MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Mkuu umeshasoma katiba inayotumika ya 1977 na ukaielewa na ile pendekezwa(rasimu ya katiba au proposed constitution) na ukaona iliyopo inashida gani au na we una muunga mkono Anti pasipo kujua.Mimi huwa unanikera sehemu moja tu! Kuleta mada zako katika mfumo wa vijembe na taarab nyingi!
By the way, ni mapema sana kutushawishi. Aturudishie kwanza Bungeni ule Mchakato wetu wa Katiba Mpya ili tuwe pamoja.
Kila rais na zama zake...tusifananishe.................Binafsi naanza kuona vijembe na mizaha jukwaani. Mara mwenye jinsia ya kike, Mara macho yamelegea, hii yote ya nini? Kweli hadi hapo bado unataka sifa za maumbile? Rais akumbuke kuna kundi pembeni linaangalia kama kabadilika tabia.
Tabia wanayoifahamu tangu akiwa waziri na baadaye Makamu wa Rais. Sasa kama kuna tabia hataziacha, huo ndo upenyo wa kuingilia kuharibu mambo. Tutaanza kuona tena nchi inaendeshwa kwa vimemo vya ikulu.
Mtangulizi alikomesha tabia fulani za mitaani kwa tabia yake ya kutotabilika. Dakika moja mzaha mara mtu katumbuliwa. Sasa huyu rais mpya akataposhindwa kuachana na tabia zake walizozizoea huko maofisini, itakuwa ni kuwaangusha akina mama wote wanaofuata nyayo. Asidhani hazitembei huku mitaani. Amepanda jukwaa, soon tutaanza kuambiwa hata yasiyofaa kwenye jamii hii yenye masculinity.
Kasi ya usaliti kwa marehemu Jiwe imekuwa kubwa hata wewe ? Unakosoa utawala wa malaika mkuu .Huwezi toa hutuba umenuna tuu muda wote utawachosha wanaokusikiliza,kwani sio kweli maumbile yake ni kike je macho yake hayajalegea utani uko wapi!
Society inasemaje? Usitunge taratibu za society kwa karatasi na kalamuAkifanya mwanaume sawa....
Leo anafanya mwanamke tena kwa udogo tu... kelele zinaanza.
Ni kweli lakini Jiwe alikuwa na kauli za hovyo sana,Ccm ni wale wale
Pole sana mkuu, asavari leo NDIYO MWISHO, sasa tbccm wasije wakaendeleza ujinga wao.Nilichoka kusikia nyimbo za maombolezo mpaka usiku nikawa naota,.[emoji19]
tulia wewe...wakati huo yeye ndio atakuwa mwenyekiti wa chama na chama kitampitisha kwa kishindo..sisi watanzania tunataka mama aendelee kutuongoza.Sio masihara nimemwelewa sana huyu mama, sema namuonea huruma 2025 haezi penya chamani tena
Kwanza nsha'ighari mimi hiyo tvt ya zamani,.Pole sana mkuu, asavari leo NDIYO MWISHO, sasa tbccm wasije wakaendeleza ujinga wao.
Asili ya mtu kuibadili ni kaziNi kweli lakini Jiwe alikuwa na kauli za hovyo sana,
Ni muwazi,ni Mwanamke,ni Mzanzibari anapenyajeKwa nini?
Nipeleke polisi basi kama nimevunja SheriaTafadhali kuwa na heshima yule ni Rais wa Tanzania.
Ingekuwa mama yako ungefurahia kuambiwa hivyo?
Uhuru wa kusema usizidi mipaka na kukiuka heshima na tamaduni zetu.
Mzee magufuli kuna siku alisema kuhusu upara wake akiwa jukwaani kwamba upara wake sijui umefanyaje nimesahau.Binafsi naanza kuona vijembe na mizaha jukwaani. Mara mwenye jinsia ya kike, Mara macho yamelegea, hii yote ya nini? Kweli hadi hapo bado unataka sifa za maumbile? Rais akumbuke kuna kundi pembeni linaangalia kama kabadilika tabia.
Tabia wanayoifahamu tangu akiwa waziri na baadaye Makamu wa Rais. Sasa kama kuna tabia hataziacha, huo ndo upenyo wa kuingilia kuharibu mambo. Tutaanza kuona tena nchi inaendeshwa kwa vimemo vya ikulu.
Mtangulizi alikomesha tabia fulani za mitaani kwa tabia yake ya kutotabilika. Dakika moja mzaha mara mtu katumbuliwa. Sasa huyu rais mpya akataposhindwa kuachana na tabia zake walizozizoea huko maofisini, itakuwa ni kuwaangusha akina mama wote wanaofuata nyayo. Asidhani hazitembei huku mitaani. Amepanda jukwaa, soon tutaanza kuambiwa hata yasiyofaa kwenye jamii hii yenye masculinity.
Usaliti upo wapi?!Kasi ya usaliti kwa marehemu Jiwe imekuwa kubwa hata wewe ? Unakosoa utawala wa malaika mkuu .
Mkopo sio lazima pia sheria za mkopo zinataka ukopeshe mtu uliye na uhakika atarejesha(4) TANGAZA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWA WANAFUNZI WOTE WENYE SIFA IWE NI LAZIMA KUPATA MIKOPO HIYO