Maoni: Bila kuathiri Katiba, Spika Ndugai anapaswa kujiuzulu

Maoni: Bila kuathiri Katiba, Spika Ndugai anapaswa kujiuzulu

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Mh Spika Ndugai ameonekana kuwa na kauli ambazo kimsingi zina kinzana na serikali amabyo yeye ni mmoja wa hiyo serikali.

Labda nimkumbushe kuwa yeye ni mwana chama wa CCM na ni serikali hiyo hiyo inayo tawala.

Kutoka mbele nakukosoa serikali ambayo ndio chanzo cha yeye kuwa spika nikujitoa ufahamu.

Hakuna mahali spika ametoka akaikosoa serikali nje ya utaratibu hapa mkuu amechemka Ukisoma zile kanuni kule bungeni utaona kabisa wamepewa protection kusema jambo lolote dhidi ya serikali ila sio nje ya bunge.

Hivyo basi Kauli ya Spika kwa serikali nje ya bunge ni kitendo uwenda kitaugharimu U spika wake muda wowote 2022. Stay tuned
 
Dawa I jikoni ndio maana Shake kufunga bakuli amgeropoka kitu tu
 
Mhe. Job hana cha kupoteza, pamoja na kuwa ni mwanachama wa chama kinachounda serikali lakini anasimamia muhimili unaojitegemea.

Ndio maana #KatibaMpya ni muhimu ili muhimili wa bunge ujitegemee. Tukisema muhimili wa bunge ukae kimya kwa sababu za kichama tutakuwa hatuendelei.
 
Ambacho kingetusaidia sisi kama wananchi ni HOJA au MISIMAMO ya kila kiongozi husika kuhusu MIKOPO tungejadili zaidi faida na hasara za kila hoja kwetu sisi binafsi wananchi.

Lakini mambo ya kuhofia usipika wa ndugai kupotea ndiyo kuwa hoja yetu ni ujinga kama ujinga mwingine
 
Ambacho kingetusaidia sisi kama wananchi ni HOJA au MISIMAMO ya kila kiongozi husika kuhusu MIKOPO tungejadili zaidi faida na hasara za kila hoja kwetu sisi binafsi wananchi.

Lakini mambo ya kuhofia usipika wa ndugai kupotea ndiyo kuwa hoja yetu ni ujinga kama ujinga mwingine
Ifike mahali mtu asihukumiwe tu kwa sababu ya msimamo tofauti. Ni vema tukajadili mawazo kuliko cheo.

Pia cheo kisifanye mtu awe kondoo au beberu.
 
Nchi ina wananchi ambao hawatakiwi kuzungumza lolote ambalo ni kinyume na mtawala wa nchi.

Ni jambo la ajabu na sio haki kabisa.

Kwanini watu hawatakiwi kusema lolote wanatakiwa wakae kimya tu??
Kaa kimya hujaelewa kitu hapo.
 
Mh Spika Ndugai ameonekana kuwa na kauli ambazo kimsingi zina kinzana na serikali amabyo yeye ni mmoja wa hiyo serikali.

Labda nimkumbushe kuwa yeye ni mwana chama wa CCM na ni serikali hiyo hiyo inayo tawala.

Kutoka mbele nakukosoa serikali amabayo ndio chanzo cha yeye kuwa spika nikujitoa ufahamu.

Hakuna mahali spika ametoka akaikosoa serikali nje ya utaratibu hapa mkuu amechemka Ukisoma zile kanuni kule bungeni utaona kabisa wamepewa protection kusema jambo lolote dhidi ya serikali ila sio nje ya bunge.

Hivyo basi Kauli ya Spika kwa serikali nje ya bunge ni kitendo uwenda kitaugharimu U spika wake muda wowote 2022. Stay tuned
Katika maspika wote waliowahi kuhudumu ndani ya nchi ndugai ni spika mbovu kuwahi kutokea tangu kupata uhuru!
 
Back
Top Bottom