Maoni: Hofu yangu kuhusu label ya Wasafi, Diamond, Harmonize na Raymond ni kama ‘mtu mmoja’

Maoni: Hofu yangu kuhusu label ya Wasafi, Diamond, Harmonize na Raymond ni kama ‘mtu mmoja’

mkuu aliyeandaa hio makala sio fredick bundala bali mhadhiri wa chuo kikuu SAUT wyjones jamaa pia ni mwanamzik mzusi tu

Yeer aliyeandika hii sio Fred bali ni Kinye sema imewekwa bongo5 nadhani ndio aliyeleta kachanganya.


Back to the topic, wasomi wetu wa kitanzania kama huyu mwandika makala ambaye ni lecturer wa SAUT sijui kwa nini wanashindwa kabisa kuhusisha elimu yao na jamii yetu. Wanaishi kwa theory sana.

Huyu jamaa ni mwandishi wa nyimbo na alishawai kumwandikia Benpol wimbo ambao ulipigwa kwenye media sidhani kama ulifika week moja. Yani ndio wimbo mbovu na uliobuma vibaya tokea Benpol aanze muziki. Lakini ana guts za kukosoa na nyimbo ambazo zipo kwenye top 5 ya mzunguko wa nyimbo zilipopigwa zaid East Africa.

Sijajua huyu ni mkufunzi wa nini inatakiwa arudi mtaani apate elimu halisi ya muziki. Naamini Diamond na shule yake ndogo ana elimu kubwa ya muziki kuliko huyu lecturer ndio maana nna uhakika Diamond mpaka anawekeza pesa zote hizo anajua sana anachokifanya na anajua soko la biashara yake ni lipi.

Though nakubali kuna mapungufu fulani kwenye branding ya wasanii wake ila mie naona ameanza vizuri.
 
nakubaliana na muandishi wa makala...mondi ajitahidi chipukizi wajao wawe tofauti kdg ktk mziki wanaofanya ..hii itatanua wigo wa WCB in terms of music!
 
Huu ni ukwelii...ila kuna watu watakuja kubishaa tuu

Huyo Raymond mimi simjui ila Harmonizer ana udiamond flan hivi kitu ambacho si kizuri chini ya lebel moja

Lebel nyingi maarufu hua zinajaribu kuwa na watu wenye ladha tofauti hata kama wapo wanaofanana ni wachachee lengo ni kutengeneza faida kutoka katika ladha tofauti..

Hasara ya lebel moja kua na watu wanaofanana ni kwambaa baadaye mashabiki wataanza kuwapambanisha halafu mmoja atauza kuliko mwingine

Pia ikitokea aina ya mziki wanaofanya ukichokwa basi ndio lebel nzima imekufa hivyo....
Mkuu kweli kabisa rejea label ya CMYMB....lily wyne, drake, niki, birdman etc wote wana ladha tofauti tofauti ingawa walikua chini ya label moja......
 
Yani mi nilikua nafikiria ka wewe yani mapigo yote ka daimond, sauti mi naona ka watakuwa hawana jipya sana mana had uchezaji sasa dai atajitofautishaje nao. Bora kusimamia wasaniii lakini wabuni style zao uchezaji ili kuleta ladha tofauti tofauti, za mziki bila hivo mashabiki watawachoka. Na yamoto ndo hivo hivo had wanakuwa hawana jipya
 
Yeer aliyeandika hii sio Fred bali ni Kinye sema imewekwa bongo5 nadhani ndio aliyeleta kachanganya.


Back to the topic, wasomi wetu wa kitanzania kama huyu mwandika makala ambaye ni lecturer wa SAUT sijui kwa nini wanashindwa kabisa kuhusisha elimu yao na jamii yetu. Wanaishi kwa theory sana.

Huyu jamaa ni mwandishi wa nyimbo na alishawai kumwandikia Benpol wimbo ambao ulipigwa kwenye media sidhani kama ulifika week moja. Yani ndio wimbo mbovu na uliobuma vibaya tokea Benpol aanze muziki. Lakini ana guts za kukosoa na nyimbo ambazo zipo kwenye top 5 ya mzunguko wa nyimbo zilipopigwa zaid East Africa.

Sijajua huyu ni mkufunzi wa nini inatakiwa arudi mtaani apate elimu halisi ya muziki. Naamini Diamond na shule yake ndogo ana elimu kubwa ya muziki kuliko huyu lecturer ndio maana nna uhakika Diamond mpaka anawekeza pesa zote hizo anajua sana anachokifanya na anajua soko la biashara yake ni lipi.

Though nakubali kuna mapungufu fulani kwenye branding ya wasanii wake ila mie naona ameanza vizuri.
NAkuunga mkono... Sema yeye angekua specific kwamba anataman diamond asimamie r&b au hip hop muzk umechange sana ukizngatia vijana ndo wameanza inakuaje mtu anakosoa tu.. Kwann asiwambie wengne wafungue label zao kwa ajili ya wasanii anaowataka... Diamond anajua biashara yake yataka nn.. Unampangiaje mtu matumizi? Nikiangalia label ya mavins kuna watu wawil d'prince na dr sid mbona wanafanana kwa namna fulan bt wanapeta chek hkn gang ya davido kuna b red na sinarambo wanafanya vzur chocolate city ndo usiseme... Cha msingi sio kufanana mujimu ni wanauza yan biashara inataka nn... Ukianza kuongelea rnb iko wap.. Mfno iyanya mbna ameswitch na alikua anafanya rnb vp kwa bank w kadhalika.. Tunafata soko latakaje cha msingi pesa... Aya damian sol yuko wap..tatzo letu tunakarr.. Inamana watz hatujui mzk mzur mbna nyimbo zao watu Wana request tena sana... Ni mapema mno kukosoa, diamond alianza na rnb fulan na kamwambie akipata tuzo.. chek alivyotwist mpka afropop leo utamwambia arud uko ihali akulipi... Sometimes ni vzr kunyamaza au kufkisha ujumbe wako personal..
 
