Maoni kutoka kijiwe cha msafisha viatu: Watanzania wengi hawapendi Mabadiliko, wanangoja Magufuli aondoke

Maoni kutoka kijiwe cha msafisha viatu: Watanzania wengi hawapendi Mabadiliko, wanangoja Magufuli aondoke

Ni kweli hata huko uliko kama ni USA tumeona mfumo kushindwa kutekeleza majukumu yake na kuachia "the rise of Donald Trump" akisaidiwa na mafashisti.

Ndio, hata ujerumani mwaka 1933 walimwachia Hitler akapanda lakini wale walikuwa wajerumani wanazi.

Watanzania tulizoea maisha ya kupata bila jasho hivyo sasa twafunzwa kutafuta kwa jasho twaona taabu na shida kubwa.

Yawezekana tatizo ni mfumo au kama ulivyosema lakini ni "better off" kwa huyu wa sasa na atakuwa "judged" kutokana na anayoyafanya sasa.

He has good intentions lakini anazungukwa na mfumo ambao ni corrupt and toxic na hauko tayari kutafuta "compromise" kwa ajili ya maslahi ya taifa.

JK ni sehemu kubwa ya tatizo kwa kuwa yeye alijenga himaya yake na mitandao nchi nzima nje ya nchi.

Nafahamu wamo humu watu wanamtetea lakini JK ndie kaharibu hii nchi na kuwapa shida wengine wajao hata iwe ni Tundu Lissu.

Kwanza mfumo hautakubali aje mtu mwingine alie nje yake.
Magufuli hana good intentions.

Inaonekana hajui ana intention gani. Au anafikiri - pamoja na Watanzania wengi- kwamba ana good intentions, lakini hajafikiri kwa kina kuhusu hizo intentions zake. End result ni unintended consequences. Negative ones.

He is all over the place.

He is a simpleton. A country bumpkin.

Playing checkers in a game that requirres three dimensional color coded chess underwater while swimming with the sharks without being eaten alive.
 
Mageuzi hayawezi onekana leo au kwa haraka huchukua muda na yawezekana yasionekane kwa wasoguswa nayo.

Pili, bado hatujafikia kuchagua kikanda au kikabila.

Nadhani, sera za kikanda na ukabila zilikuwa ni za Chadema wanapozungumzia majimbo.

Nasema hivi mageuzi ni zaidi ya ujenzi wa miundombinu kadhaa. Kama angekuwa ameleta mageuzi kweli, usingekuwa na wasiwasi kuwa akitoka watu wataendelea na kawaida yao.

Cdm waliweka wazi suala la uongozi wa majimbo, ila hiki alicholeta Magufuli ni ukabila na ukanda usio rasmi, lakini uko bayana kwenye matendo.
 
Magufuli hana good intentions.

Inaonekana hajui ana intention gani. Au anafikiri - pamoja na Watanzania wengi- kwamba ana good intentions, lakini hajafikiri kwa kina kuhusu hizo intentions zake. End result ni unintended consequences. Negative ones.

He is all over the place.

He is a simpleton. A country bumpkin.

Playing checkers in a game that requirres three dimensional color coded chess underwater while swimming with the sharks without being eaten alive.
Nikisema ana "good intentions" ni kuangalia aina ya mawaziri ambao sasa angalau wanaonyesha wanawajibika.

Kwa mfano pale Afya kamweka Dr Gwajima anafahamu jinsi wizara inavyopigwa na sasa analifanyia kazi hilo.

Kule uvuvi tumemwona yule binti akifuatilia ulaji.

Jana Bashe kagundua ulaji kwenye chama cha ushirika.

Waziri mkuu huko Ruvuma kagundua ulaji uanofanywana madiwani.

Sasa, haya mambo yahitaji watu wenye uelewa na nia ya dhati kuyakabili maana watanzania wengi tumezoa upigaji na maisha ya urahisiurahisi.

Waziri Lukuvi imebidi aanze kuwapigia simu wananchi kuwahimiza kwenda kuchukua hati zao za viwanja wengine walikata tamaa kwamba wasingepata hati hizo kutokana na kuamini wamedhulumiwa.

Hata wewe Kiranga yawezekana chuki zako kwa Magufuli ni kutokana na kubanwa kwa kiasi fulani au kuathirika na uongozi wake kwa kiasi fulani hatuwezi fahamu hilo.

Maana najaribu kupata mantiki ya kumwita kiongozi wa nchi "a country pumpkin", hii yasema wazi aina ya watu wanaomchukia huyu raisi.

Wengi waloathirika walizoea fedha za bure za kupatikana kimagendo, ulaji kwenye mashirika ya umma vikao na semina za kulipana fedha nyingi tu zingine ni za wastaafu wanaosumbuka leo.

Hivyo hali si nzuri ila ulitaka hali iendelee vilevile, rasilimali kuibiwa, madawa kuuzwa kila kona au upigaji kuwa ni sehemu ya maisha yetu?
 
Ni kweli hata huko uliko kama ni USA tumeona mfumo kushindwa kutekeleza majukumu yake na kuachia "the rise of Donald Trump" akisaidiwa na mafashisti.

Ndio, hata ujerumani mwaka 1933 walimwachia Hitler akapanda lakini wale walikuwa wajerumani wanazi.

Watanzania tulizoea maisha ya kupata bila jasho hivyo sasa twafunzwa kutafuta kwa jasho twaona taabu na shida kubwa.

Yawezekana tatizo ni mfumo au kama ulivyosema lakini ni "better off" kwa huyu wa sasa na atakuwa "judged" kutokana na anayoyafanya sasa.

