Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Yesu alisha wahi kua na kazi au kuajiliwa popote sasa masuala ya kazi aliajulia wapi? Yeye kwa uoga wake alikimbia dunian haraka miaka 33 tu angeka mpaka miaka 60 asingetoboa acha maisha haya
YESU KAZI YAKE ILIKUWA NI USEREMALA

PILI YESU NI SHUJAA HAJAWAI KIMBIA LOLOTE
Yesu alisha wahi kua na kazi au kuajiliwa popote sasa masuala ya kazi aliajulia wapi? Yeye kwa uoga wake alikimbia dunian haraka miaka 33 tu angeka mpaka miaka 60 asingetoboa acha maisha haya

Yesu alisha wahi kua na kazi au kuajiliwa popote sasa masuala ya kazi aliajulia wapi? Yeye kwa uoga wake alikimbia dunian haraka miaka 33 tu angeka mpaka miaka 60 asingetoboa acha maisha haya
YESU KAZI YAKE ILIKUWA NI USEREMALA

PILI YESU NI SHUJAA HAJAWAI KIMBIA LOLOTE
 
why uite watu ni wajinga kisa tu hawajui kusoma na kuandika. wewe unajua kila kitu
hata Wasira alishasema mshahara hautajirishi mtu, hivyo tunapochahua kuajiriwa ,automatically tumechagua umasikini
Ujinga ni hali ya mtu kutofahamu jambo fulani. Hata wewe au mimi tunaweza kuwa na kaujinga kwenye maeneo fulani.
Kumuamini mtu ukampa kitu fulani kisha akakutapeli, huo ni ujinga. Ila ukirudia tena pasipo kujifunza, huo unaitwa upumbavu.

Kwa kifupi watu wengi sana kwenye hili taifa la wadanganyika, ni wajinga. Kujua kusoma na kuandika hakukuondolei ujinga. Unaweza kujua kusoma na kuandika yasiyokuwa na msaada au tija yoyote.
 
This job is hell on earth!!. Hawa watu wametapakaa mitaani kama jobless kumbe watumish.
Fursa ya sensa wapo, fursa ya kuandikisha daftar la kudumu wapo, fursa za kuhesabisha na kusimamia kura wapoo, anuani za makazi waoo tu,.

Unashindwa kuelewa whats wrong nahawajawahi kuelimika wala kupiga hatua. Walimu jaribun kuepuka hizi fezeha
Tunawaheshim Ila nyie mnajidisvalue, just imagine ticha unaenda kukopa pesa kwa mwanafunz 😂😂😂

Biashara zao ni vitumbua na ubuyu shuleni over. Sasa utatajirika vipi

Take care otherwise mtakuwa poverty ambassador whole life
Mwanao unamfundisha mwenyewe sio..acha kiburi heshimu taalama za wenzio. Uwalimu ni wito.
 
YESU KAZI YAKE ILIKUWA NI USEREMALA

PILI YESU NI SHUJAA HAJAWAI KIMBIA LOLOTE



YESU KAZI YAKE ILIKUWA NI USEREMALA

PILI YESU NI SHUJAA HAJAWAI KIMBIA LOLOTE
Wewe unasumbulia na Imani potofu, Yesu akupaa baada ya kuona mambo magumu duniani kwanini akuenda kutafuta kazi na kuanzisha familia naomba uwe pragamatic sio kua religious fanatic
 
KWANI HESHIMA NA DHARAU KIPI CHEMA?? SIO KAMALI TU HATA MUUZA GONGO, KAHABA WEWE HESHIMU TU MAANA WA KUHUKUMU NI YESU TU

MAANA HESHIMA NI JAMBO JEMA HUWEZA HATA KUMBADILISHA HUYO MCHEZA KAMARI, ILA HUZARAU HUCHOCHEA UOVU
Hapa tunaongelea KAZI na sio WAFANYA HIZO KAZI elewa tofauti kiongozi.

Barikiwa.
 
Acha dharau na ushamba wewe! Asilimia KUBWA ya familia za Kitanzania ndugu zetu Ni walimu ndo wametusomesha na kutunza wazazi, Tatizo mkipata vipesa kidogo mnajiona mnamiliki Dunia kumbe hamna kitu,mnakuja kuishia kwenye fedhea na aibu kwa jamii, huku ndugu zenu huko vijijini wanavaa vilaka,malapulapu na kushinda wanafanya vibarua nyumba za walimu,,,😏😏
Huyo ni Fala Tu Hana pesa wala biashara yeyote...huyu ni mjinga tu na hakuna anachojua kwenye ulimwengu wa bias
 
Kila kazi halari ina Baraka za Mungu.
Wewe unataka utajiri ili ufanye jambo gani jipya?
Unataka watoto wa maskini haswa huko vijijini wafundishwe na nani?
''''''''''''''''''''''''''
Mimi ningekuwa Mwalimu ningeomba nikafundishe kwenye vijiji vyenye hali ya hewa nzuri na ardhi yenye rutuba.
Ule mtaji wa mshahala mdogo ningewekeza kwenye kilimo na ufugaji wa kibiashara.
Ningepiga pesa ya hatari sana.
 
This job is hell on earth!!. Hawa watu wametapakaa mitaani kama jobless kumbe watumish.
Fursa ya sensa wapo, fursa ya kuandikisha daftar la kudumu wapo, fursa za kuhesabisha na kusimamia kura wapoo, anuani za makazi waoo tu,.

Unashindwa kuelewa whats wrong nahawajawahi kuelimika wala kupiga hatua. Walimu jaribun kuepuka hizi fezeha
Tunawaheshim Ila nyie mnajidisvalue, just imagine ticha unaenda kukopa pesa kwa mwanafunz 😂😂😂

Biashara zao ni vitumbua na ubuyu shuleni over. Sasa utatajirika vipi

Take care otherwise mtakuwa poverty ambassador whole life
Ifike sehemu Mpwayungu Village na walimu mkae chini mmalize tofauti zenu.
 
Back
Top Bottom