Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

๐—ฅ๐—ฎ๐—ถ๐˜€ ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—จ๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—บ๐—ถ ๐—•๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ณ๐˜‚ (๐˜พ๐™ง๐™š๐™–๐™ฉ๐™ž๐™ซ๐™š ๐™€๐™˜๐™ค๐™ฃ๐™ค๐™ข๐™ฎ).
๐™ฝ๐šŠ. ๐™ฐ๐š–๐š˜๐š— ๐™ฝ๐š๐šž๐š–๐šŠ .

Zamani za kale na hata sasa dhana ya Uchumi imekuwa ikijikita katika uzalishaji na uuzaji wa bidhaa na huduma ,kwamba chanzo kikuu cha uchumi ni bidhaa au huduma lakini katika ulimwengu wa sasa upo Uchumi Bunifu ( Creative Economy) uchumi ambao Ubunifu/kipaji ndio bidhaa inayouzwa,kuingiza pato na hata ajira kwa vijana wengi .

Uchumi Bunifu( Creative Economy) unahusisha Ubunifu kama bidhaa adhimu ya kutengeneza fursa,mapato na ajira katika Jamii ikihusisha Muziki,Filamu ,Fasihi pamoja na Sanaa nyengine ikiwemo Maonesho ,Uchoraji pamoja na Uchongaji .Aidha Uchumi Bunifu umekuwa ni mhimili muhimu na kutegemewa katika nyakati hizi za Teknolojia ya Habari (TEHAMA) pamoja na Tatizo la Ukosefu wa Ajira ulimwenguni kote ,kwani ni Sekta inayoweza kuhusisha na kutoa ajira kwa watu wengi zaidi.

Uchumi Bunifu unaajiri watu wengi ikiwemo Wasanii, Wapiga picha ,Wachoraji (Graphic Designer) ,Wachongaji ,Wanamitindo wa mavazi ,Madereva ,mameneja n.k .Kazi moja ya Sanaa inatoa ajira kwa watu wengi zaidi na mapato kwa msanii na Taifa kwa ujumla kupitia kodi ,hivyo Taifa lolote linalowekeza na kuinua sekta ya sanaa na Uchumi Bunifu inaandaa kesho njema ya Taifa hilo .

Tanzania tunapaswa kujivunia na kutambua mchango mkubwa wa Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan katika ukuzaji na uendelezaji wa Uchumi Bunifu katika Nchi yetu ambao utaleta maendeleo endelevu ya kiuchumi ,maendeleo ya jamii ,utunzaji wa utamaduni na ujumuishaji wa Jamii(Social Inclusion).

Kwanini Rais.Dkt.Samia Suluhu ni Championi katika Maendeleo ya Uchumi Bunifu Nchini ?, ni kama ifuatavyo kwa uchache ;-

๐”๐ฐ๐ž๐ณ๐ž๐ฌ๐ก๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Š๐ข๐Ÿ๐ž๐๐ก๐š ( Mikopo).
Fedha ni rasilimali muhimu katika uwekezaji wowote ule na chini ya Uongozi wa Dkt.Samia Suluhu wasanii wamepatiwa mikopo nafuu ili kuendeleza kazi zao na uchumi wao kwani wasanii wengi walikuwa wakikabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo matumizi ya vifaa duni na ukosefu wa mitaji katika kazi zao .

๐Œ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐จ ๐ง๐š ๐”๐ฐ๐ž๐ณ๐ž๐ฌ๐ก๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Š๐ข๐ญ๐š๐š๐ฅ๐š๐ฆ๐ฎ .
Chini ya Uongozi wa Mhe.Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan wasanii wamepata mafunzo ,semina na fursa ya kupata changamoto na kujifunza kutoka kwa wasanii wa Kimataifa katika sehemu mbalimbali Duniani.Mfano Wasanii wa Bongo Movie walipatiwa fursa ya kuenda kujifunza katika moja ya Studio kubwa ya Filamu Nchini Korea .