He has good intentions lakini anazungukwa na mfumo ambao ni corrupt and toxic na hauko tayari kutafuta "compromise" kwa ajili ya maslahi ya taifa.

JK ni sehemu kubwa ya tatizo kwa kuwa yeye alijenga himaya yake na mitandao nchi nzima nje ya nchi.

Nafahamu wamo humu watu wanamtetea lakini JK ndie kaharibu hii nchi na kuwapa shida wengine wajao hata iwe ni Tundu Lissu.

Kwanza mfumo hautakubali aje mtu mwingine alie nje yake.
Tusimlaumu mtu bali tujilaumu sisi wenyewe kwa kutozingatia sera ya Azimio la Arusha ambayo inasema ,Ili jamii yoyote iendelee inahitaji vitu vinne ambavyo ni WATU,ARDHI,SIASA SAFI na UONGOZI BORA.

Shida yetu ipo kwenye siasa safi na uongozi bora.Tukianzia siasa,tangu mwaka 1995 nchi yetu ina falsafa ya MULT-PARTY SYSTEM yaani mfumo wa vyama vingi aya siasa,ambao huu mfumo unaendeshwa kwa maneno na hisia za chuki hasa kwa tabaka tawala ambalo linaongozwa na chama kile kile tangu mwaka 1977 ambacho hicho chama kimejaa wivu na dhuluma za wazi kwa vyama vikuu vya upinzani.

Uongozi Bora nalo ni jipu letu ambalo linatusumbua kwa kisingizia cha uzalendo na amani.Hapa viongozi wakubwa wa chama tawala wanatumia madaraka yao vibaya kwa vile tu hawawezi chukuliwa au kushtakiwa mahali popote pale kama kuna mapungufu ya kiutendaji pindi walipokuwa kwenye himaya.Ndiyo maana hata awamu hii inajitamba kwa kisingizio cha kujenga uchumi imara na kuleta nidhamu nchini huko ikizalisha nyufa ambazo itatuchukua muda kuziziba,mwenye macho yote mawili haambiwi tazama Tuipende nchi yetu kwa ustawi wa maisha yetu.
 
Ni kweli hata huko uliko kama ni USA tumeona mfumo kushindwa kutekeleza majukumu yake na kuachia "the rise of Donald Trump" akisaidiwa na mafashisti.

Ndio, hata ujerumani mwaka 1933 walimwachia Hitler akapanda lakini wale walikuwa wajerumani wanazi.

Watanzania tulizoea maisha ya kupata bila jasho hivyo sasa twafunzwa kutafuta kwa jasho twaona taabu na shida kubwa.

Yawezekana tatizo ni mfumo au kama ulivyosema lakini ni "better off" kwa huyu wa sasa na atakuwa "judged" kutokana na anayoyafanya sasa.

He has good intentions lakini anazungukwa na mfumo ambao ni corrupt and toxic na hauko tayari kutafuta "compromise" kwa ajili ya maslahi ya taifa.

JK ni sehemu kubwa ya tatizo kwa kuwa yeye alijenga himaya yake na mitandao nchi nzima nje ya nchi.

Nafahamu wamo humu watu wanamtetea lakini JK ndie kaharibu hii nchi na kuwapa shida wengine wajao hata iwe ni Tundu Lissu.

Kwanza mfumo hautakubali aje mtu mwingine alie nje yake.

Richard rekebisha hapo unaposema kuwa watanzania walizoea kupata bila kuvuja jasho. Sema kuna kikundi kilizoea kupata bila kuvuja jasho. Hapa naona una tofauti zako binafsi na JK, ila una maslahi na Magufuli hivyo unatetea maslahi yako, lakini sio ubora baina yao.

Magufuli kama alivyo JK, hakuna muadilifu baina yao, bali wanatofautiana tu kwa mapungufu, lakini wote ni wale wale. Wakati JK aliruhusu vyombo vya habari kuwa huru, na demokrasia kutawala kwa kiwango cha kuridhisha, hiyo ilipelekea mabaya na udhaifu wa serekali yake kuanikwa. Leo Magufuli anahadaa umma kuwa ni mtu muadilifu, lakini hataki uhuru wa habari, haruhusu demokrasia na pia hataki uwazi kwenye serikali yake. Mtu ambaye hataki kukosolewa wala uwazi, unaweza vipi kutaka kuonyesha ni bora, wakati anatumia jazba kutotaka mambo kufahamika?

Wakati wa JK kwenye uchaguzi kulikuwa na wizi wa kura, ila chaguzi zilikuwa na fairness ya kuridhisha japo haikuwa na haki. Lakini toka Magufuli ameingia madarakani hakuna uchaguzi wowote uliofanyika kwa haki wala kwa uhuru. Hakuna kiongozi yoyote anayeweza kuwa muadilifu iwapo hata kuingia madarakani haingii kwa ridhaa ya umma.
 
Nikisema ana "good intentions" ni kuangalia aina ya mawaziri ambao sasa angalau wanaonyesha wanawajibika.

Kwa mfano pale Afya kamweka Dr Gwajima anafahamu jinsi wizara inavyopigwa na sasa analifanyia kazi hilo.

Kule uvuvi tumemwona yule binti akifuatilia ulaji.

Jana Bashe kagundua ulaji kwenye chama cha ushirika.

Waziri mkuu huko Ruvuma kagundua ulaji uanofanywana madiwani.

