Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Mkuu mimi ni mwalimu kwa miaka kumi sasa. Nakuunga mkono na nina mengi ya kusimulia sema tu nchi yetu bado haina uhuru wa mawazo. Nitatafuta platform nzuri niweze kuiandikia serikali na kuishauri vizuri namna ya kutatua changamoto za walimu katika hali hii hii ya uchumi tuliyo nayo. Ni kwa bahati mbaya sana hakuna hiyo political will ya kuboresha maisha ya walimu

Ni bahati yangu tu mimi mchagga nilijiongeza sana mitaani lakini kusema ukweli 98% ya walimu wa mijini hawamudu milo mitatu kwa familia zao! Very sad 😢


Sio kweli mkuu umetia chumvi
 
Acha uongo yaan unavowasema walim n kama jamii ya mwisho kabisa kwa maisha duni mbona mtaan kuna watu kibao maisha ya ovyo afadhali walim mara elfu yaan mtu anakopesheka benk bila hati ya nyumba halaf unasema ana maisha magum kiasi icho we jamaa n mwehu kweli ivi walim wengi wana nyumba zaidi ya mbili tena dar kabisa ss huo umaskin unatoka wapi kama mtu una nyumba mbili mshahara si chini ya laki 7 au 9 ss hayo maisha magum yanatoka wapi
Kwa maisha ya Sasa chini ya million moja ww kapuku wa kutupwa
 
Acha uongo yaan unavowasema walim n kama jamii ya mwisho kabisa kwa maisha duni mbona mtaan kuna watu kibao maisha ya ovyo afadhali walim mara elfu yaan mtu anakopesheka benk bila hati ya nyumba halaf unasema ana maisha magum kiasi icho we jamaa n mwehu kweli ivi walim wengi wana nyumba zaidi ya mbili tena dar kabisa ss huo umaskin unatoka wapi kama mtu una nyumba mbili mshahara si chini ya laki 7 au 9 ss hayo maisha magum yanatoka wapi
Huyu mwehu/shoga hajui kuwa kuna waalimu wana kunja above 1.5M take home
 
Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.

Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawezi hata wauze ubuyu na barafu shuleni.

Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao.

Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda mpaka astafu napo mda wa kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari.

Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭
Wewe ni kiazi
 
Hapana mdogo wangu umasikini wa watanzania ndiyo unaamua uishije gerezani ,Sasa umewekwa ndani kwa kesi ya kuiba kuku na Mimi nimewekwa kwa uhujumu uchumi wa bilioni nne za serikali unahisi tutaishi sawa ndani mdogo wangu ?

Lakini kingine kinachoamua uishije kule ni unatoka familia gani mdogo wangu ,wewe wa familia ya baba mzazi mwalimu mama mzazi ni mfugaji wa mende ,hatuwezi lingana na Mimi ambaye baba na babu Wana historia hapa nchini rafiki yangu .

Anyway karibu tunywe ulanzi niko na wanakijiji hapa tunakunywa ulanzi taratibu tunaisubiri sikukukuu ya nane nane kwa hamu niko nawasimulia juu ya wale watoto wa Samia waliobaka kadada ka watu
😂😂😂😂
Hapana mdogo wangu umasikini wa watanzania ndiyo unaamua uishije gerezani ,Sasa umewekwa ndani kwa kesi ya kuiba kuku na Mimi nimewekwa kwa uhujumu uchumi wa bilioni nne za serikali unahisi tutaishi sawa ndani mdogo wangu ?

Lakini kingine kinachoamua uishije kule ni unatoka familia gani mdogo wangu ,wewe wa familia ya baba mzazi mwalimu mama mzazi ni mfugaji wa mende ,hatuwezi lingana na Mimi ambaye baba na babu Wana historia hapa nchini rafiki yangu .

Anyway karibu tunywe ulanzi niko na wanakijiji hapa tunakunywa ulanzi taratibu tunaisubiri sikukukuu ya nane nane kwa hamu niko nawasimulia juu ya wale watoto wa Samia waliobaka kadada ka watu
😂😂😂😂 Sawa kaka usinisahau ktk ufalme wko
 
Dah umenikumbusha nilivyokuwa nakula chipsi yai gereza la Keko ,nikawa na kitambi kikubwa nilivyotoka watu wanasema nilienda kozi kumbe nilikuwa nyuma ya nondo .

