mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
Ulipotea madam[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walimu wamefikiwa upyaaa. Lol
Majukumu ya kusaka Tonge, yanabana sana, ila nafasi ikipatikana ndo km hivi tunaswampaa hapa jukwaani.Ulipotea madam
Walimu waliopo humu watajuta kukufahamuHii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.
Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time.. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawez hata wauze ubuyu na barafu shuleni
Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao
Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda mpaka astafu napo mda WA kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari
Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao ππππ
Unamaanisha hata walimu wanaoishi Dar nao choka mbaya hawana pesa?Mkuu mimi ni mwalimu kwa miaka kumi sasa. Nakuunga mkono na nina mengi ya kusimulia sema tu nchi yetu bado haina uhuru wa mawazo. Nitatafuta platform nzuri niweze kuiandikia serikali na kuishauri vizuri namna ya kutatua changamoto za walimu katika hali hii hii ya uchumi tuliyo nayo. Ni kwa bahati mbaya sana hakuna hiyo political will ya kuboresha maisha ya walimu
Ni bahati yangu tu mimi mchagga nilijiongeza sana mitaani lakini kusema ukweli 98% ya walimu wa mijini hawamudu milo mitatu kwa familia zao! Very sad π’
Mwaka gani hiyo, mlikua mnakosa hadi ungaππLkn miaka hii kuna walimu wapo good tu economically japo sio wengi ... nowadays shule mingi zna tu gari nje twa maticha hii ni improvement kubwa....kipind npo o-level nlkuwaa nakaa kwa faza mdogo ni ticha aseee tulikuwa tunakosa hadi unga wa ugali.....
Mkuu ilikuwa mke wa mtu nn huko gerezan, maana nasikia ukikubali kutoa jicho la tatu huko unaishi kama malkia ElizabethDah umenikumbusha nilivyokuwa nakula chipsi yai gereza la Keko ,nikawa na kitambi kikubwa nilivyotoka watu wanasema nilienda kozi kumbe nilikuwa nyuma ya nondo .
Kazi zangu zilikuwa kufyeka tu nyasi kakipande ka Sacco's tu na kupigisha story wafungwa kuhusu maisha ya uraiani hakika yalikuwa maisha mazuri kuliko ya baadhi ya walimu aise
Hapana mdogo wangu umasikini wa watanzania ndiyo unaamua uishije gerezani ,Sasa umewekwa ndani kwa kesi ya kuiba kuku na Mimi nimewekwa kwa uhujumu uchumi wa bilioni nne za serikali unahisi tutaishi sawa ndani mdogo wangu ?Mkuu ilikuwa mke wa mtu nn huko gerezan, maana nasikia ukikubali kutoa jicho la tatu huko unaishi kama malkia Elizabeth
πππHapana mdogo wangu umasikini wa watanzania ndiyo unaamua uishije gerezani ,Sasa umewekwa ndani kwa kesi ya kuiba kuku na Mimi nimewekwa kwa uhujumu uchumi wa bilioni nne za serikali unahisi tutaishi sawa ndani mdogo wangu ?
Lakini kingine kinachoamua uishije kule ni unatoka familia gani mdogo wangu ,wewe wa familia ya baba mzazi mwalimu mama mzazi ni mfugaji wa mende ,hatuwezi lingana na Mimi ambaye baba na babu Wana historia hapa nchini rafiki yangu .
Anyway karibu tunywe ulanzi niko na wanakijiji hapa tunakunywa ulanzi taratibu tunaisubiri sikukukuu ya nane nane kwa hamu niko nawasimulia juu ya wale watoto wa Samia waliobaka kadada ka watu
Toa hojaEndelea kutukana walimu waliokufundisha huo usenge wako wa kuandika huo muandiko baba na mama ako wote wamefudishwa na hao unaowatuka we jamaa ni msenge sana
Endelea kutukana walimu waliokufundisha huo usenge wako wa kuandika huo muandiko baba na mama ako wote wamefudishwa na hao unaowatuka we jamaa ni msenge sana
Naona niende nazo tu πMkuu dhambi zako utatubu duniani au utaenda nazo Mbinguni π€£