๐”๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Œ๐ข๐จ๐ง๐๐จ๐ฆ๐›๐ข๐ง๐ฎ ๐ฒ๐š ๐“๐„๐‡๐€๐Œ๐€ .Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ni mdau tegemezi katika Uchumi Bunifu kwani kazi za sanaa kwa kiasi kikubwa zinategemea matumizi ya Vifaa vya Elektonic na Programu Tumizi( Application) na Mhe.Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan ameweka nguvu kubwa katika usimikaji wa TEHAMA katika
Shule za Msingi ,Sekondari na Vyuoni ili kuwapa Wanafunzi na Vijana fursa ya kujifunza na kubobea katika matumizi ya TEHAMA na fani zao za Sanaa.

๐”๐ฅ๐ข๐ฉ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Œ๐ข๐ซ๐š๐›๐š๐ก๐š ๐ง๐š ๐‡๐š๐ค๐ข za ๐–๐š๐ฌ๐š๐ง๐ข๐ข.
Ili kuhakikisha kuwa Wabunifu( wasanii) wanakuwa kiuchumi na kukuza sekta ya Ubunifu ,Serikali chini ya Uongozi wa Mhe.Dkt.Samia kupitia Ofisi ya Hatimiliki Tanzania( COSOTA) imelipa Leseni na Mirabaha kwa wasanii kutokana na matumizi kazi za wasanii katika Taasisi mbalimbali za Umma ikiwemo TAA inayohusika na Viwanja vya Ndege ,zote hizi ni udhihirisho wa dhamira ya Mhe.Rais kuona sekta ya Uchumi Bunifu inakua .

๐Œ๐ข๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ง๐จ ,๐Œ๐š๐š๐๐ก๐ข๐ฆ๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐ง๐š ๐Œ๐š๐ญ๐š๐ฆ๐š๐ฌ๐ก๐š ๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข .
Pamoja na uwepo wa Mitandao ya Kijamii, Matamasha ni moja ya maeneo ambapo dhamira ya sanaa ya kuelimisha na kuburudisha jamii inafanyika ,Tamasha ni soko kwa Mbunifu pale mchoraji na mchongaji na msanii yeyote atauza bidhaa zake za kiubunifu atapata kipato ,serikali itapata pato na uchumi wa msanii na Taifa utakua .Kupitia mikutano mbalimbali ya Kimataifa iliyofanyika na inayofanyika nayo imekuwa fursa ya soko kwa wasanii kufanya biashara .Pongezi Mhe.Rais kwa kutekeleza Diplomasia ya Uchumi kwa kiwango cha kuridhisha .

1๐™๐™ž๐™ข๐™ค๐™ฉ๐™๐™š๐™ค 5:8 .
" Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini ".
Pongezi nyingi
๐™ˆ๐™๐™š.๐˜ฟ๐™ ๐™ฉ. ๐™Ž๐™–๐™ข๐™ž๐™– ๐™Ž๐™ช๐™ก๐™ช๐™๐™ช ๐™ƒ๐™–๐™จ๐™จ๐™–๐™ฃ ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwajali na kuwaendeleza Wasanii na Watanzania walioajiriwa katika sekta hii kubwa.Dhamira ni njema,matokea tunayaona ,matumaini ni makubwa zaidi siku za usoni kwa uwezo wa Mungu .


KaziIendelee
MitanoTena .
Wasanii wanachangia kiasi gani cha kodi katika uchumi wa Tanzania?
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
 
CCM imetengeneza chawa wapumbavu hadi mwenye akili timamu hawezi elewa, mnatengeneza machawa wasanii wasiojitambua wanaosubiri fadhila kutoka kwenye mamlaka halafu unatuambia uchumi bunifu?

Steven Nyerere a.k.a Steven Mengele na chawa wenzake wanaopewa nafasi ya kumsifia malkia nini tangible walichofanya kwenye uchumi wa nchi hii zaidi ya taasisi za kichawa eti mama mkanye mwanao na upuuzi mwingine?

Akina Diamond wakati wa mateso ya wasanii wenzake aliimba bora nikae kimya. Hawa ni wapumbavu wanaopewa upendeleo kwa pesa za watanzania kwa minajili ya uchawa wakati wa kampeni za uchaguzi za wizi. Period
 
๐—ฅ๐—ฎ๐—ถ๐˜€ ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—จ๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—บ๐—ถ ๐—•๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ณ๐˜‚ (๐˜พ๐™ง๐™š๐™–๐™ฉ๐™ž๐™ซ๐™š ๐™€๐™˜๐™ค๐™ฃ๐™ค๐™ข๐™ฎ).
๐™ฝ๐šŠ. ๐™ฐ๐š–๐š˜๐š— ๐™ฝ๐š๐šž๐š–๐šŠ .

