Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Shikamoo Magufuli,

Mhe sina shaka na utendaji wako ; kwani ni urithi kutoka kwa Baba yako. Naongea hili nikitambua Baba'ko alikuwa Mwenyekiti wa shule Rubabangwe alikuwa na msimamo kwenye mambo ya Msingi.

Nakumbuka Marehemu Baba yangu Mwalimu Borakupata akiwa Mwalimu Mkuu alimfukuza Kazi ya ualimu na utumishi wa umma kwa Kosa la kuacha shule kipindi kirefu akichana mbao polini, alimpa onyo lakini mzee wangu akusikiliza na ilikuja tume na kumfukuza kazi na kupewa adhabu ya kulipa mshahara wa miezi 3, kwa kosa la utoro.

Ingawa Baba ako alitaka kukuachisha shule kwa kumuonga Mzee wangu Mbuzi kutokana na tabia na usikivu wako ; uwe unachunga mbuzi na ngombe mzee wangu alikataa rushwa ya Mbuzi na kumpa onyo kali.

Kuhusu suala la Nyumba za nyasi ni rahisi kuziondoa Chato, Mganza , Buziku na Tanzania nzima kwa miaka 2. Inawezekana kama ukiendeleza msimamo wako na kufanya maamuzi magumu na bora kama urithi kutoka kwa Marehemu Babako.

Machine za mabati zipo na zinatengenezeka na zinaajiri watu wengi , na kutokana na kuwa na viwanda vingi vya Cement ni wakati wa kuleta mashine hizo ambazo bei yake ni ndogo sana.

BEI ZA MACHINE ZA KUTENGENEZA MABATI

C40 NI DOLLAR 1300/= NI TSH 2,600,000
768 NI DOLLAR 12,500/= NI Tsh 25,000,000
LM 910 NI DOLLAR 16,000/= NI TSH 32,000,000
LM 1080 NI DOLLAR 12,000/=
NI TSH 24,000,000

BEI AMBAYO SIJAPATA NI ROLLER SHEET-

UKIAMBIA KILA HALMASHAURI ITENGE PESA HIZO ; UAIGE KWA PAMOJA , UTAPUNGUZIWA BEI , NA HALMASHAURI NYINGI ZITAMUDU MASHINE , HIZO.

MATENGENEZO YASIMAMIWE NA SIDO NA WABUNGE WAKABIDHIWE
.
ni miaka miwili tu nchi nzima itakuwa na nyumba za Bati.


1085-steel-plate-of-glazed-tile-roll.jpg_220x220.jpg
automatic-steel-cladding-roll-forming-machine-for.jpg_220x220.jpg
slanting-circular-arc-glazed-tile-rolling-products.jpg_220x220.jpg

1110-slanting-arc-steel-sheet-roll-forming.jpg_220x220.jpg

HTB1ITBvHXXXXXc.XVXXq6xXFXXXu.jpg


KWA MAWASILIANO WASILIANA NAO:
ANGELA Sheng; toya5@chinaformingmachine.com
Mob: 0086-13643264332


Cc; Waziri wa Wiwanda - Charles Mwijange
Wajasiriamali wote
 
Hivi inashindikana nini kwenda kwenye point moja kwa moja bila utangulizi mreeefu wa kujisifia...!? Au ndiyo jadi ya watu wa Chato.. Loh..
Ushauri mzuri lakini.
 
Kwa nini wasibomolewe tu? NEMC wazibomoe tu, maana hakuna namna
 
Hivi bado bei za vifaa vya ujenzi hazijashuka? Mi nasubiri zishuke ndo nianze ujenzi
 
Hivi inashindikana nini kwenda kwenye point moja kwa moja bila utangulizi mreeefu wa kujisifia...!? Au ndiyo jadi ya watu wa Chato.. Loh..
Ushauri mzuri lakini.
sorry nilionyesha historia ya msimamo wake;
 
Tatizo kubwa la Tanzania ni viongozi wa serikali kuwa mawakala wa magabacholi, fikra za kitumwa kwamba wananchi wao hawawezi na mengine yanayofanana na hayo.
Kama mheshimiwa Rais akipambana na hayo, maendeleo kwa ujumla yatapatikana tu!
 
Shikamoo Magufuli,

Mhe sina shaka na utendaji wako ; kwani ni urithi kutoka kwa Baba yako. Naongea hili nikitambua Baba'ko alikuwa Mwenyekiti wa shule Rubabangwe alikuwa na msimamo kwenye mambo ya Msingi.

Nakumbuka Marehemu Baba yangu Mwalimu Borakupata akiwa Mwalimu Mkuu alimfukuza Kazi ya ualimu na utumishi wa umma kwa Kosa la kuacha shule kipindi kirefu akichana mbao polini, alimpa onyo lakini mzee wangu akusikiliza na ilikuja tume na kumfukuza kazi na kupewa adhabu ya kulipa mshahara wa miezi 3, kwa kosa la utoro.

