Chupid !!!!!Wewe unafikiri unaweza kuwa na amani ikiwa akiamua aivuruge nchi kisera? Hivi hujuwi kauli za Rais pamoja na sera zake zina nguvu sana yakuweza hata kuathiri maisha yako na uchumi wako?
Hiyo ndio furaha na raha waliyonayo Watu chini ya uongozi shupavu na madhubuti ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.watu wapo huru kuzungumza watakayo bila hofu.Rais wetu ameachia uhuru mkubwa sana.Aiseee nimechekaa sanaaa wakuu leo 😂😂😂😂watu mnahasiraa sanaa 😀
Huyu pimbi anazingua sanaAiseee nimechekaa sanaaa wakuu leo 😂😂😂😂watu mnahasiraa sanaa 😀
Uchaguzi ni Mwakani na Jemedari wetu hodari Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakwenda kupita na kushinda Uchaguzi kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzimaSema ameishikilia furaha yako. Unaongea kuhusu watanzania wewe kama nani? leteni polls ndio mtajua maoni ya watanzania yakoje.
Unataka kupigwa ban dogo?Huyu pimbi anazingua sana
Ndo amekutuma?Wewe unafikiri unaweza kuwa na amani ikiwa akiamua aivuruge nchi kisera? Hivi hujuwi kauli za Rais pamoja na sera zake zina nguvu sana yakuweza hata kuathiri maisha yako na uchumi wako?
Sijatumwa bali nimekuja kuwaleteeni ukweliNdo amekutuma?
Nikipigwa ban inanipunguzia nini na wewe unanufaikaje?Unataka kupigwa ban dogo?
Kwa mfano Hawa wana furaha gani?!Rais Samia ndiye ameshikilia furaha ya watanzania
"Wafu" unamaanisha watanzania mliopewa furaha na jemedari kipenzi chenu!!???Hiyo ndio furaha na raha waliyonayo Wafu chini ya uongozi shupavu na madhubuti ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.watu wapo huru kuzungumza watakayo bila hofu.Rais wetu ameachia uhuru mkubwa sana.
Inapunguza mimatusi yako na kujenga heshima ya jukwaa.maana mimatusi yako inakuwa haipendezi kwa watu wenye heshima na kujiheshimu.kumbuka ya kuwa jukwaa hili linatembelewa na watu wenye hadhi na heshima.kwa hiyo mimatusi yako inakuwa ni kushusha heshima ya jukwaa letuNikipigwa ban inanipunguzia nini na wewe unanufaikaje?
Lucas angalia unapoenda unaenda kukufuru hivi ni lini utakua na akili wewe kwenye uchaws pia haumo wewe ni bung'o weweNdugu zangu Watanzania,
Napenda tu mfahamu ya kuwa Mkuu wa Nchi au waweza kusema Rais wa Nchi anaweza kuwafanya wananchi na Taifa kwa ujumla kuwa na Furaha,amani na utulivu mioyoni Mwao.anaweza kuwafanya watu wakaishi pasipo hofu wala wasiwasi wala mawazo ya huzuni au Msongo wa Mawazo.
Matendo ya Rais ,kauli za Rais,sera za Rais,matamko ya Rais ni vitu vinavyoweza kuchochea hayo niliyoyaeleza hapo juu. Ni kauli za Rais zinaweza kujenga umoja wa kitaifa, mshikamano, upendo miongoni mwa wananchi na kwa upande Mwingine ni kauli hizohizo Za Rais zinaweza kuchochea na kujenga hali ya uhasama ,ubaguzi ,mpasuko katika Taifa,kuvunja umoja wa kitaifa na hata kujenga chuki katika mioyo ya watu.
Ni matendo ya Rais Pia yanaweza chochea umoja na mshikamano pamoja na imani ya wananchi kwa serikali yao ,taasisi za serikali na ofisi za umma.na ni matendo ya Rais yanaweza ondoa imani ya wananchi kwa serikali yao,taasisi zao na hata ofisi za umma pamoja na kuwa na chuki nazo.
Lakini pia sera za Rais zinaweza inua matumaini ya watu au kuwakatisha tamaa.zinaweza fanikisha ndoto za watu au kuzima ndoto za watu.ndio maana wengine hufikia hatua ya kutamani kiongozi fulani na utawala wake upite haraka ili wapate kupumua na kupata matumaini kiuchumi.ndio sababu wengine hupata sauti ya kumpinga kiongozi fulani na kumtaka ajiuzuru kwa sababu ya kukosa matumaini chini ya utawala wake.
