Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Simpendi kwa vile hana ubunifu wa kutengeneza ajira hata za muda kwa kuajiri watu waliosoma kwenye tume ya uchaguzi, fisadi na muuza bandari na ngorongoro
 
Simpendi kwa vile hana ubunifu wa kutengeneza ajira
Ungesema hivi tu ingetosha she is zero brain of job creativity to the youth, yeye akili yake inawaza mitungi ya gesi, kuchekacheka, kudhamini mangumi, kulipia magoli ligi kuu, ila kutengeneza ajira kwa vijana aaha
 
Hakuna ubishi. Kila binadamu ana pande mbili. Anapendwa na kuchukiwa. Ana furahisha na kuudhi. Ana ubora na udhaifu. Anavutia na wakati mwingine kuudhi. Je kama utaulizwa ni kwanini unampenda au kutompenda rais Sa100 nini zitakuwa sababu? Je unapenda au kumponda na kwanini?
Sa100% hapendwi na kundi la walioamini ktk uwajibikaji na uzalendo, hasa kundi linaloamini Tanganyika siyo masikini bali ni tajiri wa resources etc. Hilo kundi linamchukia sana na hilo ndilo kundi kubwa. Hapo ana kazi ngumu kuwashawishi hilo kundi wamuelewe kuwa nchi yetu ni maskini yaani atumie kauli yake ya kuwa nchi yetu ni maskini inahitaji mikopo. Mi binafsi nampenda kwa sababu bora yeye ninayejua anamchukia na hakuwahi kumpenda Dkt Magufuli na chuki yake huwa anaionesha moja kwa moja bora aendelee na urais kuliko aje mwingine wa kimdharau Dkt Samia na kujifanya ka Dkt Magufuli wakati huo huo anataka kuwa kama mkali. Nadhani Sa100 aendelee tu.
 
Simpendi kwa vile hana ubunifu wa kutengeneza ajira hata za muda kwa kuajiri watu waliosoma kwenye tume ya uchaguzi, fisadi na muuza bandari na ngorongoro
Huko tutokako bandari iliuzwa ili ituingizie trilioni 22 tu kwa miaka yote 22 ya uwekezaji wa TICTS ?!!

Huko nyuma bandari hiyo iliuzwa ili ifanye kazi za kusuasua na kufikia baadhi ya nchi kututishia kuikimbia kwa sababu ya kukosa UBUNIFU na kasi ya maendeleo ya kisasa ?!!
 
Hakuna ubishi. Kila binadamu ana pande mbili. Anapendwa na kuchukiwa. Ana furahisha na kuudhi. Ana ubora na udhaifu. Anavutia na wakati mwingine kuudhi. Je kama utaulizwa ni kwanini unampenda au kutompenda rais Sa100 nini zitakuwa sababu? Je unapenda au kumponda na kwanini?
Hana uwezo wa kukuingizia taifa, chini ya uongozi wake majeshi yetu yanadhalilishwa Congo na Rwanda. Ameshindwa kumaliza tatizo la watu kutekwa, kuumizwa, kuuawa na vyombo vya ulinzi na Usalama.

Kauza bandari, ngorongoro ametimua wakazi Asili ili ardhi hiyo awape Waarabu
 
Amefeli sana, anafanya siasa za uoga, hajiamini, anataka kupendwa na kila mtu
Mama Samia simpendi kwa kutothamini rasilimali za nchi na kuwagawia wageni bila kujali maslahi ya nchi! Adan Group ni kampuni ya kihindi ambayo nchi nyingi ikiwemo Kenya wamesitisha mikataba nayo ya uwekezaji kwasababu ya kuhusika na rushwa lakini Samia ndio kwanza anawakumbatia na kuingia nao mikataba ya hovyo kuwekeza nchini!
Samia hana maamuzi makini kwasababu hajiamini ; kiongozi wa nchi huwezi kumuondoa mtu kwenye nafasi uliyomteua halafu Baada ya muda una mrudisha kwenye nafasi Kama ile uliyomuondoa! Huko ni kuonesha kukurupuka katika kutoa maamuzi.
Kwa kifupi Samia kwa nafasi hiyo hatoshi !I Ndio maana Kikwete ana take advantage ya kumyumbisha kwa kumpa ushauri mbovu.
Kujenga International airport ndani ya Serengeti ni uamuzi mbovu kiuchumi na kimazingira kwani kuna KIA just next door!! Hata hiyo KIA amewapa wajomba zake wa Oman.
 
Ni rais mzuri, ila mauaji na utekaji atambue MUNGU muumba wa mbingu na nchi anachukia sana.
 
KAma mwanafamu sina sababu ya kumchukia, lakini kwa matendo yake kadhaa, kwa kuyaweka kwa uzito, hakika amekuwa adui wa wanadamu wote wanaeelewa maana ya kuwa Mwanadamu:

1. Mauaji na utekaji wa watu wanaomkosoa na wanaoikosoa serikali yake. Mtu anayefurahia vifo vya binadamu wenzake kwa vile tu wanamkosoa, huyo siyo mwanadamu halisia.

2. Kukubali kuwa kibaraka wa maslahi ya waarabu dhidi ya watanganyika. Amewagawia waarabu njia kuu za uchumi, bandari, hifadhi za misitu, mbuga za wanyama, uwanja wa ndege wa KIA. Anataka kuwarudisha watanganyika kwenye utumwa wa mwarabu.
 
Back
Top Bottom