Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #21
Hapa ndipo tunaopokesea Watanzania kwenye hoja/mambo mengi sana. Tuna-personalise mambo bila ulazima wowote.
Rais amekwenda kama Ofisi sio kama Kikwete...kwanza hiyo ziara ya Ivory C. (sijui kama kuna nchi zingine zitakuja) zimetengewa Bilioni 7. Sasa kwa hela hiyo sio Rais tu na Bunge lote (bila kupewa posho..!!) lingetakiwa kufika hapo uwanja wa Taifa kuweka msisitizo zaidi.
si kweli; hivi leo hii Taifa Stars ingeifunga Ivory Coast si tungeshabikia kwa kuchanga nusu bilioni nyingi kuisaidia Stars kama tulivyofanya ilipoifunga Togo; Rais hakuwa na sababu hata chembe ya kwenda kwenye mechi hii ya kirafiki isiyo na umuhimu wowote (i repeat haina umuhimu wowote ule) kwa soka la Tanzania. Tunajidanganya tukifikiria kuwa kwa kucheza na Ivory Coast basi wachezaji wetu wamejifunza kitu.. Si tulifikiria hivyo hivyo walipoenda Brazili?
Ni nani leo hii akiwa amefiwa na ndugu yake ambaye amemzika siku mbili nyuma anaenda kucheza cheza na kuruka ruka kwenye michezo isiyo na maana wala mantiki?
Aliyetutangazia msiba huu "mkubwa wa kitaifa" na ambaye alishindwa kujizuia machozi ndiye wa kwanza kwenda kushangilia mechi ya mpira ambayo matokeo yake hayana maana yoyote kwa Taifa Stars wale kwa Ivory Coast zaidi ya kuwapa taste ya matumizi ya uwanja wetu mpya..
hakwenda kama Rais kwani hakuna ulazima wa Rais kwenda; ni kama kwenda kufungua hoteli ile ya Arusha ambapo hakukuwa na ulazima wake. Kama alitakiwa kwenda Rais angeenda Makamu wa RAis au hata Waziri Mkuu.. Au angalau ingekuwa ni mechi ya kugombania nafasi fulani au point fulani muhimu..
MKJJ
Marehemu Kawawa hakuwa Nyerere, sio kwa Cheo, Utashi wala Elimu. Usichanganye viongovi hawa wawili ili kujenga tu hoja yako.
Kwa kifupi JKN alikuwa Rais tena kwa miaka zaidi ya 20, na tangu amengatuka nchi imekuwa na maraisi 3 tu baada yake....sasa tangu Kawawa angatuke/aondolewe Uwaziri Mkuu tumekuwa na Mawaziri Wakuu wangapi..?? Hizi ofisi 2 moja ni kubwa sana kuliko nyingine...in fact hatuhitaji hata kuwa na Waziri Mkuu (but that's a topic for another thread).
She adds that the African Liberation Committee, formed by the Organisation of African Unity in 1963 to support liberation movements, has information on the ANC, Madiba and the anti-apartheid movement. Some of these records will be added to the Foundations Mandela Materials database.
I had thought I would get more information from the TANU records. (The party has since changed its name to Chama Cha Mapinduzi.) I was however unable to access these records and the records of Mr Rashidi Kawawa, former Prime Minister of Tanganyika and of Tanzania in 1972-1977, who assisted Madiba in 1962 when he was in Tanzania en route to Ethiopia, Algeria and the rest of Africa, says Ms Riba. These records are kept in Dodoma, the capital of Tanzania, 486km (300mi) from Dar es Salaam, where Ms Riba was based and where many government offices are located.
