Maombolezo ya leo chato kuyaita ni ya Nyerere sio sahihi ni ya Magufuli

Maombolezo ya leo chato kuyaita ni ya Nyerere sio sahihi ni ya Magufuli

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wadau kweli hayati baba wa taifa kaanza kupuuzwa kabisa.Haingii akilini hayati baba wa taifa kazikwa butiama kaburi lipo butiama lakini maombolezo yapo chato na maua yanawekwa kwenye kaburi la magufuli

Kama hoja ni kuzima mwenge kwanini wahusika wasingepanga tarehe tofauti ya kuzima mwenge na maombolezo ya baba wa taifa? Ili matukio yote yafanyike kwa heshima inayostahili kwani kulikuwa na ugumu gani mwenge kuzimwa tarehe 12/10 na maombolezo yakafanyika tarehe 14/10?

Tukumbuke hayati baba wa taifa ni zaidi ya huo mwenge ukweli waliopanga hii ratiba wametukosea watanzania wanatakiwa watuombe radhi
 
Wadau kweli HAYATI Baba wa Taifa kaanza Kupuuzwa kabisa.Haingii Akilini Hayati BABA wa TAIFA Kazikwa BUTIAMA KABURI lipo BUTIAMA lakini MAOMBOLEZO yapo CHATO na MAUA yanawekwa kwenye KABURI la MAGUFULI
Kama Hoja ni KUZIMA MWENGE kwanini Wahusika Wasingepanga TAREHE tofauti ya KUZIMA MWENGE na MAOMBOLEZO ya BABA wa TAIFA? ili Matukio yote Yafanyike kwa HESHIMA Inayostahili kwani Kulikuwa na UGUMU gani MWENGE Kuzimwa Tarehe 12/10 na MAOMBOLEZO yakafanyika Tarehe 14/10? Tukumbuke Hayati BABA wa TAIFA ni Zaidi ya huo MWENGE Ukweli Waliopanga hii RATIBA WAMETUKOSEA WATANZANIA Wanatakiwa WATUOMBE RADHI
Jinyonge kenge wewe
 
Ila kweli.
Kwann yameunganishwa hata matukio mawili.
Chato inahusika nn na mwenge?
Magufuli na Mwenge wapi na wapi?

Japo mi pia siuelewi umuhimu wa Mwenge zaidi ya kuenzi Legacy ya Mzee.
Hata Magufuli hakuwa anaupa umuhimu Mwenge

Kuna vitu hata kama ndo asisahaulike ,vinabore!!
Basi tu
 
Huu Mwenge ulipaswa kuwa makumbusho?
 
Bibi Hangaya dishi limeyumba. Umri wa kustaafu ni miaka 60. Bibi Hangaya ana 63 na hapo alifoji miaka.
Mzee mwenzie Mfugale alifia ofisini kisa uroho wa vyeo.
Knowledge brings wisdom. Discuss... ,acha hii lugha. Haina busara.
 
Mimi najua walishakubaliana hivyo kwamba mwenge uzimwe tarehe 14 kila mwaka.

Hata mwakani utazimwa NJOMBE tarehe 14.

Halafu sio maonbolezo bali ni kumbukizi
 
Wadau kweli HAYATI Baba wa Taifa kaanza Kupuuzwa kabisa.Haingii Akilini Hayati BABA wa TAIFA Kazikwa BUTIAMA KABURI lipo BUTIAMA lakini MAOMBOLEZO yapo CHATO na MAUA yanawekwa kwenye KABURI la MAGUFULI
Kama Hoja ni KUZIMA MWENGE kwanini Wahusika Wasingepanga TAREHE tofauti ya KUZIMA MWENGE na MAOMBOLEZO ya BABA wa TAIFA? ili Matukio yote Yafanyike kwa HESHIMA Inayostahili kwani Kulikuwa na UGUMU gani MWENGE Kuzimwa Tarehe 12/10 na MAOMBOLEZO yakafanyika Tarehe 14/10? Tukumbuke Hayati BABA wa TAIFA ni Zaidi ya huo MWENGE Ukweli Waliopanga hii RATIBA WAMETUKOSEA WATANZANIA Wanatakiwa WATUOMBE RADHI
Sioni hoja yoyote. Labda kama ungehoji kwa nini uzimwe CHATO na sio makao makuu ya mkoa yaani GEITA
 
Screenshot_20211014-163552.png


Nia njema ingekuwepo tungeweka kumbukizi siku ya kuzaliwa kwa Mwl. JKN!
Ila kama inavozimwa mwenge; juhudi zinafanyika kumzima na kumpuuza!
 
