Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Haya wanaosema magufuli aendelee kutawala miaka 20 mikono juu...........wanaosema asiendele kutawala mikono juu.....OK MIMI KAMA SPIKA NASEMA WALE WOTE WALIOSEMA AENDELEE KUTAWALA WAMESHINDA

Pa!Pa !Pa! Pa! Pah!
 
Nawaomba kwa heshima na utii Waziri mkuu Bwana Majaliwa K Majaliwa na Magufuli washike nao baadhi ya Wizara wao wenyewe kama rais WA Nigeria alivyo kaba koo wizara ya Mafuta. Magufuli aongoze Wizara ya Fedha, Majaliwa ashike Tamisemi hizi Wizara ni muhimu sana kwa uchumu WA nchi hii. Zimepungukiwa viongozi makini japo Mwigulu alithubutu. Ni MAWAZO YANGU kama siko sahihi nisamehewe bure.
 
Inaweza kuwa non sense lakini,
Katika kashafa kubwa za ubadhirifu wa fedha za umma nitaje EPA (na vizaliwa vyake) ,Escrow na hating chafu za mashirika na halmashauri za umma-- -naonekana mamlaka ya juu ya nchi ilisemekana kuhusika kwenye uidhinishwaji wa ukwapuaji.
BoT na sasa mabenki mengine chini yake zimehusika kutoa, kupitisha na kufaidika na biashara hizi zizizo njema.
Sasa hivi tunaona upotevu wa fedha pia katika hatua za awali kabisa za ukusanyaji wa KODI TRA na hatua zinazochukuliwa.
Magufuli asimamie fedha za. Nchi hii ni nyingi Hata kama atawaamini watu ila si kwa hili.
 
Shirika la reli ya kati TRL watu wanafanya kazi kwa mazoea elimu hawana,wamewekana ndugu tu asilimia 99,hali hiyo imepelekea watu kupoteza ufanisi na weledi katika kufanya kazi.TRL wameigeuza shamba la bibi wanaiba hela tu.

Sasa ni muda mwafaka Magufuli alifanyie kazi shirika hili ili kuharakisha ukuwaji wa viwanda,sababu bidhaa zote za kutoka na kuelekea mikoa ya kanda ya ziwa itabidi zibebwe na train.

Hapa kazi tu.
 
Uko sawa ila ikiwa wao 2 wameweza ongoza nchi bila mawaziri basi ni bora waongezewe majukumuwakurugenzi,wakuu wa majeshi wafanye kazi na makatibu wakuu tuwaondoe mawaziri na manaibu
 
bukoba boy, sijui mawazo haya umeyatoa wapi! Suala la muhula wa uongozi ni la kikatiba (constitutional tenure) na kulivunja tayari kunamuondoa kiongozi kwenye orodha ya viongozi bora wanaozingatia utawala wa kisheria.

Hakuna excuse yeyote ya kumbakisha madarakani kiongozi. Kiongozi mzuri siku zote huacha nyuma yake kopi ya mtu wa aina yake ili kuendeleza legacy yake.

Kiongozi hana haja ya kuongoza milele kama mtawala, miaka michache inamtosha kuzalisha watu wa aina yake through inspiration.
 
Last edited by a moderator:
MH DK KATIKA KUKAGUA KAGUA EMBU NJOONI HUKU NJIA KWENSA KWA MAMA RWAKATARE KANIDANI AMA KUJA KOKAKOLA KUNA YADI NIMEKUWA NIKIKUTANA NA MALORI SAA NANE MPAKA TISA. USIkU YANAINGIZA KONTENA NAJUA YA NAN USIHOFU MOTOWAKO AUWEZI KUMWACHA HUYU
 

Ila wamarekani weusi watakwambia "term limits".Term limits are only possible when there are guidelines put in place to adhere to regardless of who is reigning.

Constitutional tenure is white bullshit.kama mtu anapiga kazi afanye kazi milele na milele kuliko eti kubadilisha kwa madhumuni ya kubadilisha sababu unahitaji kubadilisha.
 
Last edited by a moderator:

Usitake tuwaige tu wamarekani ,wao wanazo nguzo zimewekwa za taifa hata aje nani zinabaki vilevile,wakati huku kwetu kila mtu akiingia anaingia na mambo yake.mfano utofauti uliojitokeza kati ya Mkapa na Kikwete.Mpaka watu wakasema bora angeendelea Mkapa.
 
Last edited by a moderator:
Maana kuna watu walijiita akina Sokoine kipidi cha mchakto wa ndani wa CCM. Na kwa tetesi Dr JPM anawafanyia uchunguzu kuhakikisha wateule wake hawana makando kando. Je wafuatao wakikosa U/Naibu waziri ni mafisadi?
  1. Mwigulu (huyu alijiita ni mtakatifu a.k.a Sokoini)
  2. Kigwangala
  3. January
  4. Mwakyembe
  5. Sitta
  6. Wasira
  7. Saada Mkuya
  8. Lazaro
  9. .....
Je watakuwa kweli mafisadi?
 
Kitu kimoja tu kitaiendeleza Tanzania: discipline (nidhamu). Nchi, na hata mtu binafsi, kama hana nidhamu haendelei. Tanzania imekuwa nchi ovyo sana katika hili. Kama katika miaka mitano JP ataweza tu kurudisha nidhamu, bila uonevu, hilo litanitosha mimi. Nidhamu inamaanisha mambo mengi sana: Watu kuheshimu utawala wa sheria, kuheshimu utaratibu (hata kupanga foleni kungojea gari badala ya kusukumana kama mbuzi). Watanzania pia hawana nidhamu katika kuzungumza, hasa Dar. maneno ya kihuni huni, matusi ya ovyo ovyo nk.
Nidhamu pia katika kuvaa, usafi wa mtu binafsi. Ingia Daladala usikie watu wanavyonuka jasho la kwapa! aakh kuishi Tanzanini ni vita kila siku!
 

Sio lazima wawe mafisadi ndo waachwe, wanaweza kuachwa kwa sababu huenda wasiendane na kasi ya JPM.
 
Sasa mnampa Raisi kazi zisizo muhusu, mtesema apite nyumba kwa nyumba kuangalia waume wanaochelewa kurudi nyumbani usiku.

Itakuwa vizurii sana maana mmeezidi mno kuwadanganya wake zenu si mbaya akalikomesha
 
Magufuli kaanza kutumbua majipu Kwa kasi ya ajabu, ni jipu gani unaona kabisa halitumbuliki, au hatakaza mikono, na uso Wakati Wa kulitumbua?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…