It was on this note that I left South Africa to proceed to Addis Ababa as a delegate of the ANC. My tour was a success. Wherever I went I met sympathy for our cause and promises of help. All Africa was united against the stand of White South Africa, and even in London I was received with great sympathy by political leaders, such as Mr. Gaitskell and Mr. Grimond. In Africa I was promised support by such men as Julius Nyerere, now President of Tanganyika; Mr. Kawawa, then Prime Minister of Tanganyika; Emperor Haile Selassie of Ethiopia; General Abboud, President of the Sudan; Habib Bourguiba, President of Tunisia; Ben Bella, now President of Algeria; Modibo Keita, President of Mali; Leopold Senghor, President of Senegal; Sekou Toure, President of Guinea; President Tubman of Liberia; and Milton Obote, Prime Minister of Uganda. It was Ben Bella who invited me to visit Oujda, the Headquarters of the Algerian Army of National Liberation, the visit which is described in my diary, one of the Exhibits.
I beg to differ, naona na wewe una-personalise hii issue. Rais sio Mjomba wa nchi, Rais ni mtumishi wa nchi. Leo hii hata kama akifiwa yeye binanfi (God forbid) Taifa likimuhitaji; anatakiwa aweke majonzi yake pembeni akalitumikie Taifa.
Taifa kuwa msibani haimaanishi kabisa kuwa Ofisi ya Rais inasimama kulitumikia Taifa.
Hii spirit aliyonyeshwa na ofisi ya Rais inahitajika kwenye kila Sekta ya Taifa letu.
we babako akifa then within 2 days toka umzike tukuone bar umeshika fimbo ya kuchezea pool unadhani tutakuelewa??in simple terms hatuna rais serious....
Asilimia kubwa ya waTz hususani wasomi reasoning capacity yao ni ndogo sana but wao wenyewe hujiona ni wajanja na ndiyo maana mtu akiwa mjanja kidogo tu nakuligundua hilo basi atawadrive the way anavyotaka na kukaapembeni akicheka maana anaweza sema kitu kwa kutegesha uone respond ya Great thinkers....WATZ WANAJUDGE NANI KASEMA NA SIO KASEMA NINI HASA NA KINA ENDANA NA TUKIO AU MAANA HALISI?????........na WANASIASA WATZ wanalijua sana na ndoo maana wataendelea kutesa kwa kwenda mbele.....
" IF YOU REAL HAVE A BRAIN YOU WILL KNOW WHAT I REAL MEAN"
It's just not a good look. He should have just stayed at home and watched the game. It is things like this that call into question his judgement as a leader.
RAIS mstaafu wa Namibia, Dk. Sam Nujoma, amemtumia salamu za rambirambi Rais Jakaya Kikwete kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais, Rashid Mfaume Kawawa.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana jijini Dar es Salaam na Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, ilieleza kuwa Mwalimu Julius Nyerere na Mzee Kawawa wataendelea kukumbukwa daima kwa mchango wao mkubwa katika harakati za kupigania uhuru wa nchi za kusini mwa Afrika.
"Tulipokuwa katika harakati za kupigania uhuru wa Afrika kutoka kwa Makaburu, Wareno na Waingereza, viongozi wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Kawawa walishiriki kwa juhudi kubwa katika ukombozi huu, tutawakumbuka daima," ilisema taarifa hiyo.
si kweli; hivi leo hii Taifa Stars ingeifunga Ivory Coast si tungeshabikia kwa kuchanga nusu bilioni nyingi kuisaidia Stars kama tulivyofanya ilipoifunga Togo; Rais hakuwa na sababu hata chembe ya kwenda kwenye mechi hii ya kirafiki isiyo na umuhimu wowote (i repeat haina umuhimu wowote ule) kwa soka la tanzania. Tunajidanganya tukifikiria kuwa kwa kucheza na Ivory Coast basi wachezaji wetu wamejifunza kitu..
Leo hii Sam Najuma ametuma salamu hizi🙁tanzania daima)
sasa alipopewa taarifa hiyo akiwa uwanjani au Ikulu alifanya nini. Sitoshangaa alikataa kuifungua isije ikamharibia mood yake ya kushangilia taifa stars!
Nilidhania taifa liko kwenye maombolezo ya aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na muasisi wa taifa hili kwa siku saba. Aliyetutangazia maombolezo hayo yuko mpirani kuhamasisha ushindi.. hivi alishindwa hata kujibanza Ikulu kuangalia kwenye big screen na kumtuma waziri mmoja hivi..kweli ilimpasa kwenda?