Sasa, haya mambo yahitaji watu wenye uelewa na nia ya dhati kuyakabili maana watanzania wengi tumezoa upigaji na maisha ya urahisiurahisi.

Waziri Lukuvi imebidi aanze kuwapigia simu wananchi kuwahimiza kwenda kuchukua hati zao za viwanja wengine walikata tamaa kwamba wasingepata hati hizo kutokana na kuamini wamedhulumiwa.

Hata wewe Kiranga yawezekana chuki zako kwa Magufuli ni kutokana na kubanwa kwa kiasi fulani au kuathirika na uongozi wake kwa kiasi fulani hatuwezi fahamu hilo.

Maana najaribu kupata mantiki ya kumwita kiongozi wa nchi "a country pumpkin", hii yasema wazi aina ya watu wanaomchukia huyu raisi.

Wengi waloathirika walizoea fedha za bure za kupatikana kimagendo, ulaji kwenye mashirika ya umma vikao na semina za kulipana fedha nyingi tu zingine ni za wastaafu wanaosumbuka leo.

Hivyo hali si nzuri ila ulitaka hali iendelee vilevile, rasilimali kuibiwa, madawa kuuzwa kila kona au upigaji kuwa ni sehemu ya maisha yetu?
Ukisikia ubabaishaji ndio huu.... Tunataka mfumo ndio ufanye kazi... How come , usikie kwa police , eti IGP ndie anaenda kukamata wahalifu... Maana yake polisi wa chini wameshindwa au wanashirikiana na wahalifu..

Ningefurahi kuona mawaziri wanashughulika na kutoa uongozi, kuonyesha njia... Kuamua msitu upi ufyekwe , siyo wao kuwa wakataji msitu.... Mawaziri wamekuwa managers badala ya kuwa leaders..

Tungetaka kuona mfumo ambao uko transparent, viongozi wakionyesha KPI zao za uongozi ni zipi? Vingenevyo wanafanya mambo ya mzee wa Kiraracha ya kuita watu nyumbani na kumalizana..

Mimi najiuliza kwanini watumishi ambao wamepewa oversight ya wizara , wasione hayo .. Matokeo yake unasikia waziri kasimamisha mtu au kamuondoa mtu... Hii ni cheap popularity na uongozi wowote haujajengwa..
 
Hebu acha kutuletea vitu vya kipuuzi puuzi! Wasomi kama wewe ndiyo matatizo makubwa Nchi hii. Yaani msomi umejipinda kuandika upuuzi kama huu! Ndiyo wale wale umesoma lakini HUKUELIMIKA. Pole zako.
Nipo Dar-es-salaama kikazi na nimetua mitaa yangu ya katikati ya mji na nikamkumbuka msafisha viatu na maoni yake hatari ya kisiasa.

Nikakumbuka yupo mtaa wa Jamhuri lakini nilipofika pale sikumwona nikauliza mazee walokuwepo pale wakanambia kahamia mtaa wa Tandamti.

Basi kwa kuwa nilikuwa pia nataka niingie mitaa ya Kariakoo na nikakumbuka ninayo namba yake ya simu ambayo alinipatia (huwa napenda kuweka contacts za vyanzo vyangu vya habari) nikampigia.

Akanambia yupo mtaa wa Tandamti tangu mwezi wa December alipata kasehemu ka kujishikiza baada ya mjamaa aliekuwepo pale kuhamia sehemu ingine.

Basi, nikamfahamisha kwamba nikimaliza shughuli zangu pale Kariakoo ntamtafuta ili tujadili mawili matatu likiwemo suala la uchaguzi jinsi ulivyokwenda na nini ni maoni yake.

Baada ya mizunguko yangu nikaelekea mtaa wa Tandamti na pale nikamkuta anapiga kazi yake na ana wateja wapatao sita na kumbe tayari wana kikao chaendelea.

Pembeni yao alikuwepo kijana anakoka mkaa kwa ajili ya kahawa na kashata na upande mwingine alikuweo mzee mmoja ambae niliambiwa kuwa aitwa mzee Uledi mzee mashuhuri mahali pale kwa kuuza machungwa, mihogo ya kuchoma maji ya madafu na juisi maarufu ya miwa.

Hivyo hicho kilikuwa ni kijiwe tosha kabisa kuleta hamasa ya mijadala na mjadala nilioukuta ulikuwa ni wa kuhusu ugumu wa watanzaia wengi wenye dhamana mbalimbali ambao wanapaswa kumasidia raisi Magufuli na serikali yake katika kutekeleza azma ya serikali katika kuleta maendeleo ya kweli kwa watanzania.

Nikamwona mzee mwingine mstaafu aitwae Kigosi ambae nae ni wa "Tanga Line" alikuwa ile mitaa ya Jamhuri na msafisha viatu na nikashangaa kumwona pale.

Mzee Kigosi akaendelea kusema kwamba, "viongozi wengi hawana nia ya kweli ya kumsaidia huyu mzee. Wao wanangojea aondoke kwa matarajio kwamba raisi ajae atakuwa si kama huyu mwamba".

Akaendelea, " Wewe ona kila siku wasikia kuna madudu mengi yanaibuka watu wanapiga fedha nyingi zingine ni mabilioni kwenye miradi midogo tu. Watanzania wengi walizoea kutofanya kazi na kupenda maisha ya mkato, sasa wanapata taabu kwani amebana mirija hiyo".

Nikamuuliza mshona viatu kuhusu matokeo ya uchaguzi na nikampongeza kwa maono yake kwamba Tundu Lissu angeshindwa vibaya.

