MAONI: Kwenye battle ya flagships, hakuna brand inayoizidi Samsung, hata iPhone haishiki moto wa Samsung

Note 20 Ultra sijui kwanini Samsung waliacha hizo mambo.
Note kama Note,tumehamia S24 Ultra😀😀😀ila bado naikumbuka Note 20 Ultra ipo kama Backup siku zote.
 
Ni matumizi yapi yanaonesha kuwa mtu anaitumia simu yake kikamilifu?

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Kila mmoja aishi ajuavyo mie kwa sasa nafikiria kuendelea kutumia oppo chinese versionbaada ya kuanza na hii reno 7 nikaona ufanisi wake siwazi hata kuhama
Umewakimbia Redmi mkuu?
Ulinifanya nizipende simu za redmi japo saiz natamani kushika flagship moja hata ya used tu.
 
Umewakimbia Redmi mkuu?
Ulinifanya nizipende simu za redmi japo saiz natamani kushika flagship moja hata ya used tu.
Nitabaki kua team xiaomi ila nazurura zura kwanza now niko oppo nataka niende china kwa huawei nikitokea apo narudi xiaom
 
Nafikiria kuzama huko next month. Ni bei gani ulichukua?
 
Binafsi najichanga kupata Huawei Pura 70 Ultra mwamba matata sana kwenye Camera
 
Nimeikubali Samsung s24 , hawa jamaa ni hatari Tupa kule iPhone 15 , nilipanga kununua iPhone 16 mwez wa kumi nafkr zitakuwa zimetoka , nimeona unyama wa Samsung s24 , naenda kuchukua huyu mkali , umbo lake Tu linakera ila content ni balaa
 
Samsung wako vzr sana sababu wameweza kupata balance kati ya uwezo wa software na hardware, kitu ambacho kwa wengine bado.

Brands nyingine utakuta hardware nzr ila software chenga, and vice versa
Mimi nimekuelewa sana kwani natumia zote Iphone na samsung
 
Sony Xperia its the best kwa upande wangu. Sijajua wajapan wanakwama wapi kwenye marketing. Kampuni nyingi tunazozisifia za sinu wana tumia camera sensors za Sony..ila sony wenyewe sokoni wanachaowa vibaya mno na kina samsung
 
Sony Xperia its the best kwa upande wangu. Sijajua wajapan wanakwama wapi kwenye marketing. Kampuni nyingi tunazozisifia za sinu wana tumia camera sensors za Sony..ila sony wenyewe sokoni wanachaowa vibaya mno na kina samsung
Shida kubwa ni kubalance hardware na software. Unaweza tengeneza hardware nzr ila software chenga.

Nina sony hapa juzi nlikua napiga videocall whatsapp ghafla camera ikakataa kurespond, baadae ikawa nikiwasha torch inakataa inasema camera is on, confusions tu zisizoeleweka mpaka nikarestart simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…