Biashara ya saluni inalipa sana. Mfano dazeni ya nywele za bandia ni sh.12000 tu (kwa bei ya jumla jumla) ambapo kwa reja reja kila pic moja inauzwa sh.1600 tu.
Hivyo ukiwa na dazeni 100 na kila dazeni ina pic 12 ili itimie dazeni, hivyo,
Kila pic moja kama utaiuza sh.1600 utapata faida ya sh.19,200 (yaani 12 zidisha kwa sh.1600)
Hivyo, chukua faida ya dazeni moja ambayo ni sh. 19,200 zidisha kwa dazeni 100 utapata sh.1,920,000. Hata ukifanikiwa kumaliza hizo dazeni ndani ya mda mfupi hiyo hela itakuwa yako yaani faida.
KUMBUKA: Hapo unahitaji mtaji wa sh.1,200,000 tu. Pia biashara hii hakikisha huna Tabia za kutamani tamani wanawake maana faida hutaiona!
Kazi ni kwenu sasa!