Wanataka ku devalue kumbukizi za baba wa taifa ambaye ndiye mwasisi wa taifa, kwa nini waunganishe na maombolezo ya chato? sasa hivi utawasikia ili kuwapa umuhimu viongozi wote waliotangulia basi hizi kumbukizi zihusishe wote.......mazwazwa siku zote huwa hawajielewi.
 
Knowledge brings wisdom. Discuss... ,acha hii lugha. Haina busara.
This is the place where we dare to talk openly, Tusipangiane cha kuandika bro! Wewe unamuona bibi yako yupo sawa? Kumbukumbu ya Nyerere anaenda Chato kwenye kaburi la Magu, anajikomba kwa wasukuma wakati hawataki hata kumsikia.
 
Wadau kweli HAYATI Baba wa Taifa kaanza Kupuuzwa kabisa.Haingii Akilini Hayati BABA wa TAIFA Kazikwa BUTIAMA KABURI lipo BUTIAMA lakini MAOMBOLEZO yapo CHATO na MAUA yanawekwa kwenye KABURI la MAGUFULI
Kama Hoja ni KUZIMA MWENGE kwanini Wahusika Wasingepanga TAREHE tofauti ya KUZIMA MWENGE na MAOMBOLEZO ya BABA wa TAIFA? ili Matukio yote Yafanyike kwa HESHIMA Inayostahili kwani Kulikuwa na UGUMU gani MWENGE Kuzimwa Tarehe 12/10 na MAOMBOLEZO yakafanyika Tarehe 14/10? Tukumbuke Hayati BABA wa TAIFA ni Zaidi ya huo MWENGE Ukweli Waliopanga hii RATIBA WAMETUKOSEA WATANZANIA Wanatakiwa WATUOMBE RADHI
Tulia huna hoja.
 
This is the place where we dare to talk openly, Tusipangiane cha kuandika bro! Wewe unamuona bibi yako yupo sawa? Kumbukumbu ya Nyerere anaenda Chato kwenye kaburi la Magu, anajikomba kwa wasukuma wakati hawataki
Rais ni mtumishi wa watu. Kuwa mnyenyekevu kwa unaowaongoza si udhaifu ni uimara. Ukiwa Amiri Jeshi Mkuu na unaongea na watu kwa unyenyekevu wewe ni kiongozi imara unaejiamini.

Kwani kwa kiongozi dhaifu anayeamini ktk nguvu angeweza kuwapuuza kwani hawawezi kufanya chochote. Busara tusiichukulie vibaya. Ni mtazamo wangu.
 
Wadau kweli HAYATI Baba wa Taifa kaanza Kupuuzwa kabisa.Haingii Akilini Hayati BABA wa TAIFA Kazikwa BUTIAMA KABURI lipo BUTIAMA lakini MAOMBOLEZO yapo CHATO na MAUA yanawekwa kwenye KABURI la MAGUFULI
Kama Hoja ni KUZIMA MWENGE kwanini Wahusika Wasingepanga TAREHE tofauti ya KUZIMA MWENGE na MAOMBOLEZO ya BABA wa TAIFA? ili Matukio yote Yafanyike kwa HESHIMA Inayostahili kwani Kulikuwa na UGUMU gani MWENGE Kuzimwa Tarehe 12/10 na MAOMBOLEZO yakafanyika Tarehe 14/10? Tukumbuke Hayati BABA wa TAIFA ni Zaidi ya huo MWENGE Ukweli Waliopanga hii RATIBA WAMETUKOSEA WATANZANIA Wanatakiwa WATUOMBE RADHI
Maombolezo ya nani?!!! Afadhali sikuangalia upuuzi huu.
 
Back
Top Bottom