Zamani za kale na hata sasa dhana ya Uchumi imekuwa ikijikita katika uzalishaji na uuzaji wa bidhaa na huduma ,kwamba chanzo kikuu cha uchumi ni bidhaa au huduma lakini katika ulimwengu wa sasa upo Uchumi Bunifu ( Creative Economy) uchumi ambao Ubunifu/kipaji ndio bidhaa inayouzwa,kuingiza pato na hata ajira kwa vijana wengi .

Uchumi Bunifu( Creative Economy) unahusisha Ubunifu kama bidhaa adhimu ya kutengeneza fursa,mapato na ajira katika Jamii ikihusisha Muziki,Filamu ,Fasihi pamoja na Sanaa nyengine ikiwemo Maonesho ,Uchoraji pamoja na Uchongaji .Aidha Uchumi Bunifu umekuwa ni mhimili muhimu na kutegemewa katika nyakati hizi za Teknolojia ya Habari (TEHAMA) pamoja na Tatizo la Ukosefu wa Ajira ulimwenguni kote ,kwani ni Sekta inayoweza kuhusisha na kutoa ajira kwa watu wengi zaidi.

Uchumi Bunifu unaajiri watu wengi ikiwemo Wasanii, Wapiga picha ,Wachoraji (Graphic Designer) ,Wachongaji ,Wanamitindo wa mavazi ,Madereva ,mameneja n.k .Kazi moja ya Sanaa inatoa ajira kwa watu wengi zaidi na mapato kwa msanii na Taifa kwa ujumla kupitia kodi ,hivyo Taifa lolote linalowekeza na kuinua sekta ya sanaa na Uchumi Bunifu inaandaa kesho njema ya Taifa hilo .

Tanzania tunapaswa kujivunia na kutambua mchango mkubwa wa Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan katika ukuzaji na uendelezaji wa Uchumi Bunifu katika Nchi yetu ambao utaleta maendeleo endelevu ya kiuchumi ,maendeleo ya jamii ,utunzaji wa utamaduni na ujumuishaji wa Jamii(Social Inclusion).

Kwanini Rais.Dkt.Samia Suluhu ni Championi katika Maendeleo ya Uchumi Bunifu Nchini ?, ni kama ifuatavyo kwa uchache ;-

๐”๐ฐ๐ž๐ณ๐ž๐ฌ๐ก๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Š๐ข๐Ÿ๐ž๐๐ก๐š ( Mikopo).
Fedha ni rasilimali muhimu katika uwekezaji wowote ule na chini ya Uongozi wa Dkt.Samia Suluhu wasanii wamepatiwa mikopo nafuu ili kuendeleza kazi zao na uchumi wao kwani wasanii wengi walikuwa wakikabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo matumizi ya vifaa duni na ukosefu wa mitaji katika kazi zao .

๐Œ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐จ ๐ง๐š ๐”๐ฐ๐ž๐ณ๐ž๐ฌ๐ก๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Š๐ข๐ญ๐š๐š๐ฅ๐š๐ฆ๐ฎ .
Chini ya Uongozi wa Mhe.Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan wasanii wamepata mafunzo ,semina na fursa ya kupata changamoto na kujifunza kutoka kwa wasanii wa Kimataifa katika sehemu mbalimbali Duniani.Mfano Wasanii wa Bongo Movie walipatiwa fursa ya kuenda kujifunza katika moja ya Studio kubwa ya Filamu Nchini Korea .

๐”๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Œ๐ข๐จ๐ง๐๐จ๐ฆ๐›๐ข๐ง๐ฎ ๐ฒ๐š ๐“๐„๐‡๐€๐Œ๐€ .Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ni mdau tegemezi katika Uchumi Bunifu kwani kazi za sanaa kwa kiasi kikubwa zinategemea matumizi ya Vifaa vya Elektonic na Programu Tumizi( Application) na Mhe.Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan ameweka nguvu kubwa katika usimikaji wa TEHAMA katika
Shule za Msingi ,Sekondari na Vyuoni ili kuwapa Wanafunzi na Vijana fursa ya kujifunza na kubobea katika matumizi ya TEHAMA na fani zao za Sanaa.