Mshona viatu akaendelea" Tundu Lissu ndio tegemeo la wazungu na ndio maana walihakikisha anaondoka salama Tanzania ili kwenda huko Ubelgiji kujiandaa na uchaguzi wa 2025."

Akaendelea. "wanadhani watakuwa na nafasi ingine tena ya kushinda uchaguzi ule lakini hiyo haiwezekani kwani CCM kwa sasa ndo imejizatiti kisawasawa".

Nikachomokea jina la Membe, mshona viatu akaendelea , " si umeona eeh Membe kamaliza kazi yake na yule mzee Maalim na Zitto nao wamemaliza kazi zao?"

Mshona viatu akaendelea, " kazi ya system ni kusoma mchezo na kuandaa kazi na mipango madhubuti na kama nilivyosema na waweza sema chochote lakini kwa sasa hali hali ndivyo ilivyo."

Nikamuuliza mzee Kigosi vipi anadhani ni nini serikali hii ifanye ili kuweka mambo sawa maana viongozi wengi waliopo wanaonekana wanafanya kazi kwa kutokujiamini.

Mzee Kigosi akaendelea " Raisi awape uhuru awape semina za kila mara na assurances kwamba wao ni viongozi alowaamini.

Awape miongozo kwani wengi ni vijana hivyo wana udhaifu wa kiujana ila wengi kama Bashe na Bashungwa na hata Jaffo ni viongozi makini wajao huko mbele."

Jamaa mwingine ambae alikuwa amekaa pembeni anasikiliza akaingia kutoa neno akaendelea kwamba, "JK ndie alieharibu sana hii nchi kwa miaka 10 mfululilizo na kulea taifa ambalo baadae linakuja kusumbua serikali zinazofuata."

Akaendelea, jamaa aliachia sana kila kitu na watu wengine hawakuzoea kujitafutia vipato kwa njia halali, wauza unga wengi, wakwepa kodi wengi, shule nyingi za "private" zilishamiri kuwakamua wananchi wa kawaida kwa kuondoa resources kwenye shule za serikali na kuziacha zibomoke na rasilimali za nchi kuibiwa bila Tanzania kufaidika na rasilimali hizo."

Mshona viatu akaendelea " Mji kama wa Dar wapaswa kusafishwa, ujengwe mazingira mazuri, mpangilio wa mitaa na maduka na wachuuzi wa barabarani waondolewe".

Akaendeelea, " pamoja na kwamba hawa pia ni walipa kodi lakini ni lazima waaandaliwe utaratibu mzuri wa kuuza bidhaa zao badala ya wanavyofanya sasa".

Mimi nikaangalia muda nikaona niwahi kuondoka kuelekea nyumbani Tegeta.

Nikatafakari yale niliyoyasikia lakini kikaguswa na hili la kwamba JK aliharibu sana hii nchi kwa miaka 10.

Nikajaribu kuoanisha miaka yake 10 na miaka 10 ijayo na JPM nikasema kimoyomoyo heru fikiria tungekuwa na miaka 20 ya "Hapa Kazi Tu" ingekuwaje?

Yalopita si ndwele tugange yajayo na nimeona mahala humu JF JK ataka kuandika (narudia kuandika) kitabu cha maisha yake.

JK aandike tu kitabu asijiulize ama aandike ama vipi.

JK aliingia serikalini kwa mara ya kwanza akiwa na umri wa miaka 44 kijana mdogo, hivyo hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere alikuwa na matarajio yaani "expectations" kubwa juu ya JK.

Nikaangalia salio la charge kwenye simu yangu ili kuona kama naweza kuandika machache niliojifunza kutoka kwenye hichi kijiwe.

Hivi sasa nchi ipo kwenye kipindi kigumu sana serikali iko makini kutoza ushuru na kuhimiza wananchi kulipa kodi na kudai risiti.

Lakini pia serikali yapaswa kuangalia namna ya kutengeneza njia mbalimbali za kujipatia mapato zaidi.

Kwa mfano wakurugenzi wa halmashauri ni watu wa kwanza kabisa kuanza kufikiria kujipatia mapato katika halmashauri zao.

Halmashauri zaweza kuanzisha ushirikiano au "partnership" kati yao na wafanyabiashara waishio katika halmashauri hizo au hata wa kutoka nje ya halmashauri hizo na wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa njia hii, halmashauri zaweza kuwa na "city centers" yaani katikati ya mji kunakuwa na maduka, maegesho ya magari, majengo ya kukodi kwa ajili ya ofisi, majengo ya maduka au "shopping malls", vivutio vya utalii wa ndani, viburudisho kwa ajili ya familia na watoto, mitaa maalum na maduka ya kawaida.

Pia wafanya biashara au wafanyabiashara watarajiwa wanaweza kushawishiwa kujenga maduka makubwa yaani supermarkets katika vitongoji vya halmashauri hizo hivyo kuweza kuketa mapato katika maeneo hayo kupitia kutoa ajira na kuwezesha huduma zingine kujitokeza katika maeneo hayo.

Kwa kuanzia njia hii yaweza kuzipatia mapato halmashauri nyingi tu nchini kiasi cha kuweka kupunguza fedha za miradi ya maendeleo ambazo zatokea serikali kuu na kuwa ni kiasi kidogo.

Njia ya pili kwa halmashauri kuweza kuongeza mapato katika maeneo yao ni kuhakikisha kila mwananchi analipa kodi ya maendeleo na kodi ya kiwanja kwa kuwa na utaratibu wa kusajili kila kiwanja na kila nyumba.