Ukiangalia tangia kuingia madarakani kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan unaona namna alivyoinua matumaini ya watu,imani ya watu kwa serikali yao,kujenga umoja wa kitaifa, mshikamano na upendo miongoni mwa wananchi.amaeleta nuru na mwanga kwa maisha ya wengi,amechochea matumaini ya wengi kutimiza ndoto zao na kufikia malengo yao.
Rais Samia amewafanya Watanzania kuwa wenye furaha kutokana na kauli zake zenye kuhimiza umoja na mshikamano,kuhimiza na kutenda haki kwa vyombo vyote vya utoaji haki. Sera zake kiuchumi zimekuwa zenye kuleta matumaini makubwa sana.ndio sababu kila siku mitaani biashara mpya zinafunguliwa na kuongezeka kwa kasi.
Watanzania Tuna kila sababu ya kumshukuru sana Rais Samia kwa uongozi wake huu wenye kugusa maisha ya watu na kumfikia kila mmoja kwa kadri ya mahitaji yake na kiu yake.tuna kila sababu ya kumpa miaka mingine mitano Ya Urais kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.amani na furaha yetu vipo mikononi mwa Jemedari wetu Hodari Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.View attachment 3074324
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
INdugu zangu Watanzania,
Napenda tu mfahamu ya kuwa Mkuu wa Nchi au waweza kusema Rais wa Nchi anaweza kuwafanya wananchi na Taifa kwa ujumla kuwa na Furaha,amani na utulivu mioyoni Mwao.anaweza kuwafanya watu wakaishi pasipo hofu wala wasiwasi wala mawazo ya huzuni au Msongo wa Mawazo.
Matendo ya Rais ,kauli za Rais,sera za Rais,matamko ya Rais ni vitu vinavyoweza kuchochea hayo niliyoyaeleza hapo juu. Ni kauli za Rais zinaweza kujenga umoja wa kitaifa, mshikamano, upendo miongoni mwa wananchi na kwa upande Mwingine ni kauli hizohizo Za Rais zinaweza kuchochea na kujenga hali ya uhasama ,ubaguzi ,mpasuko katika Taifa,kuvunja umoja wa kitaifa na hata kujenga chuki katika mioyo ya watu.
Ni matendo ya Rais Pia yanaweza chochea umoja na mshikamano pamoja na imani ya wananchi kwa serikali yao ,taasisi za serikali na ofisi za umma.na ni matendo ya Rais yanaweza ondoa imani ya wananchi kwa serikali yao,taasisi zao na hata ofisi za umma pamoja na kuwa na chuki nazo.
Lakini pia sera za Rais zinaweza inua matumaini ya watu au kuwakatisha tamaa.zinaweza fanikisha ndoto za watu au kuzima ndoto za watu.ndio maana wengine hufikia hatua ya kutamani kiongozi fulani na utawala wake upite haraka ili wapate kupumua na kupata matumaini kiuchumi.ndio sababu wengine hupata sauti ya kumpinga kiongozi fulani na kumtaka ajiuzuru kwa sababu ya kukosa matumaini chini ya utawala wake.
Ukiangalia tangia kuingia madarakani kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan unaona namna alivyoinua matumaini ya watu,imani ya watu kwa serikali yao,kujenga umoja wa kitaifa, mshikamano na upendo miongoni mwa wananchi.amaeleta nuru na mwanga kwa maisha ya wengi,amechochea matumaini ya wengi kutimiza ndoto zao na kufikia malengo yao.
Rais Samia amewafanya Watanzania kuwa wenye furaha kutokana na kauli zake zenye kuhimiza umoja na mshikamano,kuhimiza na kutenda haki kwa vyombo vyote vya utoaji haki. Sera zake kiuchumi zimekuwa zenye kuleta matumaini makubwa sana.ndio sababu kila siku mitaani biashara mpya zinafunguliwa na kuongezeka kwa kasi.
Watanzania Tuna kila sababu ya kumshukuru sana Rais Samia kwa uongozi wake huu wenye kugusa maisha ya watu na kumfikia kila mmoja kwa kadri ya mahitaji yake na kiu yake.tuna kila sababu ya kumpa miaka mingine mitano Ya Urais kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.amani na furaha yetu vipo mikononi mwa Jemedari wetu Hodari Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.View attachment 3074324
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sijatukana mtu ila watu wapuuzi kama wewe nawapiga makwenzi maana ndiyo mnashusha hadhi ya JF kwa mada zenu za kifala.Inapunguza mimatusi yako na kujenga heshima ya jukwaa.maana mimatusi yako inakuwa haipendezi kwa watu wenye heshima na kujiheshimu.kumbuka ya kuwa jukwaa hili linatembelewa na watu wenye hadhi na heshima.kwa hiyo mimatusi yako inakuwa ni kushusha heshima ya jukwaa letu