Uchaguzi 2020 Maoni huru: Awamu hii Urais wakipata hata kura Milioni 3 wana bahati sana

Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuwa na matumaini kwa jiwe, chunguza hao unaowasema, wengi hawajielewi au ni wachumia tumbo kama wewe.
 
Uchaguzi wa 2015 jamaa alipata kura laki tisa. October atapata laki Tatu. Kinachompa jeuri, kiburi na kujiamini ni Jeshi, TISS na polisi.
Hata hao ulio wataja wana machungu pia maana kwa yanayo endelea hayamfurahishi mtu yeyote
 
Lazima kuna kitu mbowe alikufanya au hakukulipa hela yako
 
Tulizoea kusoma tafiti kuhusu uchaguzi kipindi hiki; mwaka huu kimya. TWAWEZA wako wapi.
Utawala wa kidikteta huwa haupendi mambo kama hizo, fanya utafiti ujikute siyo raia tena. Jiwe ni hatari kwa maendeleo ya Taifa hili
 
Tatizo ni kura kuhesabiwa kwa haki. Uchaguzi ukiwa huru na haki ccm wanafutika saa 2 asubuhi tarehe 28/10/2020
 
Kundi gani katika jamii watampa kura jiwe?

1: Wafanyabiashara?
2: Wafanyakazi?
3: Wakulima?
3: Wanafunzi?

Kwa kifupi sioni kundi lolote linaloweza piga kura kwa jiwe, mana wote wameathiriwa na utawala wa jiwe
 
Na safari hii ndiyo itakuwa aibu kubwa kwa ccm maana ndiyo itakuwa mara ya kwanza kwa mgombea wao kuiondoa madarakani baada ya miaka 60 ya uhuru.
Umeona eeh walifikiri ikitoka form moja ya mwenyeki wa chama itakua nafuu atapita bila kupingwa kumbe TL alikua nangoja wajichanganye angalia miti yote inateleza anga zote zimegoma ukungu mtupu sauti za bundi kila sehemu CCM mtavuna mlicho kipanda hili ni kosa la kiufundi tangu uhuru kutoa form moja kwa chama kikongwe kama CCM rudi tena chekechea hata watoto wadogo wanatucheka mlishindwa kujua kua maisha nikama gwalide wakwanza anakua mwisho Lissu naye zamu yake tutulie mpe mitano yake.
 
Kapotezwa sana kwanini unateseka nae sasa?
 
Jiulize kwanza kwanini hawaungani kabla ya msimu wa uchaguzi?Kwanini kuna wagombea uraisi wa Muungano zaidi ya 10?
Jibu ni mmoja tu wanasaidia CCM kushinda kwa kishindo kwenye Udiwani,Ubunge na Urais.
 
Jiwe anakipelekesha ccm anavyo taka maana hakuna mtu wa kusema ekosea. Kila mtu anamuogopa kwa kuhofia kibarua chake kuota nyasi.

Ccm imekuwa ya mtu mmoja hata kama wanachama hawataki lkn hawana njia ya kuwasilisha maoni yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…