Maoni: Kutokana na ongezeku kubwa la walimu walioko mtaani, napendependekeze udahili wa idadi ya walimu wanaojiunga kusomea ualimu upunguzwe.


Tatizo hata mashuleni elimu haiko ya kutosha kuhusiana na masomo ya elimu juu.
Unakuta mtu mpaka anamaliza kidato cha sita haelewi akasomee nini. Ni huzuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…