Acha wivu we punguani kila jina la mchagga likitajwa tu lazima kuna assumption zinaibuka na viulizo why not other muache wivu wa kipumbavu kwa watu waliowazidi najua hata kama angependekezwa Mwingine unpopular lakini ana jina la kichagga mngepinga tu.
Una evidence? Au CV yako haijitoshelezi, embu nikumbushe Kimei mchagga wa wapi? Hivi kila mzaliwa wa Dar ni mzaramo?
Rekebisha kwanza jina, ni Magufuli na siyo Magifuli, pia mpe hishima yake, jina lianze na Dr. au uweke PhD baada ya jina, huyo aliisotea shule hiyo title siyo sawa ma zile za kugawiwa