Kaaah!mbona kawaida tu sasa ulitaka aseme wameachana?Daaa huyu mwanamke ana akili sana ukimsikia anavyo ongea hakika Diamond amepata bahati sana ila anatakiwa kubadilika....
Zari ana akili sana....
Waliozoea ustaa ndio kina nani? Unamaanisha walizaliwa na ustaa?Ndo tabu ustaa ukiwa unazidi akili zako...waliozoea ustaa huwez kuskia upuuzi kama huu
Kabisa. Hivi sasa hivi team Dai hawana direction wanazubaa zubaa tu hawaelewi waende mwelekeo upi hiyo yote ni kwa sababu wanashabikia muziki wake na mapenzi yake pia wanayashabikia ikitokea sintofahamu kama hii ndo full kizunguzunguNilisha post Humuu!!! Mahusiano ya Mastaa ukishabikia sana wanaweza kukuumbua
Hahaha umeniwahiHata wakati wanaanza mahusiano walisemaga ni project tu walikana,siyo ajabu pia wakikana the beginning of the end ya mahusiano hayo.Wenye akili tulishaelewa it is over btn them.
Hata wakati wanaanza mahusiano walisemaga ni project tu walikana,siyo ajabu pia wakikana the beginning of the end ya mahusiano hayo.Wenye akili tulishaelewa it is over btn them.
Kaaah!mbona kawaida tu sasa ulitaka aseme wameachana?
Yaweza kua wameingia mkataba wa kuheshimiana mambo yao ili kulinda majinaMwl sio kawaida kabisa yani ukimsikiliza mrembo Zari unasikia kitu kinaitwa huyu ndio mwanamke sahihi,hivi ndivyo mwanamke anapaswa kuongea juu ya mume au mtu wake amabye kuna vitu vimesha waunganisha hata kama hawako katika hali nzuri lakini ameweka ubinafsi pembeni.
Ukimsikiliza Zari unapata picha ya aina ya wanawake watu ambao wanatakiwa kuwa nao....Sauti ya Zari inaonesha mtu mwenye jukumu la kufanya kwa mume au mtu wake na ambaye hayuko tayari kuharibu au kuona mtu wake ana anguko ati kwa sababu wanapitia kwenye mikwaruzano...
Wanawake wetu wana jambo la kujifunza kwenye maongezi ya Zari....kwakweli Zari si mbinafsi kabisa anaju kabisa kwenye maisha kuna wakati unatoa na kuna wakati wa kupokea......
Kwakweli Zari ana akili sana ndio maana nasema Diamond anayo bahati..............
[emoji1] [emoji1] [emoji1]umesikiliza au umewahi nafasi
Swali hili likijibiwa uni-tag...Waliozoea ustaa ndio kina nani? Unamaanisha walizaliwa na ustaa?
PoaSwali hili likijibiwa uni-tag...
Sawa