Pre GE2025 Maoni kama yalivyotolewa na Askofu Dr Bagonza kuhusu Miswaada mitatu na hatima ya Demokrasia Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bagonza ubarikiwe maoni kuntu haya, wakipuuza yatakayowakuta yatakuwa makubwa
Kazi ya Watumishi wa Mungu na kazi ya Injili ni Kufundisha na kuonya.


Baada ya hapo wasilaum mtu.
 
KKKT ni taasisi ya kidini, haya ni maoni ya kisiasa. Ulitaka KKKT iongozwe na mwanasiasa?
Angelisema katiba yetu ya sasa ni bora na Tume yetu ya uchaguzi ni huru - Je ungeyasema haya uliyoyasema?
 
..Nahitaji maoni yaliyokamilika ya Sheikh Kundecha.

..Pia ningependa kujua kama Sheikh Ponda alifika mbele ya Kamati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…