Leo tarehe 4/11/2013 naanza mitihani ya kidato cha nne, leo ntaanza na Geography saa 2:00 asubhi na baadae English saa 8:00 mchana. Maombi yako ni muhimu sana!
mhhhhhhhh kweli jf inamengi
kumbe humu kuna mpaka member wa form 4? wewe haina haja ya maombi sababu mda wa kusoma wewe unaperuzi jf bila hata kuwa na woga waonyesha ni kiasi gani ulivyo kubuhu mitandaoni umeamka kurupu na kupost jf wewe div 5 ni saizi yako bana