Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Kuwasiliana na ndugu na kutuma miamala na kutumiwa miamalaWewe simu unaitumia vipi productively? [emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwasiliana na ndugu na kutuma miamala na kutumiwa miamalaWewe simu unaitumia vipi productively? [emoji848]
Note 20 Ultra sijui kwanini Samsung waliacha hizo mambo.Mm nilinunua sm note 20 kavu...hii simu weka mbali na watoto kwanza kiooo chake yaan ukiwa unatumia unasikia rahaaaa sasa njoo camera ni balaaa na chaji inakaa vizuri sana battery 4300 mAh, Ram 8gb, internal storage 256gb.Hii simu ni nzuri sana.Nilisha wahi tumia redme note 11 ni nzuri sana ila kwa samsung hapana acha niwape maua yao.
Ni matumizi yapi yanaonesha kuwa mtu anaitumia simu yake kikamilifu?Hiyo namba sita ni ya muhimu sana japokuwa nina ugonjwa wa kununua simu zenye kuleta gumzo kwenye jamii hali ya uchumi inavyokuwa nzuri.
Ukitaka kulijua hilo kwamba watu hawazitumii simu kikamilifu, mtu akienda kununua simu anaangalia camera, storage na brand angalau aonekane wa bei ya juu kidogo Kwa ajili ya kujaza nyimbo na picha pamoja na asionekane mchovu Kwa kuwa na simu latest mengine hayahusu ila wachache sana wanazitumia simu kikamilifu
Umewakimbia Redmi mkuu?Kila mmoja aishi ajuavyo mie kwa sasa nafikiria kuendelea kutumia oppo chinese versionbaada ya kuanza na hii reno 7 nikaona ufanisi wake siwazi hata kuhama
Nitabaki kua team xiaomi ila nazurura zura kwanza now niko oppo nataka niende china kwa huawei nikitokea apo narudi xiaomUmewakimbia Redmi mkuu?
Ulinifanya nizipende simu za redmi japo saiz natamani kushika flagship moja hata ya used tu.
Mimi iphone & Samsung ni simu hazina ushawishi kwangu kabisaSijawahi kutumia samsung bado hawajanishawishi ,sawa na laini ya tigo sijawahi kutumia wala sina time nao..
Nipo google pixel kwa sasa.
Nafikiria kuzama huko next month. Ni bei gani ulichukua?Mm nilinunua sm note 20 kavu...hii simu weka mbali na watoto kwanza kiooo chake yaan ukiwa unatumia unasikia rahaaaa sasa njoo camera ni balaaa na chaji inakaa vizuri sana battery 4300 mAh, Ram 8gb, internal storage 256gb.Hii simu ni nzuri sana.Nilisha wahi tumia redme note 11 ni nzuri sana ila kwa samsung hapana acha niwape maua yao.
Karibu kaka kwenye pura , uinjoi niggaBinafsi najichanga kupata Huawei Pura 70 Ultra mwamba matata sana kwenye Camera
Mimi nimekuelewa sana kwani natumia zote Iphone na samsungSamsung wako vzr sana sababu wameweza kupata balance kati ya uwezo wa software na hardware, kitu ambacho kwa wengine bado.
Brands nyingine utakuta hardware nzr ila software chenga, and vice versa
Shida kubwa ni kubalance hardware na software. Unaweza tengeneza hardware nzr ila software chenga.Sony Xperia its the best kwa upande wangu. Sijajua wajapan wanakwama wapi kwenye marketing. Kampuni nyingi tunazozisifia za sinu wana tumia camera sensors za Sony..ila sony wenyewe sokoni wanachaowa vibaya mno na kina samsung