Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
Hahahahahahahaha...!!! Sio povu mkuu, mimi siuzi nywele na wala sio tajiri. Ila kuniaminisha kwamba ukiuza nywele utakuwa tajiri kwa kiwango alichomaanisha mleta mada, hapo nakataa...!!!Mmh ilo povu
Biashara ya saluni inalipa sana. Mfano dazeni ya nywele za bandia ni sh.12000 tu (kwa bei ya jumla jumla) ambapo kwa reja reja kila pic moja inauzwa sh.1600 tu.
Hivyo ukiwa na dazeni 100 na kila dazeni ina pic 12 ili itimie dazeni, hivyo,
Kila pic moja kama utaiuza sh.1600 utapata faida ya sh.19,200 (yaani 12 zidisha kwa sh.1600)
Hivyo, chukua faida ya dazeni moja ambayo ni sh. 19,200 zidisha kwa dazeni 100 utapata sh.1,920,000. Hata ukifanikiwa kumaliza hizo dazeni ndani ya mda mfupi hiyo hela itakuwa yako yaani faida.
KUMBUKA: Hapo unahitaji mtaji wa sh.1,200,000 tu. Pia biashara hii hakikisha huna Tabia za kutamani tamani wanawake maana faida hutaiona!
Kazi ni kwenu sasa!
Nashida na wewe mkuu nakupataje?Unazoziona kariakoo tunanunua China na South Africa...nenda tuu kkoo changanya Wigi kadhaa na weaving baadhi zingine wananunua Uganda hapo hizo Brazilian.. Nunua lolo rangi nyeusi na Purple (Papo),Jialong ndefu na Fupi ndefu chukua rangi 99j,# 1 na colour 4, lovely lady fupi rangi zote..HP ukipata colour zote changanya chache chache,Wigi za watoto na spray carton hata Mbili za Wigi nazo utauza nunua midoli ya kuwekea Wigi kkoo ipo angalia ukubwa wa fremu yako ndio ununue mikubwa na midogo ujanja mwingine utaupata ukiendelea kufanya hiyo biashara..
Nipo SA wiki ijayo mwishoni tukijaaliwa uzima ntakua Tanzania karibu.Nashida na wewe mkuu nakupataje?
naomba namba boss ukirudi ntakucheck hata ya whatsappNipo SA wiki ijayo mwishoni tukijaaliwa uzima ntakua Tanzania karibu.