Ukiondoa misamaha ya kodi kila mtanzania ni lazima alipe kodi ili kulata maendeleo katika maeneo yao iwe ujenzi wa shule, barabara zinazopitika kwa urahisi.

Leo hii mtoto wa shule akichaguliwa kwenda sekondari ya kata ishakuwa taabu kwani kuna njia zingine magari hupata shida kupita kutokana na ubovu wa njia au vibarabara.

Hali hii italeta ugumu wa kuishi katika baadhi ya miji na vitongoji kwani watabakia wale wenye uwezo wa kuishi maeneo hayo na wale waso na uwezo kuhamia maeneo wanayostahiki.

Raisi Magufuli ana lengo zuri ila aina ya viongozi alio nao baadhi yao hawako tayari kufuata anayotaka.

Wapo baadhi Bashe, Bashungwa, Waziri mkuu Majaliwa, Lukuvi, Jaffo, na sasa Dr Gwajima na baadhi ya manaibu waziri wanaonyesha kuunga mkono maono ya raisi JPM.

Hajachelewa, asietaka kutumikia wananchi ajiondoe na apishe wenye nia hiyo ili maendeleo tunayohitaji wananchi yatufkie kwa uharaka.

Kila waziri na kiongozi khasa wale wanaowakilisha mikoani kama wakuu wa mikoa hadi wakurugenzi wa maendeleo ni lazima aunge mkono jitihada na juhudi za serikali.

Viongozi wachemshe vichwa wawe wabunifu wasiogope kutetea maamuzi yao endapo yanaleta tija.

Ni kama vile wanangojea muda wake uishe ili aondoke na kisha waendeleze ule ujinga wetu watanzania!

Kuwajibika katika nafasi aliyo nayo mtu ndio iwe mbiu ya kuchochea maendeleo kwa kila mtanzania.

Nimemaliza kuandika ndo nafika hapa Tegeta naenda kuicharge simu yangu maana yaelekea kuzima.

Wasalaam wanaJF.
 
Nikisema ana "good intentions" ni kuangalia aina ya mawaziri ambao sasa angalau wanaonyesha wanawajibika.

Kwa mfano pale Afya kamweka Dr Gwajima anafahamu jinsi wizara inavyopigwa na sasa analifanyia kazi hilo.

Kule uvuvi tumemwona yule binti akifuatilia ulaji.

Jana Bashe kagundua ulaji kwenye chama cha ushirika.

Waziri mkuu huko Ruvuma kagundua ulaji uanofanywana madiwani.

Sasa, haya mambo yahitaji watu wenye uelewa na nia ya dhati kuyakabili maana watanzania wengi tumezoa upigaji na maisha ya urahisiurahisi.

Waziri Lukuvi imebidi aanze kuwapigia simu wananchi kuwahimiza kwenda kuchukua hati zao za viwanja wengine walikata tamaa kwamba wasingepata hati hizo kutokana na kuamini wamedhulumiwa.

Hata wewe Kiranga yawezekana chuki zako kwa Magufuli ni kutokana na kubanwa kwa kiasi fulani au kuathirika na uongozi wake kwa kiasi fulani hatuwezi fahamu hilo.

Maana najaribu kupata mantiki ya kumwita kiongozi wa nchi "a country pumpkin", hii yasema wazi aina ya watu wanaomchukia huyu raisi.

Wengi waloathirika walizoea fedha za bure za kupatikana kimagendo, ulaji kwenye mashirika ya umma vikao na semina za kulipana fedha nyingi tu zingine ni za wastaafu wanaosumbuka leo.

Hivyo hali si nzuri ila ulitaka hali iendelee vilevile, rasilimali kuibiwa, madawa kuuzwa kila kona au upigaji kuwa ni sehemu ya maisha yetu?

Good intentions haipo kwa yeye kutuambia, au ww unayefaidika na madaraka yake kutuambia. Good intentions ipo kwenye kuruhusu mifumo kufanya kazi, na sio kusubiri kiongozi mmoja mmoja kwenda kuibua upigaji. Mtu mwenye nia njema kisha anakwenda kuhakikisha yeye, spika wa bunge na makamu hawashitakiwi wakitoka madarakani, hapo inabidi ujiulize vizuri.

Kama u.likuwa unatetea mageuzi na unasema rais huyu kaleta mageuzi, tulitarajia mfumo ufanye kazi, na sio sifa za mtu mmoja mmoja kusaka sifa binafsi
 
Hebu acha kutuletea vitu vya kipuuzi puuzi! Wasomi kama wewe ndiyo matatizo makubwa Nchi hii. Yaani msomi umejipinda kuandika upuuzi kama huu! Ndiyo wale wale umesoma lakini HUKUELIMIKA. Pole zako.
Mkuu, kheri ya mwaka mpya.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Magufuli hajaleta mageuzi yoyote kwenye nchi hii, bali kwangu naona ni kama waziri wa ujenzi mwenye maamuzi na pesa za nchi. Kwasababu kama ni suala la ajira sasa ndio limeongezeka zaidi. Kama uchumi pia unashuka. Isitoshe ameleta tatizo jingine kuwa kwa sasa rais atakuwa anachaguliwa kikanda/kikabila ili apendelee kwao.
Nchi gani duniani haina tatizo la kukosa ajira, unailinganisha Tz na nchi gani interms of employment?
 