Ingawa Baba ako alitaka kukuachisha shule kwa kumuonga Mzee wangu Mbuzi kutokana na tabia na usikivu wako ; uwe unachunga mbuzi na ngombe mzee wangu alikataa rushwa ya Mbuzi na kumpa onyo kali.

Kuhusu suala la Nyumba za nyasi ni rahisi kuziondoa Chato, Mganza , Buziku na Tanzania nzima kwa miaka 2. Inawezekana kama ukiendeleza msimamo wako na kufanya maamuzi magumu na bora kama urithi kutoka kwa Marehemu Babako.

Machine za mabati zipo na zinatengenezeka na zinaajiri watu wengi , na kutokana na kuwa na viwanda vingi vya Cement ni wakati wa kuleta mashine hizo ambazo bei yake ni ndogo sana.



Kabla hamjaanza kuota ndoto zenu,mwambieni awasitiri wanaCCM kindakindaki wa Dodoma wanaohatarisha maisha ya ndege kwa kuwalia chakula chao-viwavi jeshi.Wanaloweza kulisimamia CCM tena kwa ghalama yoyote ni Rushwa ya uchaguzi tu,wakati wa kampeni wanauwezo wa kuwasafirisha watu kwa maelfu,kuwahonga T-shirts,chumvi,kofia na kanga.wanaweza kuwanunua wasanii kwa 50,000,000/ kila mmoja.

Hiyo shule yenyewe unayoitolea mfano,watoto hawana kucha vidoleni kutokana na kujikwaa kwenye mawe yaliyotapakaa eneo lote la shule.
 
Kwa nini wasibomolewe tu? NEMC wazibomoe tu, maana hakuna namna
Mkuu japo umeongea kama masikhara lakini inawezekana tu wakaitolea amri kuwa hadi ifikapo mwaka fulani pasiwe na nyumba za nyasi na ikiwepo itabomolewa,afadhali iwe chini udongo lakini juu umepiga bati.
 
Si kila anayekuchekea anakutakia mema,wengine wanafanya kila wawezalo ili kukuharibia ili mwisho wa siku uonekane umeshindwa.

Mgogoro wa Zanzibar,maandamano ya wale vijana waliobeba mabango (placards) yenye kubeba ujumbe wa kibaguzi (racist remarks) na hii bomoa bomoa holela sidhani kama yanatokea kwa bahati mbaya.

Kuwa makini na haya mambo rais wetu, najua unawapenda Watz na umedhamiria kuwafanyia mambo mazuri sana.Kila la kheri!
 
Last edited by a moderator:
HHuu mtanziko wa kisiasa Zanzibar unamharibiavilivyo Mh JPM... Na asipokuwa makini kwenye utatuzi wake na yeye atapotea.o
 
Hilo bomu amefungiwa kwa makusudi na wasiomtakia mema,wapo pembeni kimya wanatabasamu tu, asipobeba ujasiri wa kufanya maamuzi yatakayoenda kinyume na msimamo wa chake basi urais wake waweza kuingia dosari mapema kabisa,he has to take a leaf from Jaji Warioba and his constitution review issue, or else....
HHuu mtanziko wa kisiasa Zanzibar unamharibiavilivyo Mh JPM... Na asipokuwa makini kwenye utatuzi wake na yeye atapotea.o
 
Shikamoo Magufuli,

Mhe sina shaka na utendaji wako ; kwani ni urithi kutoka kwa Baba yako. Naongea hili nikitambua Baba'ko alikuwa Mwenyekiti wa shule Rubabangwe alikuwa na msimamo kwenye mambo ya Msingi.

Nakumbuka Marehemu Baba yangu Mwalimu Borakupata akiwa Mwalimu Mkuu alimfukuza Kazi ya ualimu na utumishi wa umma kwa Kosa la kuacha shule kipindi kirefu akichana mbao polini, alimpa onyo lakini mzee wangu akusikiliza na ilikuja tume na kumfukuza kazi na kupewa adhabu ya kulipa mshahara wa miezi 3, kwa kosa la utoro.

Ingawa Baba ako alitaka kukuachisha shule kwa kumuonga Mzee wangu Mbuzi kutokana na tabia na usikivu wako ; uwe unachunga mbuzi na ngombe mzee wangu alikataa rushwa ya Mbuzi na kumpa onyo kali.

Kuhusu suala la Nyumba za nyasi ni rahisi kuziondoa Chato, Mganza , Buziku na Tanzania nzima kwa miaka 2. Inawezekana kama ukiendeleza msimamo wako na kufanya maamuzi magumu na bora kama urithi kutoka kwa Marehemu Babako.

Machine za mabati zipo na zinatengenezeka na zinaajiri watu wengi , na kutokana na kuwa na viwanda vingi vya Cement ni wakati wa kuleta mashine hizo ambazo bei yake ni ndogo sana.
siku akianza kuvurunda umsifie hivyo hivyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom