Ni Wivu tu labda Sammata huyu anatumia Mguu wa BAUNSA.Samata hana la kupoteza ndo maana akija timu ya taifa hajitumi anacheza hovyo tu kuogopa majeruhi.
Kuna mechi taifa stars walishinda bila yeye asituletee u-star wake,mtu ligi kubwa anafunga magoli ,UEFA hadi liverpool anafunga ila mechi ya timu ya taifa anafunga penati tu,hata nusu ya Msuva hafikii hiyo namba 10 apewe hata ajibu.
Samatta na bahati ya kutajwa tu midomoni mwa watu, ila haujui mpira kama Msuva,.. Msuva kwetu ndiye msaada wetu,.. Naamini Nchimbi na Msuva na Chilunda wangepewa combination ya Kumaliza kule mbele, tungevuna magoli sana,.. Ila huyu samatta, hamna lolote,.. Aachwe tu
Shida sisi wabongo tunajidai kila kitu tunajua. Mtu hata mpira hajawahi cheza anasema samatta anazingua. unajua role yake alokuwa amepewa leo? unajua workrate yake leo uwanjani. Muachenk Samatta hakuna mchezaji kama Samatta kwa sasa Tanzania. Samatta ndo next level
Hivi unampima Samatta kwa hizi mechi 2? Umeangalia mechi ngapi za stars? Huuoni kabisa mchango wake kweli?Mkuu samatta anazingua.. tatizo yeye tuu ndio anacheza ligi kubwa..
Natamani kina kelvin john wakue waje waonyeshe nini maana ya kuwa mchezaji mkubwa.
Na akisajiliwa EPL utasemaje?Mbwana hata genk huwa ni bahati tu inamuangukia ya kufunga. Lkn huwa sioni km ni mchezaji wa kiwango kikubwa km tunavyoaminishwa!! Mbwana hawezi kucheza England hata division 1. Hakuna timu ya England inayoweza kumnunua!!
Tatizo analeta mizaha sana.. he is not serious at all.Hivi unampima Samatta kwa hizi mechi 2? Umeangalia mechi ngapi za stars? Huuoni kabisa mchango wake kweli?
Oh ok poa but seriously mi naona yuko okTatizo analeta mizaha sana.. he is not serious at all.
Lakini Kwa mechi ya Jana,aisee Samatta alizingua kiukweli kabisaaa,tuache kupepesa machoHivi unampima Samatta kwa hizi mechi 2? Umeangalia mechi ngapi za stars? Huuoni kabisa mchango wake kweli?
wanashindwa kulia na marefa wanalia na samatta wabongo bwana hawaridhikiHata ingekuwa mimi ningefanya kama anavyofanya Samatta.
Daah mkuu kakukosea nini huyu dogo?Mbwana hata genk huwa ni bahati tu inamuangukia ya kufunga. Lkn huwa sioni km ni mchezaji wa kiwango kikubwa km tunavyoaminishwa!! Mbwana hawezi kucheza England hata division 1. Hakuna timu ya England inayoweza kumnunua!!