Hawa viongozi ambao inaonekana hawataki kuleta mabadiliko wanapatikanaje? Kama wanateuliwa kwa nini waliteuliwa? Kama waliteuliw kimakosa bila kuwajua vizuri kwa nini anayewateua asiwawajibishe ? Kama walichaguliwa na wananchi basi hata wananchi nao hawataki hayo mabadiliko.
 
Richard rekebisha hapo unaposema kuwa watanzania walizoea kupata bila kuvuja jasho. Sema kuna kikundi kilizoea kupata bila kuvuja jasho. Hapa naona una tofauti zako binafsi na JK, ila una maslahi na Magufuli hivyo unatetea maslahi yako, lakini sio ubora baina yao.

Magufuli kama alivyo JK, hakuna muadilifu baina yao, bali wanatofautiana tu kwa mapungufu, lakini wote ni wale wale. Wakati JK aliruhusu vyombo vya habari kuwa huru, na demokrasia kutawala kwa kiwango cha kuridhisha, hiyo ilipelekea mabaya na udhaifu wa serekali yake kuanikwa. Leo Magufuli anahadaa umma kuwa ni mtu muadilifu, lakini hataki uhuru wa habari, haruhusu demokrasia na pia hataki uwazi kwenye serikali yake. Mtu ambaye hataki kukosolewa wala uwazi, unaweza vipi kutaka kuonyesha ni bora, wakati anatumia jazba kutotaka mambo kufahamika?

Wakati wa JK kwenye uchaguzi kulikuwa na wizi wa kura, ila chaguzi zilikuwa na fairness ya kuridhisha japo haikuwa na haki. Lakini toka Magufuli ameingia madarakani hakuna uchaguzi wowote uliofanyika kwa haki wala kwa uhuru. Hakuna kiongozi yoyote anayeweza kuwa muadilifu iwapo hata kuingia madarakani haingii kwa ridhaa ya umma.
Mimi sina maslahi na magufuli ila naeleza nilichokiona na nachoendelea kukiona.
 
Hawa viongozi ambao inaonekana hawataki kuleta mabadiliko wanapatikanaje? Kama wanateuliwa kwa nini waliteuliwa? Kama waliteuliw kimakosa bila kuwajua vizuri kwa nini anayewateua asiwawajibishe ? Kama walichaguliwa na wananchi basi hata wananchi nao hawataki hayo mabadiliko.

Tusitumie maneno kama hawataki kuleta mabadiliko bali hawako tayari kuwajibika ipasavyo na hawajiamini.

Hivyo ni kwa sababu kama wanawajibika ipasavyo basi hawahitaji kutafuta vyombo vya habari waandamanae navyo pale wanapotekeleza majukumu yao.

Ni kama vile kutafuta "justifications" ambazo hazina msingi.

Au mtu anaamua kuchapa viboko watu wengine hiyo si sawa na wale wanaocharzwa viboko wanapaswa kushtaki ili isionekane kuwa kuna agizo "kutoka juu" la kucharaza viboko wale wanaozembea.
 
Ni kupoteza muda kuzungumzia nchi ambayo mtu 1 anaweza kuzima mifumo mingine yote iliyopo. Nchi inakuwa imara inapokuwa na mifumo thabiti kiasi kwamba hata mkikosea kuweka kiongozi (kama ilivyo sasa) bado hakuna shida!
 
Pia, Hao viongozi ambao inaonekana hawako tayari kuwajibika ipasavyo na hawajiamini wanapatikanaje? Kama wanateuliwa kwa nini waliteuliwa? Kama waliteuliw kimakosa bila kuwajua vizuri kwa nini anayewateua asiwawajibishe ? Kama walichaguliwa na wananchi basi hata wananchi nao hawataki hayo mabadiliko na hawaamini watayapata kupitia hao viongozi.
Tusitumie maneno kama hawataki kuleta mabadiliko bali hawako tayari kuwajibika ipasavyo na hawajiamini.

Hivyo ni kwa sababu kama wanawajibika ipasavyo basi hawahitaji kutafuta vyombo vya habari waandamanae navyo pale wanapotekeleza majukumu yao.

Ni kama vile kutafuta "justifications" ambazo hazina msingi.

Au mtu anaamua kuchapa viboko watu wengine hiyo si sawa na wale wanaocharzwa viboko wanapaswa kushtaki ili isionekane kuwa kuna agizo "kutoka juu" la kucharaza viboko wale wanaozembea.
 
Nipo Dar-es-salaama kikazi na nimetua mitaa yangu ya katikati ya mji na nikamkumbuka msafisha viatu na maoni yake hatari ya kisiasa.

Nikakumbuka yupo mtaa wa Jamhuri lakini nilipofika pale sikumwona nikauliza mazee walokuwepo pale wakanambia kahamia mtaa wa Tandamti.

Basi kwa kuwa nilikuwa pia nataka niingie mitaa ya Kariakoo na nikakumbuka ninayo namba yake ya simu ambayo alinipatia (huwa napenda kuweka contacts za vyanzo vyangu vya habari) nikampigia.

Akanambia yupo mtaa wa Tandamti tangu mwezi wa December alipata kasehemu ka kujishikiza baada ya mjamaa aliekuwepo pale kuhamia sehemu ingine.

Basi, nikamfahamisha kwamba nikimaliza shughuli zangu pale Kariakoo ntamtafuta ili tujadili mawili matatu likiwemo suala la uchaguzi jinsi ulivyokwenda na nini ni maoni yake.

Baada ya mizunguko yangu nikaelekea mtaa wa Tandamti na pale nikamkuta anapiga kazi yake na ana wateja wapatao sita na kumbe tayari wana kikao chaendelea.

