Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Nilidhania taifa liko kwenye maombolezo ya aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na muasisi wa taifa hili kwa siku saba. Aliyetutangazia maombolezo hayo yuko mpirani kuhamasisha ushindi.. hivi alishindwa hata kujibanza Ikulu kuangalia kwenye big screen na kumtuma waziri mmoja hivi..kweli ilimpasa kwenda?
Jamani huu ukosoaji sasa umezidi! Kwani kwenda kwake uwanjani na kuangalia mpira ndio kunaondoa 'maombolezo'? Mkosoe Rais Kikwete kwenye mambo mengine yaliyo wazi lakini kwa hili sikubaliani na wewe Mzee Mwanakijiji.
SpinDoctor, binafsi sipendi kubishana na kuwa upande wowote kuhusu suala hili. Lakini tuje kimantiki zaidi kuliko ki ushabiki. Hivi kwa mfano kulikuwa na ulazima gani kulitangazia taifa kwamba tutakuwa katika maombolezo kwa kipindi cha siku saba.Jamani huu ukosoaji sasa umezidi! Kwani kwenda kwake uwanjani na kuangalia mpira ndio kunaondoa 'maombolezo'? Mkosoe Rais Kikwete kwenye mambo mengine yaliyo wazi lakini kwa hili sikubaliani na wewe Mzee Mwanakijiji.
Jamani huu ukosoaji sasa umezidi! Kwani kwenda kwake uwanjani na kuangalia mpira ndio kunaondoa 'maombolezo'? Mkosoe Rais Kikwete kwenye mambo mengine yaliyo wazi lakini kwa hili sikubaliani na wewe Mzee Mwanakijiji.
Nilidhania taifa liko kwenye maombolezo ya aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na muasisi wa taifa hili kwa siku saba. Aliyetutangazia maombolezo hayo yuko mpirani kuhamasisha ushindi.. hivi alishindwa hata kujibanza Ikulu kuangalia kwenye big screen na kumtuma waziri mmoja hivi..kweli ilimpasa kwenda?
Jamani huu ukosoaji sasa umezidi! Kwani kwenda kwake uwanjani na kuangalia mpira ndio kunaondoa 'maombolezo'? Mkosoe Rais Kikwete kwenye mambo mengine yaliyo wazi lakini kwa hili sikubaliani na wewe Mzee Mwanakijiji.
we babako akifa then within 2 days toka umzike tukuone bar umeshika fimbo ya kuchezea pool unadhani tutakuelewa??in simple terms hatuna rais serious....
Mganga wa kupindisha mbona unalia sana ?Naona umeumia sana mwananchi na mzalendo mwanakijiji ku hoji hili . Kaniwahi tu hata nilitaka kuuliza . Kama unapinga JK kukosolewa jenga hoja sasa usilie lie tu
SpinDoctor, binafsi sipendi kubishana na kuwa upande wowote kuhusu suala hili. Lakini tuje kimantiki zaidi kuliko ki ushabiki. Hivi kwa mfano kulikuwa na ulazima gani kulitangazia taifa kwamba tutakuwa katika maombolezo kwa kipindi cha siku saba.
Kwa tafsiri ambayo siyo sahihi sana (tafsiri binafsi) Maombolezo ni ile hali ya kuwa katika majonzi mazito kuzingatia jambo baya lililo tokea na mara nyingi ni msiba kwa maana ya kufiwa. Ili kupata maana ilete katika kiwango cha familia. Hebu niambie unadhani kweli Mhe.Vita na ndugu zake wengine walikuwepo kiwanjani kweli?
Kama ni lazima tunatakiwa kusema ukiwa mwongo usiwe msahaulifu. Hakukuwa na sababu ya kutangaza kitu ambacho wewe mwenyewe kama kiongozi huwezi kukitekeleza. Kifupi wakati mwingine kiongozi ni lazima awe mnafiki ili kulinda alichokisema bila kujali kama alichokisema anakiamini au la (busara hapa ni kujenga imani kwa watu wanaokuanimi kupitia uyasemayo) na hii ndiyo hekima ya uongozi.
Kimya cha Dakika moja kilifanyika. Maombolezo ya siku 7 na bendera kupepea nusu mlingoti, the rest ni issues za judgement, a man with a mission to sell Tanzania, as a sales man, baada ya kutoa pole, unapanga na bidhaa zako bazarani kwa wafiwa ili wale wanaokuja kutoa pole wazione nao japo wanunue. Msiba umemkuta kipindi cha mauzo, as a good salesman of his nation, maadam tumeshiriki hatua zote mpaka maziko, then life goes on, biashara kama kawa.
RIP Simba wa Vita.
Kimya cha Dakika moja kilifanyika. Maombolezo ya siku 7 na bendera kupepea nusu mlingoti, the rest ni issues za judgement, a man with a mission to sell Tanzania, as a sales man, baada ya kutoa pole, unapanga na bidhaa zako bazarani kwa wafiwa ili wale wanaokuja kutoa pole wazione nao japo wanunue. Msiba umemkuta kipindi cha mauzo, as a good salesman of his nation, maadam tumeshiriki hatua zote mpaka maziko, then life goes on, biashara kama kawa.
RIP Simba wa Vita.
we babako akifa then within 2 days toka umzike tukuone bar umeshika fimbo ya kuchezea pool unadhani tutakuelewa??in simple terms hatuna rais serious....
Mimi nilikuwa mbishi mpaka nilipoona ni picha yake haswa kwenye ile bembea.Nikaungana na wengine wengi kuhisi lipo tatizo ambalo pamoja na kujaribu kulificha ficha, linajiweka bayana lenyewe bila kusukumizwa.we babako akifa then within 2 days toka umzike tukuone bar umeshika fimbo ya kuchezea pool unadhani tutakuelewa??in simple terms hatuna rais serious....
tuige basi hata vile vizuri vya huko ugenini; hivi kama ingekuwa ni kifo cha Nyerere angeenda mpirani ndani ya siku za maombolezo ya kitaifa? AU maana ya maombolezo ya "kitaifa" imeshapotea? Kuomboleza imekuwa ni kuteremsha bendera tu na kuinamisha kichwa kwa dakika moja?
Mkuu Pasco,
Sina la kuongeza kwenye hii hoja yako...kama Taifa tumekuwa watu wa kwenda slow kwenye kila kitu angalau kwenye hili JK ameweka nchi mbele badala ya kukaa Ikulu na kuombeleza kifo (no offence kwa wafiwa).
I wish rais angekuwa aggresive hivi hivi kwenye vipaumbele vyote vya Taifa.