Maongezi ya Shilawadu na Zari kuhusu kuachana na Diamond Platinumz

ObieTrice

Senior Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
159
Reaction score
154
Inasemekana Wema Sepetu amerudiana na Diamond na Anapika na Kupakua ndani ya mjengo wa madale na inasemekana Diamond na Zari wameachana issue kubwa ikiwa ni swala la watoto kuwa sio wa diamond baada ya DNA Kupimwa kisirisiri na diamond ndani ya south afrika.
ila zari amekanusha kuwa hizi ni drama tu, Yeye na diamond platinumz wanapendana na wapo pamoja, alipoulizwa kuhusu kutomsindikiza Diamond Platinumz Uganda kwenye show ya Charity ametoa sababu ya kuwa yupo busy na kazi zingine zinazoendelea kwenye biashara zake za South Africa.
 
aisee
 
dunian hakuna siri tutajua tu mda ukifika
 
Ndo tabu ustaa ukiwa unazidi akili zako...waliozoea ustaa huwez kuskia upuuzi kama huu
 
Wanapendana sana hawa wakiweza kuvuka msuko suko huu salama basi itakuwa kazi kubwa kuwatenganisha.

 
Ivi wema ana nn??,
Achana na Wema! Hilo swali nimeshajiuliza sana lakini sijapata jibu!! Miaka miwili iliyopita wakati huo Wema yuko hot kweli kweli niliwahi kuuliza hivi Wema movie yake ya mwisho inaitwaje na alitoa lini! Sikupata jibu! Hata wanaomshabiki wasingeweza kuwa na jibu!

Lakini pamoja na yote hayo, influence ya Wema ni ya kuogopwa!! The only person anayemshinda Wema ni Diamond peke yake! But it's understandable for Diamond! Jamaa kila wakati anatoa kazi! I doubt asipotoa kazi muda mrefu kama alivyofanya Wema sidhani kama anaweza ku-maintain influence yake!!

Ukisikia watu wanazaliwa na nyota zao basi ni Wema Sepetu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…