Maoni: Bila kuathiri Katiba, Spika Ndugai anapaswa kujiuzulu

Nchi ina wananchi ambao hawatakiwi kuzungumza lolote ambalo ni kinyume na mtawala wa nchi.

Ni jambo la ajabu na sio haki kabisa.

Kwanini watu hawatakiwi kusema lolote wanatakiwa wakae kimya tu??
Lakini mkuu kipindi tunamkosoa marehem john Pombe ulikua mkali na ulitukebehi pamoja kutupa mitusi.nashangaa kuona umebadili gia angani.apart from that unayonena ni sahihi kabisa.
 
Wakorogane vizuri ndonchi itapona!! Tena gogofupi asikae kimya aizibiti sirkali kwanini inakopakopa kujenga madarasa? darasa linazalishaje hela ya kulipa madeni!! Tens wanatia hadi tailizi mikwangu hats sakafu sins nirafu!!!
Kilamtu asimamie mhimili wake vizuri bado mahakama inatakiwa juaji mkuu nae amzingue chifu ili tukae kushoto kulia buladifuu!!
Mfarakane mtengane na mgombane chama kipasuke pwaaaaaah!! Hapo nchi itachangamka sasa.
Tunaomba washauri wa gogofupi wamshauri chifu aitwe kamati ya maadili akajieleze kwanini anabishana na gogofupi!!
 
Lakini mkuu kipindi tunamkosoa marehem john Pombe ulikua mkali na ulitukebehi pamoja kutupa mitusi.nashangaa kuona umebadili gia angani.apart from that unayonena ni sahihi kabisa.
Achana nae huyu!

Hawa ndo waburundi na wahutu wamejazana sana kigoma na Geita na wanajiita wasukuma!

Kipindi mburundi mwenzao kaokota dodo wakataka kujenga imaya yao hapa Tanzania sasa amekufa wamebaki Kama yatima!

Ndo hawa wanaitwa sukuma gang
 
Kinachofanya ashabikie serikali na mamb yake ni nn? Mh kessy natumai bunge lijalo tutarud wote hapa, tunza ajenda yako. Kwann akatae? Atake asitake tuta... muongezeaaaa!!
Spika wa bunge la JMT huchaguliwa na wabunge wa vyama vyote bungeni!
 

Wakiwa na madaraka wanasema hawana cha kupoteza. Bench miaka miwili kila kitu kinapotea. Tuwe na akiba ya maneno
 
Huyu ni chuki tu znazomsumbua
Lakini mkuu kipindi tunamkosoa marehem john Pombe ulikua mkali na ulitukebehi pamoja kutupa mitusi.nashangaa kuona umebadili gia angani.apart from that unayonena ni sahihi kabisa.
 
Nchi ina wananchi ambao hawatakiwi kuzungumza lolote ambalo ni kinyume na mtawala wa nchi.

Ni jambo la ajabu na sio haki kabisa.

Kwanini watu hawatakiwi kusema lolote wanatakiwa wakae kimya tu??
Na ajabu wananchi wanaona ni sawa na wanashabikia. Japokuwa simkubali Ndungai ila bunge lipo kusimamia serikali hivyo sioni kosa la spika kuwa na mawazo tofauti
 
Sijaona kosa la Ndugai
Kwanza Naona Bado hajaongea
 
Reactions: nao
Ila unakubaliana na mimi hakupaswa kumpinga kiongozi ambaye ndio mwenyekiti wake wa chama na yeye ni mwanakamati sijuwi kama unanielewa lakini..
 
Nchi ina wananchi ambao hawatakiwi kuzungumza lolote ambalo ni kinyume na mtawala wa nchi.

Ni jambo la ajabu na sio haki kabisa.

Kwanini watu hawatakiwi kusema lolote wanatakiwa wakae kimya tu??
Leo ndio umefahamu hili wewe mataga?
 
Tangu lini bunge linajitegemea?binge ni la ccm,sio LA wananchi
 
Kazi ya muhimili wa Bunge sio kuisimamia na kuishauri serikali kama zamani?
 
Nchi ina wananchi ambao hawatakiwi kuzungumza lolote ambalo ni kinyume na mtawala wa nchi.

Ni jambo la ajabu na sio haki kabisa.

Kwanini watu hawatakiwi kusema lolote wanatakiwa wakae kimya tu??
Heheee inauma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…