Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mbona juzi alisemwa,hata uwanjani kama ulikuwepo wengi tulitaka atokeOna hawa nao... timu ikishinda hakuna lawama ikifanya vibaya basi samatta anabeba lawama zote... hebu acheni kumsimanga jamaa gem ya leo kaharibu refa na kessy sijaona kosa la samatta