi wana wa nchi tutauimba wimbo wa Musa mtumishi wako na wa mwana kondoo wako kama Israel walipo uimba wimbo wa Musa hapo kando ya bahari walipo tizama na kuona jinsi maangamizi ya Farao na jeshi lake walivyochinjwa na yale maji ya bahari.
Naomba hivi katika jina la Bwana Mungu wa mbingu na nchi. Amen.View attachment 3067425
Hapa Mungu wa Israel atake asitake atusikilize sisi watumishi wake.

Na ijulikane yakuwa ni Mungu Mwenye Nguvu na Hakuna Mwingine Awaye yeyote
 
Dua wanaomba kwa vitendo. Wana wanabakwa na wanasiasa wanafugwa unafikiri dua pekee ndiyo jawabu wewe umefanya nini kwa vitendo na akili uliyopewa. Tuache uvivu na uoga
Hatuombi na kukaa pembeni ndugu bali tunaitendea kazi imani.
Hujui kuwa imani ni matendo katika kazi?
 
Basi sasa, Ee Mungu wetu, yasikilize maombi ya mtumishi wako, na dua zake, ukaangazishe uso wako juu ya patakatifu pako palipo ukiwa, kwa ajili ya Bwana. Ee Mungu wangu, tega sikio lako, ukasikie; fumbua macho yako ukautazame ukiwa wetu, na nchi ile ulioitwa kwa jina lako; maana hatukutolei maombi yetu kwa sababu ya haki yetu, lakini kwa sababu ya rehema zako nyingi.
Ee Bwana, usikie; Ee Bwana, usamehe; Ee Bwana, usikilize, ukatende, usikawie; kwa ajili yako wewe, Ee Mungu wangu; kwa sababu nchi yako na watu wako wanaitwa kwa jina lako.
Mbona taifa linafanya ghasia,
Na makabila wanatafakari ubatili?
Mfalme na watesi wa nchi wanajipanga,
Na wakuu wanafanya shauri pamoja,
Juu ya BWANA,
Na juu ya haki ya watu
wake,
Na tuvipasue vifungo vyao,
Na kuzitupia mbali nasi kamba zao.
eeh Mungu wa mbingu na nchi tizama ukiwa wa watu wako Tanzania na uchungu wa mateso ya watawala wanayowalisha.
ukakumbuke Mungu kwamba mataso wanayoyapokea kutoka kwa watawa ni kwa sababu ya ukaidi wao.
Hata hivyo hawa watawala wawalao masikini wa nchi kama mtu aulavyo mkate hawana haki hiyo ya kufanya hivyo.
Basi Bwana nakusihi ukaukumbuke uovu huu wa watawala ukajilipize kisasi.
Maana imeandikwa kisasi ni juu ya yangu mimi Mungu.
Yeye aketiye mbinguni anacheka,
Bwana anawafanyia dhihaka.
Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake,
Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake.
Imenenwa
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi;
Bali mwovu atawalapo, watu huugua na ni Heri kijana maskini mwenye hekima
Kuliko mfalme mzee mpumbavu.
ambaye hajui tena kupokea maonyo.
Mtu yule uliyemwokoa kwa ishara na mkono wenye nguvu walipo mmiminia risasi 32 na 16 zikamwingia asife ndio leo hii kwa ushirika ule wa waovu wa nchi hii uliojipanga kuiba kila kitu cha nchi kuanzia uchaguzi wamemkamata ili asiendeleze kazi ya mlinzi.
Eeh Mungu wa mbingu na nchi chungulia kutoka mbingu zako ukaone nafsi za hawa watawala kama sii za hatia ya wizi.
Mapato yao na anasa zao na biashara zao haziendani wala kufanana na mishahara yao. Zimetoka wapi sasa? Ni wezi wa hazina ya nchi. Wameiba uchaguzi na kujimilikisha uongozi kwa nguvu, ni ufalme wa kiimla na kwa hivyo hauna taji ya washiriki.
Wameiba pesa ya matibabu ya masikini wa nchi wanaotozwa kodi ya hadi mchicha na chumvi wanayokula.
Wameiba elimu ya hawa masikini hata wengi wao wamebaki kwenye lindi la ujinga wa kutoweza kupambanua. Wameingia ushirika wa kidhalimu na wageni kwa kuuza rasilimali za nchi kifisadi kupata pesa ya kununua haki ya masikini wa nchi hii.
Muumba wa mbingu na nchi chungulia kutoka katika mbingu zako ukaone mashauri yao maovu. Maana wamejiwekea haki na kujiapiza kwamba mtu yule uliyemwokoa kwa risasi 32 walizo mrushia umemrudisha mikononi mwao wamwangamize yeye pamoja wa wana wa nchi wanaolilia haki.
Basi twaomba sasa eeh Mungu na iwe kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake pale bahari ya shamu walipo fikiri muujiza ule uliowafungukia wana wa Israeli ni kwa ajili yao pia kuwapata ili wawaangamize.
Ndipo walipo ufikilia mwisho wao.
Na hawa wadhalimu wa nchi eeh Muumba uwafikishe panapo maji ya bahari kwa ajili ya hukumu yako ya haki.
Shakula cha hawa watawala walapo ugenini na majumbani mwao na watoto wao ni udhalimu na wizi mtupu, ni damu na nyama ya masikini wa nchi wanaokufa kwa kukosa matibabu na dawa ilihali wanagharimia kwa kodi na tozo zote.
Eeh Mungu kwa watawala hawa dhalimu na iwe hivi kwao kama ilivyokuwa kwa farao na jeshi lake,
Kwamba hukuufanya moyo wake mgumu ila ujilipize kisasi na kuonyesha kuwa unatawala Mbingu na nchi.
Nasi wana wa nchi tutauimba wimbo wa Musa mtumishi wako na wa mwana kondoo wako kama Israel walipo uimba wimbo wa Musa hapo kando ya bahari walipo tizama na kuona jinsi maangamizi ya Farao na jeshi lake lilivyochinjwa na yale maji ya bahari.
Naomba hivi

Wacha porojo wewe, kinachoendelea sasa hivi kilielezewa mapema, labda uwe poyoyo tu ndio usielewe maana ya R nne.

Usishangae kuona mabadiliko na mifumo mipya, hizo ni R mbili za mwisho.

Hii falsafa ni endelevu sio ya kuanza lini kwisha lini. Tutarajie mabadiliko (Reforms) na Kujenga upya mifumo yote ambayo haipo sawa (Rebuilding).

Nakutahadharisha mapema tu, hii awamu kwenye muhulka wake wa pili ndio itafanya mabadiliko makubwa ya katiba, kwa hiyo lazima mifumo yote iendane na hayo.

Unafikiri Kibudu kawekwa pale kwa kuwa anapendwa sana? Hapana, kwa kuwa inabidi akabiliane namadudu ya madeni ya sheria zake mbovu. Pia akabebe shipa la katiba mpya ijayo.
 
Wacha porojjo wewe, kinachoendelea sasa hivi kilielezewa mapema, labda uwe poyoyo yu ndio usielewe manaa ya R nne.

Usishangae kuona mabadiliko na mifumo mipya, hizo ni R mbili za mwosho.

Hii falsafa ni endelevu sio ya kuanza lini kwisha lini. Tutarajie mabadiliko (Reforms) na Kujenga upya mifumo yote ambayo haipo sawa (Rebuilding).

Nakutahadharisha mapema tu, hii awamu kwenye muhulka wake wa pili ndio itafanya mabadiliko makubwa ya katiba, kwa hiyo lazima mifumo yote iendane na hayo.

Unafikiri Kibudu kawekwa pale kwa kuwa anapendwa sana? Hapana, kwa kuwa inabidi akabiliane namadudu ya madeni ya sheria zake mbovu. Pia akabebe shipa la katiba mpya ijayo.
Hata hueleweke unataka kumaanisha nini hapa.
Labda kama kuna aliyekuelewa ajitokeze atusaidie.
 
Back
Top Bottom