Msaga_sumu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2022
- 289
- 291
Ndugu zangu habari na heshima kwenu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, mkazi wa Dar es Salaam, kwa sasa najishughulisha na kazi ya ufreelancer katika kampuni moja malipo ni kwa commission, pia najihusisha na vishughuli vya hapa na pale kujipatia chochote kitu ikiwa pamoja na udalali wa vitu na vyumba, pia ni mtaalamu wa kompyuta hivyo huwa natengenezaga posters, cards, naandaa projects, applications na huduma zingine za stationary, kutokana na kukosa mtaji siwezi kuendesha kwa ukubwa kazi hizo
Wakuu kama kuna mtu anaweza nisaidia kazi yoyote ya kuweza kujipatia kipato anisaidie nipo tayari kufanya kwa moyo na uwezo wangu kadri Mungu alivonijalia.
Shukrani sana.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, mkazi wa Dar es Salaam, kwa sasa najishughulisha na kazi ya ufreelancer katika kampuni moja malipo ni kwa commission, pia najihusisha na vishughuli vya hapa na pale kujipatia chochote kitu ikiwa pamoja na udalali wa vitu na vyumba, pia ni mtaalamu wa kompyuta hivyo huwa natengenezaga posters, cards, naandaa projects, applications na huduma zingine za stationary, kutokana na kukosa mtaji siwezi kuendesha kwa ukubwa kazi hizo
Wakuu kama kuna mtu anaweza nisaidia kazi yoyote ya kuweza kujipatia kipato anisaidie nipo tayari kufanya kwa moyo na uwezo wangu kadri Mungu alivonijalia.
Shukrani sana.