Pembeni yao alikuwepo kijana anakoka mkaa kwa ajili ya kahawa na kashata na upande mwingine alikuweo mzee mmoja ambae niliambiwa kuwa aitwa mzee Uledi mzee mashuhuri mahali pale kwa kuuza machungwa, mihogo ya kuchoma maji ya madafu na juisi maarufu ya miwa.

Hivyo hicho kilikuwa ni kijiwe tosha kabisa kuleta hamasa ya mijadala na mjadala nilioukuta ulikuwa ni wa kuhusu ugumu wa watanzaia wengi wenye dhamana mbalimbali ambao wanapaswa kumasidia raisi Magufuli na serikali yake katika kutekeleza azma ya serikali katika kuleta maendeleo ya kweli kwa watanzania.

Nikamwona mzee mwingine mstaafu aitwae Kigosi ambae nae ni wa "Tanga Line" alikuwa ile mitaa ya Jamhuri na msafisha viatu na nikashangaa kumwona pale.

Mzee Kigosi akaendelea kusema kwamba, "viongozi wengi hawana nia ya kweli ya kumsaidia huyu mzee. Wao wanangojea aondoke kwa matarajio kwamba raisi ajae atakuwa si kama huyu mwamba".

Akaendelea, " Wewe ona kila siku wasikia kuna madudu mengi yanaibuka watu wanapiga fedha nyingi zingine ni mabilioni kwenye miradi midogo tu. Watanzania wengi walizoea kutofanya kazi na kupenda maisha ya mkato, sasa wanapata taabu kwani amebana mirija hiyo".

Nikamuuliza mshona viatu kuhusu matokeo ya uchaguzi na nikampongeza kwa maono yake kwamba Tundu Lissu angeshindwa vibaya.

Mshona viatu akaendelea" Tundu Lissu ndio tegemeo la wazungu na ndio maana walihakikisha anaondoka salama Tanzania ili kwenda huko Ubelgiji kujiandaa na uchaguzi wa 2025."

Akaendelea. "wanadhani watakuwa na nafasi ingine tena ya kushinda uchaguzi ule lakini hiyo haiwezekani kwani CCM kwa sasa ndo imejizatiti kisawasawa".

Nikachomokea jina la Membe, mshona viatu akaendelea , " si umeona eeh Membe kamaliza kazi yake na yule mzee Maalim na Zitto nao wamemaliza kazi zao?"

Mshona viatu akaendelea, " kazi ya system ni kusoma mchezo na kuandaa kazi na mipango madhubuti na kama nilivyosema na waweza sema chochote lakini kwa sasa hali hali ndivyo ilivyo."

Nikamuuliza mzee Kigosi vipi anadhani ni nini serikali hii ifanye ili kuweka mambo sawa maana viongozi wengi waliopo wanaonekana wanafanya kazi kwa kutokujiamini.

Mzee Kigosi akaendelea " Raisi awape uhuru awape semina za kila mara na assurances kwamba wao ni viongozi alowaamini.

Awape miongozo kwani wengi ni vijana hivyo wana udhaifu wa kiujana ila wengi kama Bashe na Bashungwa na hata Jaffo ni viongozi makini wajao huko mbele."

Jamaa mwingine ambae alikuwa amekaa pembeni anasikiliza akaingia kutoa neno akaendelea kwamba, "JK ndie alieharibu sana hii nchi kwa miaka 10 mfululilizo na kulea taifa ambalo baadae linakuja kusumbua serikali zinazofuata."

Akaendelea, jamaa aliachia sana kila kitu na watu wengine hawakuzoea kujitafutia vipato kwa njia halali, wauza unga wengi, wakwepa kodi wengi, shule nyingi za "private" zilishamiri kuwakamua wananchi wa kawaida kwa kuondoa resources kwenye shule za serikali na kuziacha zibomoke na rasilimali za nchi kuibiwa bila Tanzania kufaidika na rasilimali hizo."

Mshona viatu akaendelea " Mji kama wa Dar wapaswa kusafishwa, ujengwe mazingira mazuri, mpangilio wa mitaa na maduka na wachuuzi wa barabarani waondolewe".

Akaendeelea, " pamoja na kwamba hawa pia ni walipa kodi lakini ni lazima waaandaliwe utaratibu mzuri wa kuuza bidhaa zao badala ya wanavyofanya sasa".

Mimi nikaangalia muda nikaona niwahi kuondoka kuelekea nyumbani Tegeta.

Nikatafakari yale niliyoyasikia lakini kikaguswa na hili la kwamba JK aliharibu sana hii nchi kwa miaka 10.

Nikajaribu kuoanisha miaka yake 10 na miaka 10 ijayo na JPM nikasema kimoyomoyo heru fikiria tungekuwa na miaka 20 ya "Hapa Kazi Tu" ingekuwaje?

Yalopita si ndwele tugange yajayo na nimeona mahala humu JF JK ataka kuandika (narudia kuandika) kitabu cha maisha yake.

JK aandike tu kitabu asijiulize ama aandike ama vipi.

JK aliingia serikalini kwa mara ya kwanza akiwa na umri wa miaka 44 kijana mdogo, hivyo hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere alikuwa na matarajio yaani "expectations" kubwa juu ya JK.

Nikaangalia salio la charge kwenye simu yangu ili kuona kama naweza kuandika machache niliojifunza kutoka kwenye hichi kijiwe.

Hivi sasa nchi ipo kwenye kipindi kigumu sana serikali iko makini kutoza ushuru na kuhimiza wananchi kulipa kodi na kudai risiti.

