Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Ni maoni YANGU kama mdau WA ELIMU pia katiba ya nchi 1977 ibara ya 18(a) inaniruhusu kutoa MAWAZO YANGU KWA rais wangu. Wizara ya ELIMU inahitaji MTU aliye makini na msomi, pia awe angalau anafahamu changamoto zake.

Kwa heshima na utii ningeomba umrejeshe Mama Ndalichako ama awe katibu mkuu WA Wizara ya ELIMU au umpe UBUNGE kisha awe waziri WA ELIMU.

Wizara ya fedha ukamate mwenyewe, waziri mkuu akamate Utalii, nchi itatoka hapa tulipo.
 

Yap kwenye Elimu Dr. Joyce Ndalichako ni " Messi wa Elimu". Lakini kuhusu utalii na Fedha wapo wataalam wengi sana.
Rais usikubali kukaba Wizara "Checks and balance" hairuhusu.

Magufuli amesomea "Kemia" fedha waachie wataalam, wasimamie tu.

Waziri Mkuu "Utalii" hajui tafuta mtaalam, kisha msimamie balabala
 

Hatutaki wabaguzi wa kiimani serkalini! Huyu mama alitolewa kwa sababu za kubagua wanafunzi wa kiislam kwenye usahihishaji mitihani ya taifa. Hatutaki,taifa limejaa wasomi wengi wenye weledi hatutaki wabaguzi.
 
Hatutaki wabaguzi wa kiimani serkalini! Huyu mama alitolewa kwa sababu za kubagua wanafunzi wa kiislam kwenye usahihishaji mitihani ya taifa. Hatutaki,taifa limejaa wasomi wengi wenye weledi hatutaki wabaguzi.

siyo kweli uyu mama akukubali upuuzi wa kualibu elimu akaamua akae pembeni
 
Hatutaki wabaguzi wa kiimani serkalini! Huyu mama alitolewa kwa sababu za kubagua wanafunzi wa kiislam kwenye usahihishaji mitihani ya taifa. Hatutaki,taifa limejaa wasomi wengi wenye weledi hatutaki wabaguzi.
najua anajua ndalichako kupindisha pindisha maneno hawezi. Ila amlete uone kama Yule first class PhD atataka ujinga ujinga kama ule wa pale alipotolewa unavyoendelea. Kheri abaki na hawa Maji Mara moja kuliko kuleta mamaaa Joyce!! Wacha maneno ataleta figisu figusu kwenye elimu mpaka mambo yatakaa sawa.
 

Hapo Umeona Kwa Jicho La Kinabii, Elimu Itakuwa Bora, Mama Yupo Makini Sana Tena Ampe Uwaziri Wenyewe
 
Huyo NECTA ilimshinda...ataiweza wizara? Tutolee utani hapa.
 
Waislam tutajuta umesahau yale matokeo ya mtihani ule alitufanya mini?
 
Ndalichako ni jembe sana anafaa..lakini ccm watakushangaza maana wana akina mulugo wengi sana yaani wana kiwanda chao
 
Huyu mama alinifanyia mbaya 2012 lakini sijali daima namuona kuwa ndiye iron lady wa bongo hakunaga shujaa mpambanaji wa Elimu kama huyu!
Magufuli kama unasoma maoni hili jema lipokee!
watu wa karibu na magufuli mkamwambie kuwa wizara ya elimu inahitaji moyo wa chuma
 
Masikin huy mama yupo WAP sik izi nikionapo Chet Chang cha 4 namkumbuka sana sijui kapotelea wapi jaman
 
mkuu si mbaya ukarekebisha pale juu pasomeke katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 ibara ya 18(a)
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…