Ni awamu y sitaHii ni awamu ya tano mhula wa pili.
Hatujafanya uchaguzi bali tumepata mrithi wa aliyeshinda uchaguzi 2020.Ni awamu y sita
Kila rais na awamu yake
La sivyo nyerere angekua na awamu zaidi ya mbili… forget about miaka ya kukaa madarakani
Sisi Watanzania na siyo sukuma ngangwewe ndio hujui usiseme sisi,na nani?
Ndio awamu hiyo nduguHatujafanya uchaguzi bali tumepata mrithi wa aliyeshinda uchaguzi 2020.
Usichanganye mambo.Ndio awamu hiyo ndugu
Hata ikatokea bahati mbaya jeshi likafanya chochote nayo pia itakua awamu bila uchaguzi
Kwahiyo wasukuma sio watanzania?Sisi Watanzania na siyo sukuma ngang
Walijiaminisha kuwa wao ni levo ya juu ya binadamu na wazalendo wa kwanza kuliko kabila lolote Tanzania na kwamba bila wao Tanzania haiwezi kwenda ndiyo maana asilimia kubwa yao wanamwona mama kama msaliti wa mwendazake.Kwahiyo wasukuma sio watanzania?
Una ushahidi wa hayo uliyoandika?Walijiaminisha kuwa wao ni levo ya juu ya binadamu na wazalendo wa kwanza kuliko kabila lolote Tanzania na kwamba bila wao Tanzania haiwezi kwenda ndiyo maana asilimia kubwa yao wanamwona mama kama msaliti wa mwendazake.
Watu wa visasi na chuki wakaaminisha umma kuwa Tanzania bila Chadema tungekuwa mbali sana maana Chadema imetuchezea sana,imechelewesha maendeleo na Chadema ni chama cha Wachaga pumbavu kabisa hawa watu.Una ushahidi wa hayo uliyoandika?
Je sababu hizo pekee ndio zinazokufanya uamini kuwa wasukuma awastahili kuwa watanzania?
Kinachokusumbua wewe ni ukabila,punguza ukabila kaka uwe huru😅Watu wa visasi na chuki wakaaminisha umma kuwa Tanzania bila Chadema tungekuwa mbali sana maana Chadema imetuchezea sana,imechelewesha maendeleo na Chadema ni chama cha Wachaga pumbavu kabisa hawa watu.
Watu wa visasi na chuki wakaaminisha umma kuwa Tanzania bila Chadema tungekuwa mbali sana maana Chadema imetuchezea sana,imechelewesha maendeleo na Chadema ni chama cha Wachaga pumbavu kabisa hawa watu.Una ushahidi wa hayo uliyoandika?
Je sababu hizo pekee ndio zinazokufanya uamini kuwa wasukuma awastahili kuwa watanzania?
Pole.Kinachokusumbua wewe ni ukabila,punguza ukabila kaka uwe huru😅
Pole wewe uliyeshindwa kutetea hoja zako kwa ushahidi matokeo yake umeamua kuhamia kwenye taarabu😂Watu wa visasi na chuki wakaaminisha umma kuwa Tanzania bila Chadema tungekuwa mbali sana maana Chadema imetuchezea sana,imechelewesha maendeleo na Chadema ni chama cha Wachaga pumbavu kabisa hawa watu.
Pole.
Ukweli unasemwa kwa njia ya ngojera,methali,nahau,muziki,taarabu,ngoma,magazeti na mitandao ya kijamii.Maana Wasukuma walikosa ustaarabu kwa ajili ya mtu mmoja muuaji,wakaona anachofanya ni halali na haki Tanzania,lakini wakasahau kuwa siku ya mwisho kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.Pole wewe uliyeshindwa kutetea hoja zako kwa ushahidi matokeo yake umeamua kuhamia kwenye taarabu😂
Hata mie sijui mlipwa tsh ngapi!?, kwani siamini kama nyie ni wajinga kiasi cha kutokujua ukweli wenyewe ukoje?, mie nafikiri mnajaribu kutakitisha kaniki ili iwe nyeupe,Kumuabudu? Wa kuabudiwa ni Mungu tu,
Neno kaa= mdudu wa majini ana mikono kama mkasi, au kaa chini? Usinipige,usinipige,usinipige, tafsiri yako kichwani ndio inatuelezea wewe ni nani na kwa nini, kaxi yangu ni kusema tu, sikupingi,