Maombi yenu wana Jamii

Maombi yenu wana Jamii

fixit KEM

Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
89
Reaction score
63
Husika na Kichwa Hapo juu

Nahitaji mniombee kwani....
......Naelekea ATM na kadi ya kupigia kura!!!!!

RIZIKI ANATOA MAULANA
[HASHTAG]#aombae[/HASHTAG] hupewa
 
hahahahahaahahahahahahhaahha
Mimi nilifunga kwa ajili ya shughuli za ofisi tu naona na nyie wagonjwa mnatumia Siku hizi
lakini ujue "gari la takataka na lenyewe ni taka" hivyo bhasi na wewe ni miongoni mwetu wana mirembe........teh teh teh
 
Husika na Kichwa Hapo juu

Nahitaji mniombee kwani....
......Naelekea ATM na kadi ya kupigia kura!!!!!

RIZIKI ANATOA MAULANA
[HASHTAG]#aombae[/HASHTAG] hupewa
Mmh haya kwakuwa ni ombi
 
Back
Top Bottom