Katiba haileti ugali na kwani hayo uliyosema hayapo Kwa Sasa?
Katiba ni mfumo na nchi ni zaidi ya ugali. Hata Kenya wana ugali. Kenya, South Africa wakati wanarekebisha katiba yao walifanya kwasababu gani ? kwani wenyewe hawali ugali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba haileti ugali na kwani hayo uliyosema hayapo Kwa Sasa?
naongelea miradi unayo post bila sheria nzuri miradi hii itakuwa na wizi tu kama ilivyo sasa. Kila kitu ni sheria na sheria za Tanzania zimepitwa na wakati. Katiba imepitwa na wakati na CCM wenyewe wanakubali hilo.Mwigulu ametamkwa kwenye Katiba ipi kwamba anaweza kupanga mipango bila kuhojiwa?
Hivi wasanii wanapewa pesa je nyie machawa wa mitandao inakuwaje au wameona hoja zenu hazina mvuto. Tutawaombea sio vizuri mnafanya kazi ya uchawa mnatakiwa kulipwaMwigulu ametamkwa kwenye Katiba ipi kwamba anaweza kupanga mipango bila kuhojiwa?
Namshauri tu Mama SAMIA asome alama za nyakati. Ni Hilo tuHongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.
Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia kupata uzoefu wa kutosha chini ya Mzee Magufuli ninakuomba haya yafuatayo:
Kwanza, usiturudishe nyuma tena. Awamu ya tano imetuonyesha nini maana ya uhuru na kujitegemea. Tanzania haina mjomba wala shangazi huko nje. Maendeleo ya watanzania yataletwa na watanzania wenyewe. Jukumu lako ni kutupanga, kutuvuvia, kutushawishi na kutuonyesha kwa mfano wako wewe mwenyewe kwamba inawezekana, tunaweza, tusonge mbele.
Pili, Mzee Magufuli amefariki, lakini spirit yake inaishi. Ni askari aliyefia vitani akiwa mstari wa mbele, katika kupambania uhuru wetu na kujitegemea kwetu. Usije kufanya kosa kufanya mapungufu ya style ya Magufuli ya uongozi, iwe kigezo cha wewe kubadili uelekeo wa nchi yetu katika kujiamini na kuthubutu. Magufuli amefariki lakini kaacha alama na kaacha spirit. Wenye hiyo spirit wamo ndani ya chama tawala, vyama vya upinzani, serikalini, sekta binafsi, kwa wakulima na wafanyakazi. Hili ni jeshi kubwa sana, usicheze nalo.
Tatu, tutakusikiliza kwa umakini, tutakuangalia sana mienendo yako, tutatizama sana namna zako kama zinaturudisha nyuma au zinatupeleka mbele. Nisiseme sana katika hili, lakini itoshe tu kwamba spirit ya Mzee Magufuli inaishi. Tukiona tu dalili kwamba unakotupeleka siko hatutakuvumilia. Tushaonjeshwa uhuru hatutarudi tena kwenye utumwa. Tushaonjeshwa kujitegemea hatutarudi kwenye utegemezi tena.
Mwisho, Mungu akupe hekima ya kuongoza watu milioni 60 kwa akili na ujasiri. Ninaamini utatuvusha salama, karama ya uongozi unayo, itendee haki. Tegemea ushirikano wetu.
Pia soma: Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Sio anapenda ndo upepo alioambiwa akiendanao atakonga nyoyo za watu!, ile ni siasa na siasa ni sayansi shida inakuja ni sayansi ipi imetumika!Matukio ndio anapenda.
Waacheni chawa wawe chawa bahasha zina raha yake.
kwa mfano, eti atakuwa mgeni rasmi wa 'mashindano' ya kuhifadhi kuruani. Hilo shindano nalo ni la kumchosha rais kwenda huko wakati sheikh tu wa mkoa anaweza kuwa mgeni rasmi? Itifaki waangalie matukio yenye hadhi ya kuhudhuriwa na rais, sio kumpangiapangia tu matukio ya ajabuajabu yasiyo na tija kwa taifaHata ukiangalia tu Body Language yake kwa Jicho la Kinjagu (Kimosadi) utagundua kuwa anachoka na hapumziki vizuri.
Ninampenda Rais wangu kwa sababu ya mambo mengi ameifungua nchi kimataifa,ameendeleeza miradi mingi iliyoachwa na Magufuli hakika Samia apewe mitano tenaHakuna ubishi. Kila binadamu ana pande mbili. Anapendwa na kuchukiwa. Ana furahisha na kuudhi. Ana ubora na udhaifu. Anavutia na wakati mwingine kuudhi. Je kama utaulizwa ni kwanini unampenda au kutompenda rais Sa100 nini zitakuwa sababu? Je unapenda au kumponda na kwanini?
Amefeli sana, anafanya siasa za uoga, hajiamini, anataka kupendwa na kila mtuHakuna ubishi. Kila binadamu ana pande mbili. Anapendwa na kuchukiwa. Ana furahisha na kuudhi. Ana ubora na udhaifu. Anavutia na wakati mwingine kuudhi. Je kama utaulizwa ni kwanini unampenda au kutompenda rais Sa100 nini zitakuwa sababu? Je unapenda au kumponda na kwanini?