Kazi zangu zilikuwa kufyeka tu nyasi kakipande ka Sacco's tu na kupigisha story wafungwa kuhusu maisha ya uraiani hakika yalikuwa maisha mazuri kuliko ya baadhi ya walimu aise
Hapo keko ulikuwa mfungwa au nani?
 
Hapana mdogo wangu umasikini wa watanzania ndiyo unaamua uishije gerezani ,Sasa umewekwa ndani kwa kesi ya kuiba kuku na Mimi nimewekwa kwa uhujumu uchumi wa bilioni nne za serikali unahisi tutaishi sawa ndani mdogo wangu ?

Lakini kingine kinachoamua uishije kule ni unatoka familia gani mdogo wangu ,wewe wa familia ya baba mzazi mwalimu mama mzazi ni mfugaji wa mende ,hatuwezi lingana na Mimi ambaye baba na babu Wana historia hapa nchini rafiki yangu .

Anyway karibu tunywe ulanzi niko na wanakijiji hapa tunakunywa ulanzi taratibu tunaisubiri sikukukuu ya nane nane kwa hamu niko nawasimulia juu ya wale watoto wa Samia waliobaka kadada ka watu
Chai.
 
Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.

Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawezi hata wauze ubuyu na barafu shuleni.

Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao.

Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda mpaka astafu napo mda wa kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari.

Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭
WANAISHI KUTOKANA NA KAULI MBIU HAYO.

CHAGUA CCM, CHAGUA UMASKINI
 
Lkn miaka hii kuna walimu wapo good tu economically japo sio wengi ... nowadays shule mingi zna tu gari nje twa maticha hii ni improvement kubwa....kipind npo o-level nlkuwaa nakaa kwa faza mdogo ni ticha aseee tulikuwa tunakosa hadi unga wa ugali.....
Kwahio ukiona gari nje ya shule unaona maisha yao ni mazuri....
 
Hii kazi ni kaa la moto, nakutana na walimu barabarani wakiwa sura zimechoka, zimechimbika kama alien.

Ni watu wema sana kwa kazi yao Ila sio kwa akili walizonazo maana mambo yao always huwa ni sad and fun at the same time. Walimu bongo niwatu waliopo kwenye jumuiya ya TASAF maana kumudu mlo kamili hawawezi hata wauze ubuyu na barafu shuleni.

Hawa watu nguo zao huwa ni outdated, wanavaa pepe kale mpaka leo yani ukimwona mwalimu huuliz maana anaonekana, chakula Chao ni ugali na maharage siku ya mshahara asubuhi watoto wao wanaweza Pata mkate na mchana Wali maharage nayo sherehe kwao.

Nyumba zao ni kama magofu ya kale labda mpaka astafu napo mda wa kustafu anapata pressure, kisukali, tetekuwanga, ukoma na mkanda wa jeshi mwisho anakufa na kiharusi kwa kukatwa miguu kwa sababu ya kisukari.

Hawa watu wanapigika na jehanam wakiwa bongo mpaka kufa kwao 😭😭😭😭
Ushawahi kukaa gerezani popote pale ndani ya Tz?
 
Lkn miaka hii kuna walimu wapo good tu economically japo sio wengi ... nowadays shule mingi zna tu gari nje twa maticha hii ni improvement kubwa....kipind npo o-level nlkuwaa nakaa kwa faza mdogo ni ticha aseee tulikuwa tunakosa hadi unga wa ugali.....
Alikuwa anahonga sana huyo.
 
Mbona masimamgo blood kwa waalimu.
Huyu nae ni mwalimu kwahiyo anaongelea yanayomsibu binafsi. Pia ukumbuke mwalimu huyu kila anapokosa dili la kiualimu, LAZIMA aje humu kuwananga! Mfano, juzi na jana kuna baadhi ya mikoa ilikuwa na intavyuu ya walimu walioomba kufanya kazi ya "Kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura". Sasa inawezekana, aidha aliomba hajaitwa kwenye intavyuu au ameshindwa intavyuu yenyewe! Ahahahahaha! Sasa mpaka hasira zimuishie, walimu wataipata fresh!
 
Back
Top Bottom