Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,227
mngu akusamehe aise
haahahhaah...ustaadhi mwenzi mtukufu wa Ramadhani ile kitu hua nakosa wateja kabisa......tunaomba mheshimiwa rais atutatulie hii kero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mngu akusamehe aise
BEI ZA MACHINE ZA KUTENGENEZA MABATI
C40 NI DOLLAR 1300/= NI TSH 2,600,000
768 NI DOLLAR 12,500/= NI Tsh 25,000,000
LM 910 NI DOLLAR 16,000/= NI TSH 32,000,000
LM 1080 NI DOLLAR 12,000/= NI TSH 24,000,000
BEI AMBAYO SIJAPATA NI ROLLER SHEET-
UKIAMBIA KILA HALMASHAURI ITENGE PESA HIZO ; UAIGE KWA PAMOJA , UTAPUNGUZIWA BEI , NA HALMASHAURI NYINGI ZITAMUDU MASHINE , HIZO.
MATENGENEZO YASIMAMIWE NA SIDO NA WABUNGE WAKABIDHIWE .
ni miaka miwili tu nchi nzima itakuwa na nyumba za Bati.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
KWA MAWASILIANO WASILIANA NAO:
ANGELA Sheng; toya5@chinaformingmachine.com
Mob: 0086-13643264332
Cc; Waziri wa Wiwanda - Charles Mwijange
Wajasiriamali wote
sorry nilionyesha historia ya msimamo wake;Hivi inashindikana nini kwenda kwenye point moja kwa moja bila utangulizi mreeefu wa kujisifia...!? Au ndiyo jadi ya watu wa Chato.. Loh..
Ushauri mzuri lakini.
Shikamoo Magufuli,
Mhe sina shaka na utendaji wako ; kwani ni urithi kutoka kwa Baba yako. Naongea hili nikitambua Baba'ko alikuwa Mwenyekiti wa shule Rubabangwe alikuwa na msimamo kwenye mambo ya Msingi.
Nakumbuka Marehemu Baba yangu Mwalimu Borakupata akiwa Mwalimu Mkuu alimfukuza Kazi ya ualimu na utumishi wa umma kwa Kosa la kuacha shule kipindi kirefu akichana mbao polini, alimpa onyo lakini mzee wangu akusikiliza na ilikuja tume na kumfukuza kazi na kupewa adhabu ya kulipa mshahara wa miezi 3, kwa kosa la utoro.
Ingawa Baba ako alitaka kukuachisha shule kwa kumuonga Mzee wangu Mbuzi kutokana na tabia na usikivu wako ; uwe unachunga mbuzi na ngombe mzee wangu alikataa rushwa ya Mbuzi na kumpa onyo kali.
Kuhusu suala la Nyumba za nyasi ni rahisi kuziondoa Chato, Mganza , Buziku na Tanzania nzima kwa miaka 2. Inawezekana kama ukiendeleza msimamo wako na kufanya maamuzi magumu na bora kama urithi kutoka kwa Marehemu Babako.
Machine za mabati zipo na zinatengenezeka na zinaajiri watu wengi , na kutokana na kuwa na viwanda vingi vya Cement ni wakati wa kuleta mashine hizo ambazo bei yake ni ndogo sana.
Mkuu japo umeongea kama masikhara lakini inawezekana tu wakaitolea amri kuwa hadi ifikapo mwaka fulani pasiwe na nyumba za nyasi na ikiwepo itabomolewa,afadhali iwe chini udongo lakini juu umepiga bati.Kwa nini wasibomolewe tu? NEMC wazibomoe tu, maana hakuna namna
HHuu mtanziko wa kisiasa Zanzibar unamharibiavilivyo Mh JPM... Na asipokuwa makini kwenye utatuzi wake na yeye atapotea.o
siku akianza kuvurunda umsifie hivyo hivyoShikamoo Magufuli,
Mhe sina shaka na utendaji wako ; kwani ni urithi kutoka kwa Baba yako. Naongea hili nikitambua Baba'ko alikuwa Mwenyekiti wa shule Rubabangwe alikuwa na msimamo kwenye mambo ya Msingi.
Nakumbuka Marehemu Baba yangu Mwalimu Borakupata akiwa Mwalimu Mkuu alimfukuza Kazi ya ualimu na utumishi wa umma kwa Kosa la kuacha shule kipindi kirefu akichana mbao polini, alimpa onyo lakini mzee wangu akusikiliza na ilikuja tume na kumfukuza kazi na kupewa adhabu ya kulipa mshahara wa miezi 3, kwa kosa la utoro.
Ingawa Baba ako alitaka kukuachisha shule kwa kumuonga Mzee wangu Mbuzi kutokana na tabia na usikivu wako ; uwe unachunga mbuzi na ngombe mzee wangu alikataa rushwa ya Mbuzi na kumpa onyo kali.
Kuhusu suala la Nyumba za nyasi ni rahisi kuziondoa Chato, Mganza , Buziku na Tanzania nzima kwa miaka 2. Inawezekana kama ukiendeleza msimamo wako na kufanya maamuzi magumu na bora kama urithi kutoka kwa Marehemu Babako.
Machine za mabati zipo na zinatengenezeka na zinaajiri watu wengi , na kutokana na kuwa na viwanda vingi vya Cement ni wakati wa kuleta mashine hizo ambazo bei yake ni ndogo sana.