maombolezo kwa maandamano ni utamaduni kutoka kabila gani hapa Tanzania?

Hivi maombolezo imekuwa ni dhihaka kiasi hiki??Maombolezo sio ibada ...??
Eti maombolezo kwa kuingia barabarani na slogan ya SAMIA MUST GO....
hawa vibaraka wa mabeberu wanatuletea tamaduni za nchi gani??

#KATAA WAHUNI
Hao ndiyo ukisikia wajinga ndiyo waliwao.

Mama Samia anawaumiza sana roho zao. Wakumbuke tu, kazi ya Mungu haina makosa.
 
Hivi maombolezo imekuwa ni dhihaka kiasi hiki??Maombolezo sio ibada ...??
Eti maombolezo kwa kuingia barabarani na slogan ya SAMIA MUST GO....
hawa vibaraka wa mabeberu wanatuletea tamaduni za nchi gani??

#KATAA WAHUNI
Watanzania wameshtuka

Wataandamana na familia zao
 
Hivi maombolezo imekuwa ni dhihaka kiasi hiki??Maombolezo sio ibada ...??
Eti maombolezo kwa kuingia barabarani na slogan ya SAMIA MUST GO....
hawa vibaraka wa mabeberu wanatuletea tamaduni za nchi gani??

#KATAA WAHUNI
 
Hivi maombolezo imekuwa ni dhihaka kiasi hiki??Maombolezo sio ibada ...??
Eti maombolezo kwa kuingia barabarani na slogan ya SAMIA MUST GO....
hawa vibaraka wa mabeberu wanatuletea tamaduni za nchi gani??

#KATAA WAHUNI
Ila mnapowaomba misaada hamuwaiti vibaraka bali wafadhili🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…