Lakini pia serikali yapaswa kuangalia namna ya kutengeneza njia mbalimbali za kujipatia mapato zaidi.

Kwa mfano wakurugenzi wa halmashauri ni watu wa kwanza kabisa kuanza kufikiria kujipatia mapato katika halmashauri zao.

Halmashauri zaweza kuanzisha ushirikiano au "partnership" kati yao na wafanyabiashara waishio katika halmashauri hizo au hata wa kutoka nje ya halmashauri hizo na wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa njia hii, halmashauri zaweza kuwa na "city centers" yaani katikati ya mji kunakuwa na maduka, maegesho ya magari, majengo ya kukodi kwa ajili ya ofisi, majengo ya maduka au "shopping malls", vivutio vya utalii wa ndani, viburudisho kwa ajili ya familia na watoto, mitaa maalum na maduka ya kawaida.

Pia wafanya biashara au wafanyabiashara watarajiwa wanaweza kushawishiwa kujenga maduka makubwa yaani supermarkets katika vitongoji vya halmashauri hizo hivyo kuweza kuketa mapato katika maeneo hayo kupitia kutoa ajira na kuwezesha huduma zingine kujitokeza katika maeneo hayo.

Kwa kuanzia njia hii yaweza kuzipatia mapato halmashauri nyingi tu nchini kiasi cha kuweka kupunguza fedha za miradi ya maendeleo ambazo zatokea serikali kuu na kuwa ni kiasi kidogo.

Njia ya pili kwa halmashauri kuweza kuongeza mapato katika maeneo yao ni kuhakikisha kila mwananchi analipa kodi ya maendeleo na kodi ya kiwanja kwa kuwa na utaratibu wa kusajili kila kiwanja na kila nyumba.

Ukiondoa misamaha ya kodi kila mtanzania ni lazima alipe kodi ili kulata maendeleo katika maeneo yao iwe ujenzi wa shule, barabara zinazopitika kwa urahisi.

Leo hii mtoto wa shule akichaguliwa kwenda sekondari ya kata ishakuwa taabu kwani kuna njia zingine magari hupata shida kupita kutokana na ubovu wa njia au vibarabara.

Hali hii italeta ugumu wa kuishi katika baadhi ya miji na vitongoji kwani watabakia wale wenye uwezo wa kuishi maeneo hayo na wale waso na uwezo kuhamia maeneo wanayostahiki.

Raisi Magufuli ana lengo zuri ila aina ya viongozi alio nao baadhi yao hawako tayari kufuata anayotaka.

Wapo baadhi Bashe, Bashungwa, Waziri mkuu Majaliwa, Lukuvi, Jaffo, na sasa Dr Gwajima na baadhi ya manaibu waziri wanaonyesha kuunga mkono maono ya raisi JPM.

Hajachelewa, asietaka kutumikia wananchi ajiondoe na apishe wenye nia hiyo ili maendeleo tunayohitaji wananchi yatufkie kwa uharaka.

Kila waziri na kiongozi khasa wale wanaowakilisha mikoani kama wakuu wa mikoa hadi wakurugenzi wa maendeleo ni lazima aunge mkono jitihada na juhudi za serikali.

Viongozi wachemshe vichwa wawe wabunifu wasiogope kutetea maamuzi yao endapo yanaleta tija.

Ni kama vile wanangojea muda wake uishe ili aondoke na kisha waendeleze ule ujinga wetu watanzania!

Kuwajibika katika nafasi aliyo nayo mtu ndio iwe mbiu ya kuchochea maendeleo kwa kila mtanzania.

Nimemaliza kuandika ndo nafika hapa Tegeta naenda kuicharge simu yangu maana yaelekea kuzima.

Wasalaam wanaJF.
Wanayopitia Marekani ndio tunayopitia watanzania sema tu wenzetu wameamua kufanya kweli.
 
Magufuli hana good intentions.

Inaonekana hajui ana intention gani. Au anafikiri - pamoja na Watanzania wengi- kwamba ana good intentions, lakini hajafikiri kwa kina kuhusu hizo intentions zake. End result ni unintended consequences. Negative ones.

He is all over the place.

He is a simpleton. A country bumpkin.

Playing checkers in a game that requirres three dimensional color coded chess underwater while swimming with the sharks without being eaten alive.
Kuna ka uzi nilikapandisha hapa nikasema kwamba kuna tatizo la tafsiri halisi ya malengo ya Magufuli,

Subordinates wake baadhi yao wamepata tafsiri potofu ya malengo yake.

Nikaenda mbele zaidi kussugest kwamba ipo haja ya kuwa na mtu wa Kati ambaye atakuwa kiungo mzuri baina ya Magufuli na subordinates wake,

Ila kuna mtu naona mwenye hili jukumu halitimizi ipasavyo,

Otherwise Magufuli akitumika vyema ni Rais Mzuri Sana.
 
Shida amegusa maisha ya wachache hasa wanufaika wake lkn majority ni dhoofu Hali,tunaombea Mungu ampe wepesi asibadili katiba Ili aingie Muislamu tule mema ya nchi na sio kuliwa na wachache.
 
Nchi gani duniani haina tatizo la kukosa ajira, unailinganisha Tz na nchi gani interms of employment?

Nimesema sasa chini ya Magufuli tatizo la ajira limeongezeka, ambapo mleta mada anataka kuonyesha sasa mambo ni mazuri kuliko wakati wa JK.
 
Back
Top Bottom