Maoni, Mawazo & Ushauri kuhusu biashara ya Rasta na Weaving

Kweli hata biashara haujawahi kufanya Bali unataka kuleta akili uchwara za kiccm,umesema dazeni ni 12000tsh na zipo piece 12,na kwa piece 1 unauza 1600tsh,sasa hiyo faida ya 19200tsh inatoka wapi!?
Wakati ukifanya 1600×12=19200tsh,kumbuka umenunua 12000tsh kwahiyo hapo ni 19200-12000=7200tsh
7200tsh hapo hatujajua inachukua muda gani kuuza ili tuweze kujua faida halisi inapatikana vipi
Sent by Diaspora
 
Nashida na wewe mkuu nakupataje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…