๐”๐ฅ๐ข๐ฉ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Œ๐ข๐ซ๐š๐›๐š๐ก๐š ๐ง๐š ๐‡๐š๐ค๐ข za ๐–๐š๐ฌ๐š๐ง๐ข๐ข.
Ili kuhakikisha kuwa Wabunifu( wasanii) wanakuwa kiuchumi na kukuza sekta ya Ubunifu ,Serikali chini ya Uongozi wa Mhe.Dkt.Samia kupitia Ofisi ya Hatimiliki Tanzania( COSOTA) imelipa Leseni na Mirabaha kwa wasanii kutokana na matumizi kazi za wasanii katika Taasisi mbalimbali za Umma ikiwemo TAA inayohusika na Viwanja vya Ndege ,zote hizi ni udhihirisho wa dhamira ya Mhe.Rais kuona sekta ya Uchumi Bunifu inakua .

๐Œ๐ข๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ง๐จ ,๐Œ๐š๐š๐๐ก๐ข๐ฆ๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐ง๐š ๐Œ๐š๐ญ๐š๐ฆ๐š๐ฌ๐ก๐š ๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข .
Pamoja na uwepo wa Mitandao ya Kijamii, Matamasha ni moja ya maeneo ambapo dhamira ya sanaa ya kuelimisha na kuburudisha jamii inafanyika ,Tamasha ni soko kwa Mbunifu pale mchoraji na mchongaji na msanii yeyote atauza bidhaa zake za kiubunifu atapata kipato ,serikali itapata pato na uchumi wa msanii na Taifa utakua .Kupitia mikutano mbalimbali ya Kimataifa iliyofanyika na inayofanyika nayo imekuwa fursa ya soko kwa wasanii kufanya biashara .Pongezi Mhe.Rais kwa kutekeleza Diplomasia ya Uchumi kwa kiwango cha kuridhisha .

1๐™๐™ž๐™ข๐™ค๐™ฉ๐™๐™š๐™ค 5:8 .
" Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini ".
Pongezi nyingi
๐™ˆ๐™๐™š.๐˜ฟ๐™ ๐™ฉ. ๐™Ž๐™–๐™ข๐™ž๐™– ๐™Ž๐™ช๐™ก๐™ช๐™๐™ช ๐™ƒ๐™–๐™จ๐™จ๐™–๐™ฃ ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwajali na kuwaendeleza Wasanii na Watanzania walioajiriwa katika sekta hii kubwa.Dhamira ni njema,matokea tunayaona ,matumaini ni makubwa zaidi siku za usoni kwa uwezo wa Mungu .


KaziIendelee
MitanoTena .
Mnazidi kumuangamiza kwa sifa za kijinga na za uongo usiovalishwa nguo
 
CCM imetengeneza chawa wapumbavu hadi mwenye akili timamu hawezi elewa, mnatengeneza machawa wasanii wasiojitambua wanaosubiri fadhila kutoka kwenye mamlaka halafu unatuambia uchumi bunifu?

Steven Nyerere a.k.a Steven Mengele na chawa wenzake wanaopewa nafasi ya kumsifia malkia nini tangible walichofanya kwenye uchumi wa nchi hii zaidi ya taasisi za kichawa eti mama mkanye mwanao na upuuzi mwingine?

Akina Diamond wakati wa mateso ya wasanii wenzake aliimba bora nikae kimya. Hawa ni wapumbavu wanaopewa upendeleo kwa pesa za watanzania kwa minajili ya uchawa wakati wa kampeni za uchaguzi za wizi. Period
Chawa na kazi ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1884864677408055360?t=HXfwf_nes6V9Q-yQGQGZTg&s=19
 
Japo amepita kwa kuungaunga kupeperusha bendera ya chama chake, kuna haja ya kumtathmini rais SSH.
Kwanza, hadi anapitishiwa kimizengwe, hakutaja hata sera moja anayolenga kuifanyia kazi.
Pili, hakutaja hata falsafa yake zaidi ya uchawa.
Tatu, hajaeleza mafanikio na maanguko yake.
Nne, kila kitu ni fichi.
Tano, hivyo, si vibaya tukaanza kumtathmini ili machawa au watu wake wamtaarifu kinachojili hapa ugani.
Naomba niwasilishe.
 
Back
Top Bottom