Maombolezo ya leo chato kuyaita ni ya Nyerere sio sahihi ni ya Magufuli

Maombolezo ya leo chato kuyaita ni ya Nyerere sio sahihi ni ya Magufuli

Jinyonge kenge wewe
Kilichofanyika leo ni sawa na Pasaka kusherehekewa siku ya Iddi el Haji. Kila adhimisho Lina siku yake. Siku ya Nyerere ni leo, Magufuli day ni March 17. Kupeleka mashada kwenye kaburi la Magufuli na kutopeleka kwa Mwalimu mwenye siku yake ni sawa na kuadhimisha Pasaka siku ya Idi, hakuna uhusiano kabisa, washauri wa Rais Samia wamemdhalilisha Mwalimu na mjane mama Maria. Huu upuuzi usirudiwe tena wa kuadhimisha Pasaka siku ya Idi.
 
Chagadema and Chagga Development Manifesto mnahangaika sana!
 
This is the place where we dare to talk openly, Tusipangiane cha kuandika bro! Wewe unamuona bibi yako yupo sawa? Kumbukumbu ya Nyerere anaenda Chato kwenye kaburi la Magu, anajikomba kwa wasukuma wakati hawataki hata kumsikia.
Unatoa maoni kwa niaba yetu!! Mbona mimi namuelewa sana Rais wetu
 
Kilichofanyika leo ni sawa na Pasaka kusherehekewa siku ya Iddi el Haji. Kila adhimisho Lina siku yake. Siku ya Nyerere ni leo, Magufuli day ni March 17. Kupeleka mashada kwenye kaburi la Magufuli na kutopeleka kwa Mwalimu mwenye siku yake ni sawa na kuadhimisha Pasaka siku ya Idi, hakuna uhusiano kabisa, washauri wa Rais Samia wamemdhalilisha Mwalimu na mjane mama Maria. Huu upuuzi usirudiwe tena wa kuadhimisha Pasaka siku ya Idi.
Umewaza kitoto sana shekhe wangu?
 
Wadau kweli HAYATI Baba wa Taifa kaanza Kupuuzwa kabisa.Haingii Akilini Hayati BABA wa TAIFA Kazikwa BUTIAMA KABURI lipo BUTIAMA lakini MAOMBOLEZO yapo CHATO na MAUA yanawekwa kwenye KABURI la MAGUFULI
Kama Hoja ni KUZIMA MWENGE kwanini Wahusika Wasingepanga TAREHE tofauti ya KUZIMA MWENGE na MAOMBOLEZO ya BABA wa TAIFA? ili Matukio yote Yafanyike kwa HESHIMA Inayostahili kwani Kulikuwa na UGUMU gani MWENGE Kuzimwa Tarehe 12/10 na MAOMBOLEZO yakafanyika Tarehe 14/10? Tukumbuke Hayati BABA wa TAIFA ni Zaidi ya huo MWENGE Ukweli Waliopanga hii RATIBA WAMETUKOSEA WATANZANIA Wanatakiwa WATUOMBE RADHI
Tuna ma la i SS wawili, mmoja angeenda Chato na mwingine Buti hana?
 
Tuna ma la i SS wawili, mmoja angeenda Chato na mwingine Buti hana?
Kule Buti hana wameenda viongozi wa chadema, sirikali haioni tena umuhimu wa kuendelea kumuenzi baba wa taifa....
 
Back
Top Bottom