Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Ukivua baibui utamvulia kofia
Kama unamkubali wewe basi unataka Dr.Magufuli ampe uwaziri?Huyu mama namkubali sana
Ni maoni YANGU kama mdau WA ELIMU pia katiba ya nchi 1977 ibara ya 18(a) inaniruhusu kutoa MAWAZO YANGU KWA rais wangu. Wizara ya ELIMU inahitaji MTU aliye makini na msomi, pia awe angalau anafahamu changamoto zake.
Kwa heshima na utii ningeomba umrejeshe Mama Ndalichako ama awe katibu mkuu WA Wizara ya ELIMU au umpe UBUNGE kisha awe waziri WA ELIMU.
Wizara ya fedha ukamate mwenyewe, waziri mkuu akamate Utalii, nchi itatoka hapa tulipo.
Kama kuna jamaa aliniambia ni Mburundi?
Jibu alilitoa Waziri wa Elimu Mh. Shukuru Kawambwa. Soma hapa kisha rudi tujadili...
hivi vipande vyako havina mashiko angalia miaka wewe acha kubwabwaja,kama umempenda ishi nae lakini uwaziri hapati uonevu wake akaufanye kwa watoto wake silishwi wala sitegemei kulishwa ukweli naujua na unachofanya wewe ni porojo tumekatwa sana kisa naitwa ally,hassan.
kwa nini agawanye kwa tatu badala ya mbili matokeo ya islamic knowlegde?..akadai ni tatizo la kiufundi japo ilitokea kwa somo hilo tu,mengine ni sarakasi za kisiasa tu
Shida yako wewe huleti hivyo vipande vyenye mashiko, unaishia kusema mambo bila ushahidi.hivi vipande vyako havina mashiko angalia miaka wewe acha kubwabwaja,kama umempenda ishi nae lakini uwaziri hapati uonevu wake akaufanye kwa watoto wake silishwi wala sitegemei kulishwa ukweli naujua na unachofanya wewe ni porojo tumekatwa sana kisa naitwa ally,hassan.
kwa nini agawanye kwa tatu badala ya mbili matokeo ya islamic knowlegde?..akadai ni tatizo la kiufundi japo ilitokea kwa somo hilo tu,mengine ni sarakasi za kisiasa tu
Yaani wewe una F ya math na Biology unasema umefelishwa somo la dini..!?
ndalichako mswahili ametoka sasa rudi uchape kazi
Swali lako analijibu Waziri mwenyewe. Soma tamko hili la Waziri wa Elimu Mh. Shukuru Kawambwa, na yeye sijui alikuwa anadhulumu Waislamu???!!!.
Ukishasoma, kama umeelewa vizuri, rudi hapa tuendelee kujadili.
Hatutaki wabaguzi wa kiimani serkalini! Huyu mama alitolewa kwa sababu za kubagua wanafunzi wa kiislam kwenye usahihishaji mitihani ya taifa. Hatutaki,taifa limejaa wasomi wengi wenye weledi hatutaki wabaguzi.
Mbona hayo yote kaeleza Kawambwa vizuri sana? Maelezo ya Ustaadh Kawambwa unayaita Blabla?kisha kwa nini waligawanya kwa mbili baada ya malalamiko?..siwezi kusoma blablah hzo
Viongozi wa Baraza la Wakuu wa Shule za Kiislamu waliridhika na hatua zilizochukuliwa na Wizara na wameandika barua ya kuishukuru Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuhusu namna walivyoshughulikia malalamiko yao.-Tamko la Kawambwa
hivi vipande vyako havina mashiko angalia miaka wewe acha kubwabwaja,kama umempenda ishi nae lakini uwaziri hapati uonevu wake akaufanye kwa watoto wake silishwi wala sitegemei kulishwa ukweli naujua na unachofanya wewe ni porojo tumekatwa sana kisa naitwa ally,hassan.