Mkuu kweli kabisa rejea label ya CMYMB....lily wyne, drake, niki, birdman etc wote wana ladha tofauti tofauti ingawa walikua chini ya label moja......
Labda mie sielewi mziki wa marekana bt YMCMB akina drake tyga kuna staili za wizy walichukua mwanzoni ultimately walikuja kukubalika na wakatengeneza identity yao kwa drake kimemsaidia zaidi ni kuiba na rap vile anaswitch ikawa rahisi zaid..taratbu mambo yatakua safi... Japo wengi tunasema harmonize ni diamond like mbna katusua na aiyola na bado zinafanya vzur now dats bizness... Wcb naamin sio hao unaowajua tu... Ni wengi kuna kamati kubwa tu inayomshauri diamond so iyo ni kitu rahisi subiri utaona jinsi watakavyo iteka bongo flava industry... Diamond anajua afanyalo ww ulitegemea angefka apa? Kaajiri mameneja wakati wasanii wetu wengi wameajiriwa na mameneja... So ucjali ni mapema mno kumkosoa.. Je akizid kufanikiwa utasemaje?
 
Labda mie sielewi mziki wa marekana bt YMCMB akina drake tyga kuna staili za wizy walichukua mwanzoni ultimately walikuja kukubalika na wakatengeneza identity yao kwa drake kimemsaidia zaidi ni kuiba na rap vile anaswitch ikawa rahisi zaid..taratbu mambo yatakua safi... Japo wengi tunasema harmonize ni diamond like mbna katusua na aiyola na bado zinafanya vzur now dats bizness... Wcb naamin sio hao unaowajua tu... Ni wengi kuna kamati kubwa tu inayomshauri diamond so iyo ni kitu rahisi subiri utaona jinsi watakavyo iteka bongo flava industry... Diamond anajua afanyalo ww ulitegemea angefka apa? Kaajiri mameneja wakati wasanii wetu wengi wameajiriwa na mameneja... So ucjali ni mapema mno kumkosoa.. Je akizid kufanikiwa utasemaje?
Akizidi kufanikiwa ndicho tunachotaka na ukumbuke kwamba tunavyosema hivi hatumaanishi hatumpendi......binafsi mi ni shabiki mkubwa sana wa mondi bin laden mzee wa minyoosho ila sasa ladha zikifanana sana tutashindwa kupata uniqueness kati yao......
 
Huu ni ukweli mtupu, na mimi baada ya kuliona hili nimekua na wasiwasi sana mafanikio ya label ya wasafi Africa. Hawa jamaa hawana tofauti sana na diamond, yaani hata haya mapokezi makubwa wanayoyapata kina harmonize ni kwa sababu ya ukubwa wa jina la diamond tuu, si kusema nyimbo ni hit kiasi cha kupata mapokezi makubwa. Yaan hapa labda tumsubiri Mavoko huyu pamoja na kufanana style na diamond lakini ana kipaji kikubwa sana.
 
nilishangaa mkuu uliposema ndefu tamu sasa nikajiuliza ulijuaje wewe maana wahenga walisema msifiae mvua ilimnyea
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] .mkuu tuachane na hayo turejee kwenyevmada vipi wasafi kwa mtindo wa kumuiga bosi wao watafikia level za kina the marvin record kweli?
 
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] .mkuu tuachane na hayo turejee kwenyevmada vipi wasafi kwa mtindo wa kumuiga bosi wao watafikia level za kina the marvin record kweli?
sawa mkuu nimekusoma ila hapo sina cha kuchangia nitaingia chaka tu .acha wajuzi waendeelee kutiririka
 
eeeh bana angalau ata wcb iwe na wanamziki wawili wa hiphop na rap.......hiyo itatuteka ata sisi mafans kutoka chuga.
 
Diamond anaogopa kurisk kutambulisha mziki tofauti alafu watu wasiupokee vizuri..
 
Huu ni ukweli mtupu, na mimi baada ya kuliona hili nimekua na wasiwasi sana mafanikio ya label ya wasafi Africa. Hawa jamaa hawana tofauti sana na diamond, yaani hata haya mapokezi makubwa wanayoyapata kina harmonize ni kwa sababu ya ukubwa wa jina la diamond tuu, si kusema nyimbo ni hit kiasi cha kupata mapokezi makubwa. Yaan hapa labda tumsubiri Mavoko huyu pamoja na kufanana style na diamond lakini ana kipaji kikubwa sana.
Tushawazoea nyie ata kipindi domo anaanza mlitabiri sana kufulia kwake lkn mpk leo ypo
 
Sipi perfect lakini nina uelewa fulani unaojitahidi kidogo katika maswala ya muziki..
Aiyola sikuipenda sana kwa sababu sikupata moyo wa kuifatilia(japo ni nzuri)..
Niliposikia anatoa wmbo na diamond nilifurahi sana coz nikasema hiki ndo kipimo kizuri kwa kumtofautisha/kumlinganisha na diamond..
katika 'bado' nimeona kabisa kijana anastruggle mnoooo kujitofautisha na mondi ila alikua tayari ameingia kwenye trap ya kufanana nae coz muundo mzima wa wimbo ni uleule wa mondi..
Nashauri aende kwa pridyuza mwingine na akae mazingira mengine bila ya mondi kuchangia chochote katika composing..
Nina imani atakuja na kitu cha tofauti..
Jamaa umemaliza kila kitu umeongea vizuri mnoo..
natamani ujumbe huu umfikie mondi moja kwa moja
 
Back
Top Bottom